uujn
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 666
- 851
[emoji1787]Mmekutana wote hamna pesa. Mngekuwa na senti getini kungekuwa na mlinzi msingeweka ndugu yenu. Na hizo kuni mngeita watu walete tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]Mmekutana wote hamna pesa. Mngekuwa na senti getini kungekuwa na mlinzi msingeweka ndugu yenu. Na hizo kuni mngeita watu walete tu.
Hahaa mchongo wa 40 dys..had ndugu wote wakajua...au la alilamba kazi bandarini😅Ngoja nifatilie huu mchongo, nibadili maisha nimechoka kuwa masikini
Eeee!Mmekutana wote hamna pesa. Mngekuwa na senti getini kungekuwa na mlinzi msingeweka ndugu yenu. Na hizo kuni mngeita watu walete tu.
Funny [emoji38] but not funny...naomba kukubaliana na wewe iliwahi kunitokea mie iliwahi kunitokea siku ya msiba wa bibi yangu nasikitika sikupewa taarifa na ndugu wa karibu zaidi alinitumia meseji binamu yangu na fasta msibani nilienda tena kwa kutembea kwa mguu maana nauli nilikuwa sina (ndugu hawakujali walanini)sasa cha ajabu ilifika siku ya arobaini nilikuwa mtamu balaa coz baada ya ule msiba kuisha basi siku chache baadae mipango yako ya kifedha ikafunguka[emoji12]unaambiwa shobo zilikuwa nyingi mpk taarifa za birthday napewa achilia mbali vikao vya harusi ninachaguliwa kuwa kiongozi wa kamati[emoji1787] maisha haya[emoji3] wacha leo tucheke tu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23]dadeqNa ukitaka kuchangia mada wanakuwahi "mbona kama unataka kuanzisha ugomvi"
Hahahahahahahaa....nimecheka sana hyo line ya mwisho dah🤣Kama hujafikia uchumi wa Kati epuka vikao vya ukoo.
Hata mmoja akiharibu hewa wewe ndio unatupiwa jicho.
Wakati wa kula kila mtu anaangalia unavyojichotea minyama na uchaguzi wako wa kinywaji.
Siku ya kurudi town kila unaemuomba lift anakuambia bado yupo Ila hakuambii lini ataondoka
Eeh sasa unataka lift had town mzee na ukifika town huna mishe unaishia kufikia kwa mtu na kushindia seblen...hahaa unamgeuzia lawama kwamba ndo ulikuja nae hivyo anapaswa kukusaidia kazi na fedha. .kumbe uliomba lift mtu akakupaKama hujafikia uchumi wa Kati epuka vikao vya ukoo.
Hata mmoja akiharibu hewa wewe ndio unatupiwa jicho.
Wakati wa kula kila mtu anaangalia unavyojichotea minyama na uchaguzi wako wa kinywaji.
Siku ya kurudi town kila unaemuomba lift anakuambia bado yupo Ila hakuambii lini ataondoka
Ita kuwa wewe ndio ULIKATWA JICHO, maana inaonekana hata wewe haukuongea,Kwanza kabisa watu wanaweza kudhan hii ni comedy ila ni ukweli mtupu.
Wiki kadhaa zilizopita kulikuwa na kikao cha ukoo kuhusu jambo flani hivi nyeti, kikao kilitubidi twende kijijini kwetu.
Tulifika vizuri tu na kusalimiana ila sasa kikao kilipotaka kuanza, kuna ndugu yetu flani uchumihaujamkaa sawa aliambiwa aende getini awe anaangalia usalama ama kupokea wageni.
Mwengine naye kikao kilipoanza baada ya kama dakika 20 aliitwa aende kupasua kuni kwa ajili ya kuota moto tukimaliza kikao
Mwengine aliruhusiwa kubaki ila aliishia kukaa kimya maana kila akijaribu kuongea anakatwa jicho fulani ivi mpaka anakosa raha.
Kiukweli niliumia sana
Mi siku hizi siendaji[emoji23][emoji23][emoji23] na bahati nzuri nashukuru siuliziwi, yaani namshukuru Allah!Nakumbuka nlishawai fiwa na baba shangazi nlikuja kujua baada ya mwezi mmoja
Jamani hilo jicho kwamba utakua umeachia vitu😀😀 tutafute pesa aiseeIkipita harufu yoyote wanakukata jicho kali
Unanikumbusha kaka yangu mkubwa aliambiwa apange viti afu mdgo wake akatolewa kiti akae kisa anapesaKwanza kabisa watu wanaweza kudhan hii ni comedy ila ni ukweli mtupu.
Wiki kadhaa zilizopita kulikuwa na kikao cha ukoo kuhusu jambo flani hivi nyeti, kikao kilitubidi twende kijijini kwetu.
Tulifika vizuri tu na kusalimiana ila sasa kikao kilipotaka kuanza, kuna ndugu yetu flani uchumihaujamkaa sawa aliambiwa aende getini awe anaangalia usalama ama kupokea wageni.
Mwengine naye kikao kilipoanza baada ya kama dakika 20 aliitwa aende kupasua kuni kwa ajili ya kuota moto tukimaliza kikao
Mwengine aliruhusiwa kubaki ila aliishia kukaa kimya maana kila akijaribu kuongea anakatwa jicho fulani ivi mpaka anakosa raha.
Kiukweli niliumia sana
Ha ha haMmekutana wote hamna pesa. Mngekuwa na senti getini kungekuwa na mlinzi msingeweka ndugu yenu. Na hizo kuni mngeita watu walete tu.