Mkurya mweupe
JF-Expert Member
- Aug 10, 2023
- 239
- 817
- Thread starter
- #221
Walosema natumia bangi ,faida za bangi kitiba .
1.Ukichukua mbegu za bangi ukachanganya na mfupa wa kitimoto ( samahan kwa waislamu) ukafunga pamoja kwenye kitambaa ukaweka mlangoni mwako unapoish au mlango wa kibandani kwako ,hakuna mchawi atakayeweza kupenya ,na akijaribu energy atashindwa
2 . Bangi ukiichoma kwa manuizi huweza kurudisha ubaya kwa mtu aliyekufanyia ,ndo maana kwa wavuta bangi akivuta bangi apeform show ,inamuelekeza huko ,akivuta akafanye fujo anafanya ,ooh ni mmea wa Kimungu ,ukiichoma unaomba ufukuze mabaya yanaenda
N:B sijaja hapa kussuport matumizi ya bangi ni hatari kwa afya yako ,na serikali inazuia kabisa matumizi ya bangi ,hapa nimeelezea bangi kitiba .....
1.Ukichukua mbegu za bangi ukachanganya na mfupa wa kitimoto ( samahan kwa waislamu) ukafunga pamoja kwenye kitambaa ukaweka mlangoni mwako unapoish au mlango wa kibandani kwako ,hakuna mchawi atakayeweza kupenya ,na akijaribu energy atashindwa
2 . Bangi ukiichoma kwa manuizi huweza kurudisha ubaya kwa mtu aliyekufanyia ,ndo maana kwa wavuta bangi akivuta bangi apeform show ,inamuelekeza huko ,akivuta akafanye fujo anafanya ,ooh ni mmea wa Kimungu ,ukiichoma unaomba ufukuze mabaya yanaenda
N:B sijaja hapa kussuport matumizi ya bangi ni hatari kwa afya yako ,na serikali inazuia kabisa matumizi ya bangi ,hapa nimeelezea bangi kitiba .....