Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Walosema natumia bangi ,faida za bangi kitiba .
1.Ukichukua mbegu za bangi ukachanganya na mfupa wa kitimoto ( samahan kwa waislamu) ukafunga pamoja kwenye kitambaa ukaweka mlangoni mwako unapoish au mlango wa kibandani kwako ,hakuna mchawi atakayeweza kupenya ,na akijaribu energy atashindwa
2 . Bangi ukiichoma kwa manuizi huweza kurudisha ubaya kwa mtu aliyekufanyia ,ndo maana kwa wavuta bangi akivuta bangi apeform show ,inamuelekeza huko ,akivuta akafanye fujo anafanya ,ooh ni mmea wa Kimungu ,ukiichoma unaomba ufukuze mabaya yanaenda
N:B sijaja hapa kussuport matumizi ya bangi ni hatari kwa afya yako ,na serikali inazuia kabisa matumizi ya bangi ,hapa nimeelezea bangi kitiba .....
 
Wadau niaje hizi ndizo chimbo za totoz kwa wale mnaosafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.
1.Tanga-Mombo&chichi
2.Morogoro-kahumba
3.Musoma-Embassy kwa shangazi
4.Bukoba-Liquid
5.Mtwara-Kwalipaja
6.Tabora-Oxygen
7.Mwanza-Kirumba,club 55,Nyegezi stand&Igoma
8.Makambako-Emirates
9.Moshi-Malindi
10.Mbeya-Mafiati
11.Kahama-Bijampola
12.Shinyanga-Bakurutu&Relini
13.Arusha-Mrina&Shivaz
14.Songea-La chaz
15.Dodoma-Chako ni chako

Nawatakia safari njema......Bon voyage

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ukichukua kipande Cha mkaa wowote ule ,Japo kipande kinachofanya kazi sana kwa usahihi ukiweza kupata ni kile umetoa kwenye jiko kina Moto halafu ukakizima kwa maji tiririka ,yaan maji yanayotembea ,
1. ukikiweka kwenye mfuko wako ukiwa unatembea ,mtu akitaka kukufanyia mabaya atashindwa ,kitapambana na nguvu hasi ,weka kwenye mfuko wako wa suruali ,tembea hata Kama Kuna husda ,umetegwa madawa ,utasaidiwa na kipande Cha mkaa hicho.
2. Ukiwa mfanyabiashara ukiweka hicho kipande unakotunzia hela zako ,kuepuka chuma ulete ,changanya hzo hela zako na huo mkaa ,hela zako hazitaenda kimiujiza.
3 Ukimpaka mtoto mchanga ,kwenye paji la uso au kwenye kope hataepukana na nguvu hasi
Kwenye kila mfuko wangu wa suruali ni nadra sana kunikuta sina mkaa au kwenye wallet.
 
Nimesoma comments zote hadi mwisho, Nimegundua wabongo wengi humu ndani ni wajuaji sana, halafu wanajiona ni miamba ( wanajua kila kitu ).

Yaani kuana aina nne za ujuaji :-

  • Anajua kama anajua
  • Anajua kama hajui
  • Hajui kama anajua
  • Hajui kama hajui

Sasa wajuaji wa humu wapi hapo kwenye no.4, Yaaai hayajui kama hayajui alafu kutwa kushupaza shingo kama manyumbu. Ndio maana wengine huwa hawatoagi siri kama hizi, kwasababu ya hizi tabia za kinoko.

Imagine, jamaa hajaomba hela, hajahitaji msaada kwa mtu, ame weka tu mbinu yale aliyoitumia ikamlete mafanikio fulani, uziri maelezo yake yameshiba na yamejitosheleza.

Sasa hizi habari sijui za kimba, sijui upumbavu gani zinatoka wapi? Punguzeni utoto basi nyie watu, sio kila jambo ni lakudharau na kulifanyia mzaha... Unaweza kukuta huyu mleta mada age ipo 60+ huko, yaani ni mtu mzima wakuitwa Baba / Babu, sasa mtu kama huyo anapoamua kutupatia mbinu zake zilizomletea mafanikio fulani halafu wewe unaweka maneno ya kejeli na dhihaka, hizi unajisikiaje ndani ya nafsi yako?

Jamani hebu tubadilikeni, tuweni hata na adamu na staha kwenye kujibu nyuzi kama hizi hapa sio chit chat mazee.

Kupitia kisa hiki, unaweza kuta kuna member mwengine nae alikua anajiandaa kuleta ushuhuda wake namna alivyofanikiwa kwenye jamba filani, halafu anakutana na negativity kama hizi, unadhani atamwaga mchele kwenye kuku wengi?

Mleta mada nakupongeza kwa ujasiri, halafu nimegundua una emotional stability kubwa sana, licha ya dhihaka nyingi ulizoshambuliwa nazo lakini umebaki calm na unajibu comments in positive way, nadhani meditaton imekusaidia, hapa sina hakika zaidi kama ni hiyo meditation au ni hulka yako tu yakuwa humble.

Nakupa tano mkuu kwenye hilo na nikutakie kheri zaidi. Nami ninapitia hizi changamoto maishani ambazo sinabudi kuamini zina uhusiano na imani ya upande wa pili.

Yaani masikio yangu yana uzito wa usikivu, tatizo hili limenipata ukubwani tu, nimeenda hospitali zote kubwa hadi agakhan hapo na hivi vi polyclinic vyote vya wahindi vilivyopo hapo upanga na kisutu lakini masikio yako sawa, hawaoni tatizo lolote. sijapata ufumbuzi wa tatizo langu.

Kupitia uzi wako nitaanza tiba hii ya mkojo halafu nitaangalia matokeo juu ya tatizo langu sugu lisiloonekana hospitali zote kubwa.
Pole sana, usichoke kujipambania mpaka tatizo lako litoweke
 
Mkuu vp nikishaoga hayo maji niliyochanganya na mkojo kisha nikayaacha yakauke mwilin afu nikakaa kama muda wa lisaa hivi, vipi naruhusiwa kuoga kawaida
 
 
Safi sana kumbe hii kitu kuhusu mkojo iliwahi letwa humu mwaka 2013
 
VP nikishakojoa nikanywa kias afu nikaamua kutooga kwa huo wakati nikahifadhi kwa masaa hata mawili hiv ndo nije kuoga ( sitaongea na mtu ) VP itafaa ??
Utaweza toboa masaa mawili bila kuongea na mtu yoyote kwli ?,ukiweza hamna shida kabisa.
 
Naongezea kidogo ,hakikisha ni mkojo wako wa kwanza wa asubuh kabla ya kuongea na mtu yoyote kisha kunywa kidogo ,kwa manuizi pia unaenda kuogea bafuni ,sio chooni ni bafuni,usitumie sponji .

Pia Kama mtu amekunywa sumu ,mnyweshe mkojo Kama huduma ya kwanza uwe wake au wako.

Unaweza kuosha uso wako pia asubuh kwa mkojo wa asubuhi kuinua aura yako na kuvutia baraka zako.

Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo pindi unapotaka kupokea pesa kwa mtu usiyemuamini.

Unaweza kuloweka kufuli ikiwa na funguo kwenye mkojo wako na ukaenda ukaitupa ikiwa imefungwa kwenye barabara yenye mkusanyiko mwingi ,mtu akiifungua tu kufuli hyo ,maisha yako yanabadilika na kuwa mazuri.

Unaweza kupigia deki ,mkojo wako ,nyumbani ,itasaidia kuleta amani katika nyumba ,au kati yako na mpenz wako.

Unaweza kuweka mkojo ukiwa unaosha watoto wako ,kwa yoyote atakayejaribu kuwagusa atakipata Cha mtema kuni

Hii ndo nguvu ya Mkojo niliweza fundishwa hvo na Mimi nimeona nishare ,na niliwahi fanya ikalipa sio maigizo .Hadi saiv huniambii kitu kuhusu mkojo wa asubuh ni dozi .
Mbona nyumba za siku hizi tunazoishi choo na bafu ni 2 in 1. Yaani choo na bafu ziko sehemu moja?.
 
Back
Top Bottom