Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Maisha ni Kama gwaride ukisikia nyumaaa! geuka !!!wa Kwanza anakuwa wa mwisho wa mwisho anakuwa wa kwanzaMimi nilikuwa kipanga pale pugu sekondari combination ya PCB mwisho wa siku nikajikuta mlimani BSc Education. Wenzangu wengine vilaza wenye connection pamoja na kupata division III walienda Algeria na China kusoma medicine, wengine wazazi wao wenye uelewa wakawaambia wakasome wildlife sasa hivi wako TANAPA.
Hawa jamaa hawakuamini kwamba yule mtabe wa organic, cytology na simple harmonic motion kawa ticha.
Nilifundisha miaka miwili nikaenda kupiga degree nyingine tofauti. Haya maisha yana mengi ya kujifunza.
akikujibu ni-tag.
Hii kama chai inataka kuzidi sukari, huyo alikuwa kipanga kweli au kishoka?
Jua kuna akili za shuleni na akili za kwako mwenyewe sisi sote tunatumia akili binafsi katika kufanya vizuri katika maisha ,hapa ndipo tunatofautiana akili.Mara nyingi stori kama hizi huwa zinatoka kwa watu waliofeli masomo yao darasani au waliokuwa hazichaji kichwani na huwa faraja yao pekee ni kusubiri kipanga mmoja apigwe na maisha warudi kusema 'yako wapi sasa'! Lakini wanasahau kwamba ukiwa na cheti au akili, hela bado una nafasi ya kuitafuta. Lakini hata kama una hela, kama hazichaji kichwani bado haziwezi kuja na hauwezi kuzitafuta akili kwa hela zako
Na sikujibu ng'oo hiyo meseji yako...........kumbe unanichora bro
Mara nyingi stori kama hizi huwa zinatoka kwa watu waliofeli masomo yao darasani au waliokuwa hazichaji kichwani na huwa faraja yao pekee ni kusubiri kipanga mmoja apigwe na maisha warudi kusema 'yako wapi sasa'! Lakini wanasahau kwamba ukiwa na cheti au akili, hela bado una nafasi ya kuitafuta. Lakini hata kama una hela, kama hazichaji kichwani bado haziwezi kuja na hauwezi kuzitafuta akili kwa hela zako
wewe ndio hujui. ukiajiriwa na mtu hata kama unamzidi au unalingana nae Umri huyo mtu anabaki kua kijana wako tu. Ndio maana wenye Peasa wanaitwa wazee tena na watu Wazee.Wewe ni mjinga hata kudanganya hujui!
IQ yako ndogo sana! Mtu mliyesoma naye darasa moja obviously atakuwa age mate wako!
Sasa ulivyom-address na huyo rafiki yako alivyom- address kijana wake wa kazi kwako obviously hakuna uhalisia wowote! Hizi ni story za vil.aza kutungia vil.aza wenzao.
Kila shule na kila faculty vyuoni ina hawa viumbe wanaitwa vipanga; ni watu ambao wanafanya vizuri sana darasani aidha kwa kutumia jitihada kubwa ama uwezo mkubwa wa akili waliojaaliwa.
Tatizo sio kuwa kipanga, tatizo ni kuwa kipanga jeuri, ni wale watu wanaofanya vizuri darasani na kuona kwao tayari washapita mtihani wa maisha, yaani ni wale type za kuringa, zenye kujitenga pamoja na vipanga wenzao, wanaonyima watu chabo kwenye mitihani n.k
Sasa navyosoma zamani kulikuwa kuna huyu bwana alikuwa na tabia hizi na kiukweli kwake namba yake ilikuwa ni moja tu, yani alikuwa na tabia kama hizo nilizotaja, Chuoni assignment zake, notes zake za summary, n.k alikuwa anatunyima na hata kuwaita wazi wazi wasio na uwezi darasani ni vilaza.
Nimekodisha frem sehemu flani nimeweka binti awe anauza maana mimi muda mwingi nipo kazini, sasa kuna rafiki yangu tunaefanya nae kazi akavutiwa kufungua biashara ya kipati cha ziada, nikamshauri achukue fremu eneo lile nililopo maana ni pazuri, basi taratibu zikafanyika na rafiki yangu akafungua stationery kubwa tu.
Leo nlipotoka kazini nilienda dukani kwangu kuhesabu mzigo lakini pia lengo kuu nilikuwa na shauku kubwa ya kuona mradi wa huyu rafiki yangu maana leo ndio rasmi alianza kuuza.
Kufika pale nikapigwa na butwaa, nikaona kijana wa kazi pale ni yule kipanga, kiukweli nilihisi nmechanganya sura maana nilijua jamaa atakuwa huko kwenye vitengo vya juu au kufundisha vyuoni.
Nlimwita jina akaitikia nikajua hapa sijakosea ni yeye, basi ndio nikamkumbusha ndo akanijua akaniambia kafungua steshonari yeye, mimi nikawa namchora tu mbona ananidanganya, rafiki yangu akafika akamtambulisha huyo ndio kijana wake wa kazi, dah basi kwa kipanga ikawa aibu tupu.
Wakati wanafunga tukaagana na yule rafki yangu na mimi nikafunga maana dada wa kazi alikuwa kaniacha, nikamkuta njiani kipanga nikamwambia apande kama anajitaji lifti yeye akasema anasubiri mtu.
Usiku huu namcheki WhatsApp, nmemtumia message hadi sasa kaisoma ila hajajibu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimecheka lakini man sio poa, usijaji watu hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaweza kuta jamaa alikua vizuri darasani sema mtaani akakosa connections na wengi wao wanaokua darasani vizuri ni wale unakuta kwao maisha yao ni magumu kimtindo, wapo wengi sana mbona mjini, ila usicheke mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kila shule na kila faculty vyuoni ina hawa viumbe wanaitwa vipanga; ni watu ambao wanafanya vizuri sana darasani aidha kwa kutumia jitihada kubwa ama uwezo mkubwa wa akili waliojaaliwa.
Tatizo sio kuwa kipanga, tatizo ni kuwa kipanga jeuri, ni wale watu wanaofanya vizuri darasani na kuona kwao tayari washapita mtihani wa maisha, yaani ni wale type za kuringa, zenye kujitenga pamoja na vipanga wenzao, wanaonyima watu chabo kwenye mitihani n.k
Sasa navyosoma zamani kulikuwa kuna huyu bwana alikuwa na tabia hizi na kiukweli kwake namba yake ilikuwa ni moja tu, yani alikuwa na tabia kama hizo nilizotaja, Chuoni assignment zake, notes zake za summary, n.k alikuwa anatunyima na hata kuwaita wazi wazi wasio na uwezi darasani ni vilaza.
Nimekodisha frem sehemu flani nimeweka binti awe anauza maana mimi muda mwingi nipo kazini, sasa kuna rafiki yangu tunaefanya nae kazi akavutiwa kufungua biashara ya kipati cha ziada, nikamshauri achukue fremu eneo lile nililopo maana ni pazuri, basi taratibu zikafanyika na rafiki yangu akafungua stationery kubwa tu.
Leo nlipotoka kazini nilienda dukani kwangu kuhesabu mzigo lakini pia lengo kuu nilikuwa na shauku kubwa ya kuona mradi wa huyu rafiki yangu maana leo ndio rasmi alianza kuuza.
Kufika pale nikapigwa na butwaa, nikaona kijana wa kazi pale ni yule kipanga, kiukweli nilihisi nmechanganya sura maana nilijua jamaa atakuwa huko kwenye vitengo vya juu au kufundisha vyuoni.
Nlimwita jina akaitikia nikajua hapa sijakosea ni yeye, basi ndio nikamkumbusha ndo akanijua akaniambia kafungua steshonari yeye, mimi nikawa namchora tu mbona ananidanganya, rafiki yangu akafika akamtambulisha huyo ndio kijana wake wa kazi, dah basi kwa kipanga ikawa aibu tupu.
Wakati wanafunga tukaagana na yule rafki yangu na mimi nikafunga maana dada wa kazi alikuwa kaniacha, nikamkuta njiani kipanga nikamwambia apande kama anajitaji lifti yeye akasema anasubiri mtu.
Usiku huu namcheki WhatsApp, nmemtumia message hadi sasa kaisoma ila hajajibu
Kumbe na wewe ulikuwa kipanga bro hahaaaaaNdio maana huko niliko kwenye group moja ya secondary huwa na mute kimyaaaa kwasababu ya vichuki chuki vya kijinga kama hivi watu kukupiga majungu kisa ulikua unawakimbiza darasani ila maisha hamtofautiani kivilee mtaani wanaona kama ulikua una ringa hata kama walikua washkaji zako .Wivu mbaya sana. πππ
Unajikubali na hali yako imemshinda hiyo maana shuleni pia alikua na na dharau kama mdau alivyosema kuwaita wenzake vilaza, kama asingekua na dharau shuleni siajabu angeweza hata kumuomba jamaa connection za kazi, life imepinda halafu unajifanya imenyoka, ila pia huwezi kuchagua kazi kuna baadhi ya kazi ni daraja kwenda kufikia kwenye lengoHakuna maisha nayapenda Kama kujishusha mbele ya jamii, wale kazi zao zinazodharaulika ndio huwa nawafanya marafiki nawasalimu kwa ukarimu, Basi najisikia amani sana.
Una nyodo na jeuri ya shibe, ukishiba leo kumbuka kuna aliyekosa hata ngumi moja ya hicho chakula, kesho giza rafiki yangu usije kuona aibu tu.
Huyo mate wako ni kiburi, ingekuwa Ni Mimi ningechangamka na ningepanda lift ili tu kukuonyesha kuwa najikubali na hali yangu.
Mara nyingi stori kama hizi huwa zinatoka kwa watu waliofeli masomo yao darasani au waliokuwa hazichaji kichwani na huwa faraja yao pekee ni kusubiri kipanga mmoja apigwe na maisha warudi kusema 'yako wapi sasa'!
Lakini wanasahau kwamba ukiwa na cheti au akili, hela bado una nafasi ya kuitafuta. Lakini hata kama una hela, kama hazichaji kichwani bado haziwezi kuja na hauwezi kuzitafuta akili kwa hela zako
We jamaa upo ki game game tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata kwenye mambo serious [emoji28][emoji28]Man down, I repeat man down
Maneno yako yanayo faraja ambayo haina tija saaana.Mara nyingi stori kama hizi huwa zinatoka kwa watu waliofeli masomo yao darasani au waliokuwa hazichaji kichwani na huwa faraja yao pekee ni kusubiri kipanga mmoja apigwe na maisha warudi kusema 'yako wapi sasa'!
Lakini wanasahau kwamba ukiwa na cheti au akili, hela bado una nafasi ya kuitafuta. Lakini hata kama una hela, kama hazichaji kichwani bado haziwezi kuja na hauwezi kuzitafuta akili kwa hela zako
Mungu kaumba karibia kila kitu kwa upekee wake na ndio maana hakunamoja ya comment BORA kabisaa..
Wengi wanadhani wakipata pesa wataonekana bora zaidi na kuondoa udhaifu wao kumbe watu wanakaa kimya na kuwafurahisha ili wavune pesa zao. Ila kiuhalisia bado wanayaona madhaifu yao clearly na wakiona hawana faida tena bhasi wanatumia hayo hayo madhaifu kuwatelekeza
Agiza lunch, lete bill kwangu.Kipanga wa darasa [emoji16]
Elimu n kitu kingine
Maisha Ni kitu kingine.