Mchawi na mizimu ushirikinaMchawi analoga machine au mashine ''inaharibiwa'' na mizimu? Karne hii bado unaamini? Pole sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchawi na mizimu ushirikinaMchawi analoga machine au mashine ''inaharibiwa'' na mizimu? Karne hii bado unaamini? Pole sana.
Dahhh, kumbe tunafuga wachawawi, hii hatariKule anaenda kupewa nguo kisha anaachiwa Ili raia wasimdhuru
Nimesoma nikaishia kucheka tu!kwenye migodi usipokuwa nunda utaambiwa had upeleke nywele za sehemu nyeti..ila wakishajua boss hatak masuala hayo waka husumbuliwi na kitu !na huko waganga wamejenga majumba ya fahari kupitia wehu kama hawaMchawi analoga machine au mashine ''inaharibiwa'' na mizimu? Karne hii bado unaamini? Pole sana.
Yaan sahihi kabisa mkuuushirikina kazini upo.
kuna muda hujisikii tu kwenda kazini na hatua zinakuwa nzito,
au wakati mwingine unaamua kabisa kuacha kazi na sababu za msingi huna.
Tunayo sheria ya uchawi, witchcraft Act ya siku nyingi sana hii sheria tangu mkoloni miaka ya 1930s kama sijakosea. Uchawi Tz ni kosa kisheria Mkuu na kesi zipo.
Ndugu wazungu ni washirikina walioshindikanika hasa hawa wanaokuja kutalii huwa wana mambo mengi sana huwezi ukaamini kabisa.
Swali zuri..au kwanini hawaibi benk?hivi kwanini hawawezi kuzitengeneza pesa?? wanakwama wapi??...
Mimi kwetu Lindi ..siku moja nilikuwa na mgeni kwenye gari tunatoka Dar tunaenda masasi,tulipofika Lindi mjini akaniuliza hapa wapi nikamjibu hapa ndy Lindi mjini.akakaa kimya me nikafungua dirisha nikaangalia nje huku natabasamu huku gari likiwa linatokomea mdogomdogo 50 km/ h kuelekea masasiMikoa ya tanga, Lindi, pwani hii imefungwa kichawi ni ngumu Sana kuwa na maendeleo hadi zindiko liondolewe upo uchawi wa kuuroga mkoa mzima usiwe na maendeleo.Afrika ya weusi yote ni kama imerogwa thus hakuna maendeleo
Nakubaliana nawe kwa hili....Mikoa ya tanga, Lindi, pwani hii imefungwa kichawi ni ngumu Sana kuwa na maendeleo hadi zindiko liondolewe upo uchawi wa kuuroga mkoa mzima usiwe na maendeleo.Afrika ya weusi yote ni kama imerogwa thus hakuna maendeleo
Akhui ulisemalo ni kweli...hao jamaa kweli wana teknolojia kubwa kabisa usemayo.....ila hizo "mbanga wanafanzanga"...huko migodini kuna mengi akhy....FYI, Waarabu wapo Oman wanaangalia, wanatazamia karai la maji wanaona MADINI YA KILA AINA huku Tanzania....
Mabeberu wapo Majuu wanatazamia kwa Satelite wanaona muamba na migodi yote....
WaChina wapo barani ASIA wanakuja na vifaa Minerals Detectors vyombo vinatoa results positive reserves....
Sisi tuna leta vikuku,vifaranga elf 20.....
Tutafika kweli... STRUGGLE MAN
nlimwadithia mfanyakazi mwenzangu mwenye uzoefu wa miaka mingi kazini kuhusu kusitasita kuja kazini.Yaan sahihi kabisa mkuu
Excavator ni miongoni mwa vifaa bora but pia kuna vifaa ambavyo ni bora zaidi na vyakisasa ambavyo vinarahisisha katika uchimbajiMkuu, hapo kwenye VIFAA bora; hivi Excavator ya mshkaji yenyewe haiingii kwenye vifaa bora?
Mganga ni matured mchawiHivi kuna tofauti gani kati ya mganga na mchawi
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Mchina au Muhindi ni mchawi acha tuu, hapo anaweza kuja kuwapa vitunguu watu wa hapo site, anakuja babu anamwaga maji kuzunguka eneoCha kushangaza akija mzungu, mchina au muarabu kuchimba kunakua hakuna vikwazo kama hivyo na wanafanikiwa kuchimba na kupata wanachokihitaji.
Pia ninashangaa Serikali haiamini uchawi ila anapokamatwa mchawi kaanguka uchi wanatia pingu na kumpeleka kituo cha polisi je kule anaenda kama mtuhumiwa wa nini au anaenda kuhukumiwa kwa kutokuvaa nguo yaani anatembea uchi.
dunia ina mamboHiyo ndy Tanga bwana ...
Mwaka juzi Ndugu yangu form six alipangiwa JKT mkoa wa Tanga .Siku moja wanakimbia mchakamchaka,kundi Lao kwenye uelekeo wanakokwenda wakawaona watu wawili wanakuja.Watu wale walionekana km wanaenda shambani hivi,Ile wanataka wakaribiane wapishane Yule mtu mmoja akadondosha Mia 5 .Kwa sababu hakujua km ameangusha ela akaendelea kutembea Tu km hakuna kilichotokea,kumbe lile kundi la mchakamchaka wale wote waliopo mbele waliiona Ile Mia 5.Walipopishana na wale watu wawili mbio zikaanza kukimbilia Ile ela, Kwa bahati akafanikiwa kuiokota ndugu yangu.
Mchakamchaka ukaendelea kurudi kambini.Njiani Hali ya dogo ikachenji ghafla,kichwa kilimuuma Hadi akaanguka chini.kwa sababu ilichukuliwa ni Hali ya kawaida Kwa watu ku-faint wakati wa mazoezi makali basi wakambeba wakajua ni Hali ya kawaida ambayo huwakuta wengi wakiwa mazoezini.Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi.wakati ananisimulia akanambia wakati amelala chini akafikiria kwamba mbn hii Hali imemkuta ghafla sn na wala hakuwa amechoka na mazoezi makali km walivyomtafsiri watu?Ghafla mwili ukazidi kuisha nguvu. Akakumbuka dakika km kumi hivi nyuma alikimbizana na wenzie na kufanikiwa kuiokota Ile Mia 5,alichokifanya ni kuingiza mkono mfukoni na kuitoa Ile hela akaitupa.Dakika km mbili jasho Kali lilimtoka kisha akapata nguvu akainuka Hadi watu wote waliopo pale wakamshangaa maana Walikuwa wanafanya utaratibu wamkimbize hospitali
Alipowasimulia kwamba baada ya kuitupa Ile Mia 5 aliyoiokota ndy akajiskia vizuri,wataalamu wa mambo wakamwambia nyie wa kuja mujiangalie sn hapa Tanga.Ndugu yetu Una bahati sn maana wale jamaa wawili mliopishana Walikuwa ni wachawi na muda si mrefu ulikuwa ufe kisha uwe msukule
Mkuu unaishi nao wapi,wale jamaa kwa kutambikia hawajambo kabisa hasa pale siku ya kwanza kabisa ya kuanza kazi,inawezekana wewe hua unakuta kazi ilisha anza miaka kadhaa nyuma huko,hapo huwezi kujua.Sidhani kwamba katika kazi zao kama hizi wanatumia uchawi, mara nyingi wanatumia elimu na vifaa bora ili kufanikisha malengo yao, naamini uchawi au ushirikina wanao ila sidhani kama wanatumia ktk mambo kama ya sayansi, Mm naishi nao huku
Mganga ni matured mchawi