Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Walosema natumia bangi ,faida za bangi kitiba .
1.Ukichukua mbegu za bangi ukachanganya na mfupa wa kitimoto ( samahan kwa waislamu) ukafunga pamoja kwenye kitambaa ukaweka mlangoni mwako unapoish au mlango wa kibandani kwako ,hakuna mchawi atakayeweza kupenya ,na akijaribu energy atashindwa
2 . Bangi ukiichoma kwa manuizi huweza kurudisha ubaya kwa mtu aliyekufanyia ,ndo maana kwa wavuta bangi akivuta bangi apeform show ,inamuelekeza huko ,akivuta akafanye fujo anafanya ,ooh ni mmea wa Kimungu ,ukiichoma unaomba ufukuze mabaya yanaenda
N:B sijaja hapa kussuport matumizi ya bangi ni hatari kwa afya yako ,na serikali inazuia kabisa matumizi ya bangi ,hapa nimeelezea bangi kitiba .....
 
Wadau niaje hizi ndizo chimbo za totoz kwa wale mnaosafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.
1.Tanga-Mombo&chichi
2.Morogoro-kahumba
3.Musoma-Embassy kwa shangazi
4.Bukoba-Liquid
5.Mtwara-Kwalipaja
6.Tabora-Oxygen
7.Mwanza-Kirumba,club 55,Nyegezi stand&Igoma
8.Makambako-Emirates
9.Moshi-Malindi
10.Mbeya-Mafiati
11.Kahama-Bijampola
12.Shinyanga-Bakurutu&Relini
13.Arusha-Mrina&Shivaz
14.Songea-La chaz
15.Dodoma-Chako ni chako

Nawatakia safari njema......Bon voyage

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
 
Pole sana, usichoke kujipambania mpaka tatizo lako litoweke
 
Mkuu vp nikishaoga hayo maji niliyochanganya na mkojo kisha nikayaacha yakauke mwilin afu nikakaa kama muda wa lisaa hivi, vipi naruhusiwa kuoga kawaida
 
 
Safi sana kumbe hii kitu kuhusu mkojo iliwahi letwa humu mwaka 2013
 
VP nikishakojoa nikanywa kias afu nikaamua kutooga kwa huo wakati nikahifadhi kwa masaa hata mawili hiv ndo nije kuoga ( sitaongea na mtu ) VP itafaa ??
Utaweza toboa masaa mawili bila kuongea na mtu yoyote kwli ?,ukiweza hamna shida kabisa.
 
Mbona nyumba za siku hizi tunazoishi choo na bafu ni 2 in 1. Yaani choo na bafu ziko sehemu moja?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…