Ushuhuda kwa yeyote aliyefanikiwa kupata mme au mke hapa

Ushuhuda kwa yeyote aliyefanikiwa kupata mme au mke hapa

Umenikumbusha nilivyokua kwenye paper, ukimaliza unapeleka karatasi unatoka
Sasa waliokua wanatusimamia watatu kila binti anayepeleka karatasi akiondoka wanamwangalia nyuma halafu walimu wanakonyezana
Mimi nimekaa mbele nawaona nikawa natabasamu hadi wakaniona, nilivyopeleka paper yangu mmoja akaniambia 'watoto wa elfu 2 mtatufukuzisha kazi'
😅😅
Kumbe na wewe sio haba😜
 
Muda ni SASA usipotoa ushuhuda subiri wezi wapite nae mchumba

😂😂😂 Wahuni saaana hao wapare.

Tafuta wasukuma
Sijawahi kupata mwanaume wa kisukuma
Ila nishawaona marafiki zangu wawili wa kisukuma jinsi wanavyopenda pisi zao

Mkwe naumwa🥲
 
Umenikumbusha nilivyokua kwenye paper, ukimaliza unapeleka karatasi unatoka
Sasa waliokua wanatusimamia watatu kila binti anayepeleka karatasi akiondoka wanamwangalia nyuma halafu walimu wanakonyezana
Mimi nimekaa mbele nawaona nikawa natabasamu hadi wakaniona, nilivyopeleka paper yangu mmoja akaniambia 'watoto wa elfu 2 mtatufukuzisha kazi'
😅😅
Yaani kwa kweli mtu usipokuwa na kiasi kwenye hizi mambo utaangukia pua, girls dress well, wanaonesha shapes zao...ni kuomba na kufunga tu🤣🤣🤣
 
Habari Wana Jf
Natumai mko salama
Nimekaa nikawaza mengi, kwenye jukwaa hili ni wengi waliotoa post za kutafuta mke au mme nikiwemo na mie😊
Lakini Cha kushangaza sijawahi Kuona mirejesho ya members wakifunga ndoa au hata kuja kutoa taarifa za kupata

Sasa swali ni je hili jukwaa halisaidii ama ni nini tatizo?
Au utaratibu Gani utumike kusikia lengo?
Usijaribu, utapata walanguzi tupu
 
Na nilichogundua ni kua jf pisi zipo nyingi tu ila chache ndo maarufu sana.
Kwenye kila uzi utawakuta wale maarufu wa jf, ila kuna pisi kali zinaplay low unazibamba kwenye nyuzi chache chache sana...

Na hizo ndo za kuruka nazo sasa.

Ila uwe makini, midume ni mingi yenye id za kike hata kwenye huu uzi ipo na imeshacomment tayari.
 
Back
Top Bottom