Ushuhuda: Nilichokiona kwenye kikao cha ukoo/familia, bila pesa huthaminiwi

Ushuhuda: Nilichokiona kwenye kikao cha ukoo/familia, bila pesa huthaminiwi

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kwanza kabisa watu wanaweza kudhan hii ni comedy ila ni ukweli mtupu.

Wiki kadhaa zilizopita kulikuwa na kikao cha ukoo kuhusu jambo flani hivi nyeti, kikao kilitubidi twende kijijini kwetu.

Tulifika vizuri tu na kusalimiana ila sasa kikao kilipotaka kuanza, kuna ndugu yetu flani uchumihaujamkaa sawa aliambiwa aende getini awe anaangalia usalama ama kupokea wageni.

Mwengine naye kikao kilipoanza baada ya kama dakika 20 aliitwa aende kupasua kuni kwa ajili ya kuota moto tukimaliza kikao

Mwengine aliruhusiwa kubaki ila aliishia kukaa kimya maana kila akijaribu kuongea anakatwa jicho fulani ivi mpaka anakosa raha.

Kiukweli niliumia sana
 
Funny 😆 but not funny...naomba kukubaliana na wewe iliwahi kunitokea mie iliwahi kunitokea siku ya msiba wa bibi yangu nasikitika sikupewa taarifa na ndugu wa karibu zaidi alinitumia meseji binamu yangu na fasta msibani nilienda tena kwa kutembea kwa mguu maana nauli nilikuwa sina (ndugu hawakujali walanini)sasa cha ajabu ilifika siku ya arobaini nilikuwa mtamu balaa coz baada ya ule msiba kuisha basi siku chache baadae mipango yako ya kifedha ikafunguka😜unaambiwa shobo zilikuwa nyingi mpk taarifa za birthday napewa achilia mbali vikao vya harusi ninachaguliwa kuwa kiongozi wa kamati🤣 maisha haya😀 wacha leo tucheke tu😆😆😆😆😆
 
Kwanza kabisa watu wanaweza kudhan hii ni comedy ila ni ukweli mtupu.

Wiki kadhaa zilizopita kulikuwa na kikao cha ukoo kuusu jambo flani hivi nyeti, uzuri wa ukoo wetu wengi tuupo mkoa huu nilipo kwahio tunakutanaga sana.

Tulifika vizuri tu na kusalimiana ila sasa kikao kilipotaka kuanza, kuna ndugu yetu flani uchumihaujamkaa sawa aliambiwa aende getini awe anaangalia usalama ama kupokea wageni.

Mwengine naye kikao kilipoanza baada ya kama dakika 20 aliitwa aende kupasua kuni kwa ajili ya kuota moto tukimaliza kikao

Mwengine aliruhusiwa kubaki ila aliishia kukaa kimya maana kila akijaribu kuongea anakatwa jicho fulani ivi mpaka anakosa raha.

Kiukweli niliumia sana
[emoji23][emoji23] Poleni sana. Kwa kweli pesa ni muhimu hata kanisani
 
Back
Top Bottom