Ushuhuda: Nilichokiona kwenye kikao cha ukoo/familia, bila pesa huthaminiwi

Ushuhuda: Nilichokiona kwenye kikao cha ukoo/familia, bila pesa huthaminiwi

Ukoo wenu ni wa kichoyo na MNA roho mbaya.

Hamna hali ya kuinuana ili kuondoa aibu ya familia.

Tuwaige ndugu zetu wachaga, wanavyobebana pindi waonapo mwenzao amekwama.

Umesema Wachaga?
Mbona hii kitu ya kubaguana ipo hata Uchagani!
Kama huna pesa kule msibani, wewe ni mtu wa kutumwa mbege & bia na vitu vingine.
Nenda kule Uswaa, Machame utakuta haya mambo.
 
Funny 😆 but not funny...naomba kukubaliana na wewe iliwahi kunitokea mie iliwahi kunitokea siku ya msiba wa bibi yangu nasikitika sikupewa taarifa na ndugu wa karibu zaidi alinitumia meseji binamu yangu na fasta msibani nilienda tena kwa kutembea kwa mguu maana nauli nilikuwa sina (ndugu hawakujali walanini)sasa cha ajabu ilifika siku ya arobaini nilikuwa mtamu balaa coz baada ya ule msiba kuisha basi siku chache baadae mipango yako ya kifedha ikafunguka😜unaambiwa shobo zilikuwa nyingi mpk taarifa za birthday napewa achilia mbali vikao vya harusi ninachaguliwa kuwa kiongozi wa kamati🤣 maisha haya😀 wacha leo tucheke tu😆😆😆😆😆
Siku 39 tu maisha yakakubadilikia, ulipiga dili gani mzee baba
 
Umesema Wachaga?
Mbona hii kitu ya kubaguana ipo hata Uchagani!
Kama huna pesa kule msibani, wewe ni mtu wa kutumwa mbege & bia na vitu vingine.
Nenda kule Uswaa, Machame utakuta haya mambo.
Kote tuu... jamani... kwani huko hamnaga wale mgambo wa kukodi? Na catering mbona ziko nyingi sana jaman na wanapika balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliropoka baada ya kula pilau la msiba nikasema mbona hili tamu kuliko la dar na kila mtu akakubaliana na mimi[emoji23][emoji23]
 
Hakuna alieweza kusema "SINYANYUKI, NIUENI..!!"?
Nampendaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] walikua wanamuabudu Beda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilaaaaaaaa.. kuna watu maskini jeuri nyieee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom