Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humpati, amini hivyo...🤣Hawezi kukosekana hata 10! Ndio namtaka mmojawao
Wewe umepata?kwenye jukwaa hili ni wengi waliotoa post za kutafuta mke au mme nikiwemo na mie😊
Sina usemi😣Humpati, amini hivyo...🤣
Namsubiri kwa ham sana, jaribu uchagani dogo...huko hata kuchepukiwa haipo..huku kwingine roho mkononi🤣Ngoja aje atakujibu mimi mwenyewe sina wakili kaka mkubwa😊
😁😁😁 wachaga wa siku hizi wanajua kila kitu sio kama kipindi cha nyuma ,ndio maana hata sisi kaka zao hawataki kutusikia kabisa😁😁Namsubiri kwa ham sana, jaribu uchagani dogo...huko hata kuchepukiwa haipo..huku kwingine roho mkononi🤣
Basi sie wa GenX tunashukuru Mungu, tumepata wife materials kabisa🤣🤣🤣😁😁😁 wachaga wa siku hizi wanajua kila kitu sio kama kipindi cha nyuma ,ndio maana hata sisi kaka zao hawataki kutusikia kabisa😁😁
Ulijuaje wanajua kila kitu? Uliacha umekichafua huko uchagani😁😁😁 wachaga wa siku hizi wanajua kila kitu sio kama kipindi cha nyuma ,ndio maana hata sisi kaka zao hawataki kutusikia kabisa😁😁
Sio kwel 😁😁😁😁Ulijuaje wanajua kila kitu? Uliacha umekichafua huko uchagani
Umeoa marangu nini kaka mkubwa?Basi sie wa GenX tunashukuru Mungu, tumepata wife materials kabisa🤣🤣🤣
Jana nimekutana na 2000s inasoma UDSM(naifahamu), ile toto ya kihaya ina shape hakyanani ilibidi niite niisalimie kwa kuishika mkono. Sikuwa na mengi ya kuongea🤣🤣🤣Mno kaka mkubwa ,umejuaje?
😁😁😁 ni warembo haswa wazazi mlijua kuchaguana miaka hiyo.Jana nimekutana na 2000s inasoma UDSM(naifahamu), ile toto ya kihaya ina shape hakyanani ilibidi niite niisalimie kwa kuishika mkono. Sikuwa na mengi ya kuongea🤣🤣🤣
Hapana, huko niliogopa nyodo. Marangu zina shape na sura, so nyodo zinaweza kunimaliza🤣🤣🤣Umeoa marangu nini kaka mkubwa?
Mangi, hama kabila. Nchi huru hii ohoo!Bado kabisa itabidi nichakarike inaonekana mimi ni mzito😁, sema wachaga naona kama tunaepukwa😁😁😁😁😁😁😁
Aisee hongereni sana, mimi siwezi kudanganya pia, sina babe wala ndoa na wala sichagui sana, huenda mimi ndiye sivutii so waoaji ndiyo wanachagua sana🏃♀️Nidanganye ili iweje mkuu? Miaka hiyo jf haikuwa imeoza sana, nilipata babe na baada ya mwaka na nusu nikahalalisha.
Wewe ndio unatupanga hapa, una babe wako na huenda upo ndoani tayari🤣 kama huna utakuwa unachagua sana.
Umenikumbusha nilivyokua kwenye paper, ukimaliza unapeleka karatasi unatokaJana nimekutana na 2000s inasoma UDSM(naifahamu), ile toto ya kihaya ina shape hakyanani ilibidi niite niisalimie kwa kuishika mkono. Sikuwa na mengi ya kuongea🤣🤣🤣