KAJOBO
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 407
- 348
Habari Wana Jf
Natumai mko salama
Nimekaa nikawaza mengi, kwenye jukwaa hili ni wengi waliotoa post za kutafuta mke au mme nikiwemo na mieš
Lakini Cha kushangaza sijawahi Kuona mirejesho ya members wakifunga ndoa au hata kuja kutoa taarifa za kupata
Sasa swali ni je hili jukwaa halisaidii ama ni nini tatizo?
Au utaratibu Gani utumike kusikia lengo?
Natumai mko salama
Nimekaa nikawaza mengi, kwenye jukwaa hili ni wengi waliotoa post za kutafuta mke au mme nikiwemo na mieš
Lakini Cha kushangaza sijawahi Kuona mirejesho ya members wakifunga ndoa au hata kuja kutoa taarifa za kupata
Sasa swali ni je hili jukwaa halisaidii ama ni nini tatizo?
Au utaratibu Gani utumike kusikia lengo?