Nzuguni one
JF-Expert Member
- Dec 23, 2019
- 1,157
- 481
Tutafute mbumba ndugu zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyu kuni huyuWewe ni nani kati ya hao wa getini au kupasua kuni ?
Kwanza kabisa watu wanaweza kudhan hii ni comedy ila ni ukweli mtupu.
Wiki kadhaa zilizopita kulikuwa na kikao cha ukoo kuhusu jambo flani hivi nyeti, kikao kilitubidi twende kijijini kwetu.
Tulifika vizuri tu na kusalimiana ila sasa kikao kilipotaka kuanza, kuna ndugu yetu flani uchumihaujamkaa sawa aliambiwa aende getini awe anaangalia usalama ama kupokea wageni.
Mwengine naye kikao kilipoanza baada ya kama dakika 20 aliitwa aende kupasua kuni kwa ajili ya kuota moto tukimaliza kikao
Mwengine aliruhusiwa kubaki ila aliishia kukaa kimya maana kila akijaribu kuongea anakatwa jicho fulani ivi mpaka anakosa raha.
Kiukweli niliumia sana
Huko kuna mtu alianyanyuliwa kwenye kiti ikawekwa mbegeHili tatizo liko zaidi uchagani. Wazee wa kichaga wanamthamini mtoto aliyekwenda kula Xmas na gari binafsi kuliko aliyekwenda kwa treni
Wachagga acheni dharau. Yaani mbege inahadhi kubwa kuliko mtu asiye na pesa?Huko kuna mtu alianyanyuliwa kwenye kiti ikawekwa mbege
Mi siku hizi siendaji[emoji23][emoji23][emoji23] na bahati nzuri nashukuru siuliziwi, yaani namshukuru Allah!
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Kikao cha ukoo (sio cha kifamilia) kuna watu nadhani hata kikao cha ukoo hawakijui humu maana inaweza kupita miaka mitatu hawajarudi makwao wapo mijini tu 😁😁Inategemea na familia Tu na mnaheshimiana vipi na uaminifu wako
Binafsi Mimi palitokea msiba wa moja ya wazazi na kiukweli kiuchumi sikuwa vizuri na Mimi ndo kija mkubwa wa familia walichofanya ndugu zangu ni kunipa kusimamia kila Jambo kiasi kwamba hata fedha za kuendesha mazishi walinikabidhi
Kwenye familia chamsingi ni kuheshimiana na uaminifu ndo Jambo la msingi wakati mwingne watu wenye malengo Sawa huwa wanajaribu kuwatoa watu wasio na malengo yanayo fanana
Wakati wao wanajadiliana jinsi gani watauboresha mji wewe unakuja na mada ya kuuza lazima wakuepuke
Acha hizo banaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wachagga acheni dharau. Yaani mbege inahadhi kubwa kuliko mtu asiye na pesa?
Mnaotarajia kuoa uchagani jiandaeni kisaikolojia
🤣🤣🤣Huko kuna mtu alianyanyuliwa kwenye kiti ikawekwa mbege
Siku 39 tu maisha yakakubadilikia, ulipiga dili gani mzee baba
Ila wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja nifatilie huu mchongo, nibadili maisha nimechoka kuwa masikini.
Sure....kila mtu ana njia zake za kuearn money aiseNatamani kusema kitu ili niwathibitishie lkn najiuliza nikifanya hivi nafanya kwa faida ya nani na ili kiwenini vipi kama chanzo changu kilikuwa ni cha ujanja ujanja
Nakuja mzee baba[emoji38]karibu mkuu pm iko wazi