Ushuhuda: Leo nimekutana na kipanga jeuri wa darasani. Kweli hakuna uhusiano wa uwezo darasani na wa maisha halisi

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nina 29 yeye ana 28 sisi ni wazee??
Kwa mtu intelligent akisoma content ya ujumbe wako atagundua ulichotaka kuonyesha ni kuwa wewe umefanikiwa kwa kuwa una usafiri ( gari) na yule kipanga bado anabangaiza basi! Akili ya kijinga sana unayo!
Walk your path, kila mtu ana- destination yake ! Huwezi jua huyo " Kipanga" ana mipango gani na anawaza nini!
Hayo "mafanikio" kidogo uliyonayo haya- justy kuwa wewe ni mwerevu na huyo "Kipanga" ni mjinga!
Wewe kinachokusumbua ni akili ndogo ya kimasikini uliyonayo!
The true race of life is to compete with yourself and not others!
 
haya mambo yapo sana kuna kipanga jeuri alitusumbua sana sasa hivi yupo pale Spur Masaki ni muhudumu anatuletea pizza mezani
 
Mshamba huyo na pia ana roho ya chuki
 
nashangaa watu wanapinga tu,ila kwa awamu hii kila kitu kinawezekana kabisa.


halafu kama aliamua kukudanganya ni wazi kwamba huyo ana apuuzi wa asili,si ajabu hata alipata mchongo akaharibu kwa tabia zake za kijinga.
 
Wewe mleta mada kwanza Inferiority complex inakusumbua,pia una low self esteem.

Watu kama wewe walioshindwa elimu ya darasani kazi yao kubwa mtaani hata makazini ni kuwananga wenzao ambao walikuwa na akili nyingi za darasani ila kwa namna moja au nyingine bado hawajafanikiwa.

Hata kama huyo kipanga alikuwa anajisikia sio sababu ya wewe kumuandama hivi,tambua zile zilikuwa age za utoto na watoto/wanafunzi hupenda kushindana.

Inaonekana unasikia raha kumwona mwenzako kwenye hali hiyo...shame on you!Acha iyo tabia maramoja ni aibu kwako especially kama ni man.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Wewe unaonekana una matatizo makubwa ya majivuno, riziki anapnga Mungu mwenyewe na yeye kukudanganya ni tabia ya kawaida ya binadamu asiyetaka maswali wala kuchimbwa zaidi,hivyo kitendo cha akiendelea kumchimba au kutoka ukaribu wa kinafiki na kumwelezea mafanikio uliyoyapata ni kumwongezea stress na humsaidii mwache mwenyewe..
 

Kila mtu ni BORA katika nafasi yake dunia hii na huwezi kuondoa UBORA wa mtu katika kitu flani kwa wewe kuwa BORA katika kitu kingine.. Hiyo ni NEVER na HAIPO zaidi ya kujifariji tu

BAKHRESA kuwa BORA katika Biashara inamaanisha amemzidi ubora WARIOBA katika nafasi yake sababu hazalishi mabilioni ya shilingi katika account zake. WARIOBA kuwa Bora Katika Elimu na uongozi inamaanisha ni Bora kuliko BAKHRESA katika nafasi yake kwa sababu hajawahi kupata Degree au Uwaziri.

Kiufupi, Wape watoto wako majumba na kila kitu lakini kama huna elimu historia yako itabaki ile ile kuwa baba yao uliishia darasa la nne C na huna msaada kwenye elimu zao zaidi ya usimamizi wa kuhadithiwa na ADA.
Kipanga nae atabaki na historia yake hata kama anamiliki kitanda na Godoro tu ambalo haliwezi lipia wanae ada ila atakuwa na uwezo mkubwa kuwasimamia kielimu.

ukiona Darasa la nne linakuharibia CV kwenye hela zako, Rudi Darasani.. Ukiona Pesa Huna sawa na vyeti vyako, unaingia mtaani. Hakuna mbadala. THE END
 
Nina 29 yeye ana 28 sisi ni wazee??
Kwa umri huu bado sana kwenye maisha na hukupaswa kumuandika huyo jamaa kama mtu alienyuma kimaisha huku wewe ukijiona umeshatoboa. Narudia tena bado,bado na bado mno. Mimi binafsi ni shahidi na utayakumbuka maneno yangu
 
Kwani akili ni nini? Kuwa wa kwanza darasani au kufaulu mtihani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…