mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
Mkuu hauchagui/hauamui kuuelewa muandiko wa mtu. Unajikuta tu😅Nakubaliana na ww! Sasa si umfate huko huko mtaani kuliko kumfata mtu wa mtaani kupitia jf
Hiyo kudata mbona uhakika mi enyewe Kuna ID nkiona lazima nishushe pumzi kidogo😁lakini ndo hvo kibingwa unakufa na tai shingoniMkuu hauchagui/hauamui kuuelewa muandiko wa mtu. Unajikuta tu😅
Kwahiyo mahusiano yanaweza kutokea baada ya hapo
Uongooo acha kushangilia uongo humu wewe mwenyewe muongo kila mwaka una ID mpya picha zinafananaMkuu hauchagui/hauamui kuuelewa muandiko wa mtu. Unajikuta tu😅
Kwahiyo mahusiano yanaweza kutokea baada ya hapo
Utajua yakikukuta mkuu.muandiko chief unaweza kufanya ujue taswira ya mtu.
how come naomba maelezo kidogo
Hujapata pisi hukuWaje watangaze then iweje? Jf yenyewe imekaa ki fake fake sasa unataka ijulikane then?
Mimi nimepata tunaoana mwakani majira kama hayaUkiwa unatafuta chochote ambacho ni sensitive Kwenye maisha yako fanya jf iwe option ya Mwisho kuamini kwamba unaweza patia humo
Upo sahihi kabisaUnajua watu wengi wanachukulia huku kama sehemu ya wahuni lkn ukweli ni kwamba kupo vizuli na hakuna shinda nimeonana na watu wengi wa jf sio kwmba wote ni wahuni ,engine wake za,watu wapo na kazi zao,
Ukibahatika kupata mke popote pale unapata
Na kakuzalisha na mtoto wa 4Mimi nimepata tunaoana mwakani majira kama haya
Unaenda kupasuliwa?Naingia theatre Ila naahidi asubuhi kuja kueleza yaliyonikuta zaidi nikisahau naomba kukumbusha tu