Ushuhuda kwa yeyote aliyefanikiwa kupata mme au mke hapa

Ushuhuda kwa yeyote aliyefanikiwa kupata mme au mke hapa

Namsubiri kwa ham sana, jaribu uchagani dogo...huko hata kuchepukiwa haipo..huku kwingine roho mkononi🤣
😁😁😁 wachaga wa siku hizi wanajua kila kitu sio kama kipindi cha nyuma ,ndio maana hata sisi kaka zao hawataki kutusikia kabisa😁😁
 
😁😁😁 wachaga wa siku hizi wanajua kila kitu sio kama kipindi cha nyuma ,ndio maana hata sisi kaka zao hawataki kutusikia kabisa😁😁
Basi sie wa GenX tunashukuru Mungu, tumepata wife materials kabisa🤣🤣🤣
 
😁😁😁 wachaga wa siku hizi wanajua kila kitu sio kama kipindi cha nyuma ,ndio maana hata sisi kaka zao hawataki kutusikia kabisa😁😁
Ulijuaje wanajua kila kitu? Uliacha umekichafua huko uchagani
 
Bado kabisa itabidi nichakarike inaonekana mimi ni mzito😁, sema wachaga naona kama tunaepukwa😁😁😁😁😁😁😁
Mangi, hama kabila. Nchi huru hii ohoo!

Screenshot_20240721_225812.jpg
 
Nidanganye ili iweje mkuu? Miaka hiyo jf haikuwa imeoza sana, nilipata babe na baada ya mwaka na nusu nikahalalisha.
Wewe ndio unatupanga hapa, una babe wako na huenda upo ndoani tayari🤣 kama huna utakuwa unachagua sana.
Aisee hongereni sana, mimi siwezi kudanganya pia, sina babe wala ndoa na wala sichagui sana, huenda mimi ndiye sivutii so waoaji ndiyo wanachagua sana🏃‍♀️
 
Jana nimekutana na 2000s inasoma UDSM(naifahamu), ile toto ya kihaya ina shape hakyanani ilibidi niite niisalimie kwa kuishika mkono. Sikuwa na mengi ya kuongea🤣🤣🤣
Umenikumbusha nilivyokua kwenye paper, ukimaliza unapeleka karatasi unatoka
Sasa waliokua wanatusimamia watatu kila binti anayepeleka karatasi akiondoka wanamwangalia nyuma halafu walimu wanakonyezana
Mimi nimekaa mbele nawaona nikawa natabasamu hadi wakaniona, nilivyopeleka paper yangu mmoja akaniambia 'watoto wa elfu 2 mtatufukuzisha kazi'
😅😅
 
Back
Top Bottom