Ushuhuda: Nilichokiona kwenye kikao cha ukoo/familia, bila pesa huthaminiwi

Ushuhuda: Nilichokiona kwenye kikao cha ukoo/familia, bila pesa huthaminiwi

Mtu anaefanya dharau na kutothamini nduguze ama mtu yeyote wa nje atambue kuwa ipo siku ataondoka na ataacha kila kitu.

Ilo lipo wazi mkuu linajulikana lkn pamoja na ilo kuendekeza ndugu ni kujitaftia au kujiongezea umaskini hii ni kwa mujibu wangu naomba nisinukuliwe vibaya sijasema kwa ujumla wake hii ni kwa nionavyo mimi

Wacha nitoe mfano mdogo tu kwa faida ya wengine,katika hicho kipindi chote ambacho sikuwa mtamu nilionekana fala mbele ya ndugu zangu na hali hii nimekuwa nayo tangu mdogo sikuwahi kuonekana mtu mbele za watu kwa miaka yote nimeishi kwa manyanyaso na kutothaminika nimekuwa nikipatwa na majaribu ya kishirikina mara kwa mara tangu udogo wangu

Nimekuwa nikinusulika kuuwawa na washirikina tena hawa hawa ndugu zangu wa karibu sana tena sana na majaribu mengine nilikuwa nayashuhudia kwa macho yangu nikiwa ninaakili zangu timamu

Baadae nilipata mtu wa kunifungua akili,akanifanya kuwa mtu mpya na hapo ndipo nikaanza kuonekana mtu kati ya watu alafu leo hii eti nije nimpe nafasi mtu anaeitwa ndugu[emoji1787]sio rahisi

Naomba nimalizie kwa kusema ndugu ni watoto wako pamoja na familia yako nikimaanisha baba,mama na watoto
 
Kwanza kabisa watu wanaweza kudhan hii ni comedy ila ni ukweli mtupu.

Wiki kadhaa zilizopita kulikuwa na kikao cha ukoo kuhusu jambo flani hivi nyeti, kikao kilitubidi twende kijijini kwetu.

Tulifika vizuri tu na kusalimiana ila sasa kikao kilipotaka kuanza, kuna ndugu yetu flani uchumihaujamkaa sawa aliambiwa aende getini awe anaangalia usalama ama kupokea wageni.

Mwengine naye kikao kilipoanza baada ya kama dakika 20 aliitwa aende kupasua kuni kwa ajili ya kuota moto tukimaliza kikao

Mwengine aliruhusiwa kubaki ila aliishia kukaa kimya maana kila akijaribu kuongea anakatwa jicho fulani ivi mpaka anakosa raha.

Kiukweli niliumia sana
Shukuru, kuna wakati mtu anaambiwa asimame ili kreti za bia ziwekwe kwenye kiti.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hahaa mchongo wa 40 dys..had ndugu wote wakajua...au la alilamba kazi bandarini[emoji28]

Sio rahisi sana kuamini ninachokisema lkn kaa ukijua humu kwa sehemu kubwa hatujuani hivyo sina sababu ya kuudanganya umma wa watanzania hasa kwa watu wa humu ndani kitu kingine ambacho natakiwa nikiweke sawa hapa ni kwamba ule msiba ulitokea mwezi wa saba na arobaini ilitakiwa kufanyika mwezi wa tisa mwanzoni lkn kulingana na sababu zilizondani ya familia walisogeza mbele mpk mwenzi wa kumi na hapo ndipo waliona mabadiliko yangu makubwa

Wakuu hapa niseme tu wakati nakwenda msibani jamani nilikuwa rough sana yaani mpk leo nikikumbuka huwa nacheka[emoji1787]lkn miezi michache baadae nilionekana ni wakitofauti kabisa kwa sehemu kubwa hata hizi pombe (beers)nilitoa ofa mimi nakumbuka nilinunua kreti tatu peke yangu si haba kwa wakati ule kwani walizoea kuniona kapuku nisiyeweza kufanya kile nilichokifanya,haikuishia hapo likatoka wazo la michango ya harusi ya mtoto wa ndugu yetu na tarehe ya kikao kikapangwa mzee pale pale nikaahidi kutoa laki mbili na cash [emoji385] nikatoa laki nikamshikisha mama mwenye shughuli yake sasa unajua nini kilichofata?[emoji15]
 
Kumbe wewe ndio ulimtoa kafara bibi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tumegunduaaa.

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mkuu acha mambo yako mimi sio lwandamagere[emoji1787]
 
Sio rahisi sana kuamini ninachokisema lkn kaa ukijua humu kwa sehemu kubwa hatujuani hivyo sina sababu ya kuudanganya umma wa watanzania hasa kwa watu wa humu ndani kitu kingine ambacho natakiwa nikiweke sawa hapa ni kwamba ule msiba ulitokea mwezi wa saba na arobaini ilitakiwa kufanyika mwezi wa tisa mwanzoni lkn kulingana na sababu zilizondani ya familia walisogeza mbele mpk mwenzi wa kumi na hapo ndipo waliona mabadiliko yangu makubwa

Wakuu hapa niseme tu wakati nakwenda msibani jamani nilikuwa rough sana yaani mpk leo nikikumbuka huwa nacheka[emoji1787]lkn miezi michache baadae nilionekana ni wakitofauti kabisa kwa sehemu kubwa hata hizi pombe (beers)nilitoa ofa mimi nakumbuka nilinunua kreti tatu peke yangu si haba kwa wakati ule kwani walizoea kuniona kapuku nisiyeweza kufanya kile nilichokifanya,haikuishia hapo likatoka wazo la michango ya harusi ya mtoto wa ndugu yetu na tarehe ya kikao kikapangwa mzee pale pale nikaahidi kutoa laki mbili na cash [emoji385] nikatoa laki nikamshikisha mama mwenye shughuli yake sasa unajua nini kilichofata?[emoji15]


Ehe...safi sana...kiliendelea nn mkuu?
 
mi ishawahi kunitokea
niliposimama kuchangia mada, kaka mkubwa akanistopisha akaniambia
"Tafadhal sana mdg wangu, hapa hatujadili masuala ya punyeto"
ilinibidi nikae tu chini 😣
😁😁😁😁😁
 
Ilo lipo wazi mkuu linajulikana lkn pamoja na ilo kuendekeza ndugu ni kujitaftia au kujiongezea umaskini hii ni kwa mujibu wangu naomba nisinukuliwe vibaya sijasema kwa ujumla wake hii ni kwa nionavyo mimi

Wacha nitoe mfano mdogo tu kwa faida ya wengine,katika hicho kipindi chote ambacho sikuwa mtamu nilionekana fala mbele ya ndugu zangu na hali hii nimekuwa nayo tangu mdogo sikuwahi kuonekana mtu mbele za watu kwa miaka yote nimeishi kwa manyanyaso na kutothaminika nimekuwa nikipatwa na majaribu ya kishirikina mara kwa mara tangu udogo wangu

Nimekuwa nikinusulika kuuwawa na washirikina tena hawa hawa ndugu zangu wa karibu sana tena sana na majaribu mengine nilikuwa nayashuhudia kwa macho yangu nikiwa ninaakili zangu timamu

Baadae nilipata mtu wa kunifungua akili,akanifanya kuwa mtu mpya na hapo ndipo nikaanza kuonekana mtu kati ya watu alafu leo hii eti nije nimpe nafasi mtu anaeitwa ndugu[emoji1787]sio rahisi

Naomba nimalizie kwa kusema ndugu ni watoto wako pamoja na familia yako nikimaanisha baba,mama na watoto
Sisi ndugu zako huna habari nasi kisa siku hizi una pesa.
Tunajua anayekuroga Ni huyo mke wako.
 
Makabila mengine naonaga hata miaka mitano ikipita bila kwenda kwao ni kawaida sana, kwa makabila mengine ni lazima kuudi kila mwaka
Lazima wakatambike kwa mababu zao , unazani wataishi vipi hapa mjini
 
Sisi ndugu zako huna habari nasi kisa siku hizi una pesa.
Tunajua anayekuroga Ni huyo mke wako.
Yaani kama ulikuwepo, mke ndiyo huonekana mchawi namba moja hata kama mtoto wao hana chakuwapa ila ndiyo hivyo jumba bovu huangushiwa mke[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Sasa kama huna pesa unakaa kwenye kikao hata wakisema wapitishe mchango huna cha kutoa si bora ukakae getini tu upokee wageni au ukapasue kuni na kusaidia wamama jikoni ili wenye pesa wakitoka kujadili masuala ya msingi wakute chakula kipo tayari.

Pia kuwadharau wasio na pesa inasaidia kuwapa motisha ya kuzisaka kila mtu anataka kuheshimiwa lakini heshima haiji hivi hivi lazima uwe na kitu special cha ku offer .
 
Huko kuna mtu alianyanyuliwa kwenye kiti ikawekwa mbege
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapana hii ni kali mkuuu yaaan huna maana ila mbege ndo inathamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sisi ndugu zako huna habari nasi kisa siku hizi una pesa.
Tunajua anayekuroga Ni huyo mke wako.

[emoji38] kati yake yeye na mimi basi mimi ni mshirikina kuliko yeye maana kila baada ya muda huwa nakwenda kwa mtaalam wangu kuona kama kuna mpya na kipi kiongezwe

Hata ivyo labda nikuulize wakati sina pesa mlikuwa na mchango gani kwangu mlikuwa mnanionaje na mkichukua hatua gani tuanzie hapo[emoji1787]
 
Ilo lipo wazi mkuu linajulikana lkn pamoja na ilo kuendekeza ndugu ni kujitaftia au kujiongezea umaskini hii ni kwa mujibu wangu naomba nisinukuliwe vibaya sijasema kwa ujumla wake hii ni kwa nionavyo mimi

Wacha nitoe mfano mdogo tu kwa faida ya wengine,katika hicho kipindi chote ambacho sikuwa mtamu nilionekana fala mbele ya ndugu zangu na hali hii nimekuwa nayo tangu mdogo sikuwahi kuonekana mtu mbele za watu kwa miaka yote nimeishi kwa manyanyaso na kutothaminika nimekuwa nikipatwa na majaribu ya kishirikina mara kwa mara tangu udogo wangu

Nimekuwa nikinusulika kuuwawa na washirikina tena hawa hawa ndugu zangu wa karibu sana tena sana na majaribu mengine nilikuwa nayashuhudia kwa macho yangu nikiwa ninaakili zangu timamu

Baadae nilipata mtu wa kunifungua akili,akanifanya kuwa mtu mpya na hapo ndipo nikaanza kuonekana mtu kati ya watu alafu leo hii eti nije nimpe nafasi mtu anaeitwa ndugu[emoji1787]sio rahisi

Naomba nimalizie kwa kusema ndugu ni watoto wako pamoja na familia yako nikimaanisha baba,mama na watoto

Pole sana ndugu
 
Back
Top Bottom