USHUHUDA: Nilivyokutana na ushirikina kazini

USHUHUDA: Nilivyokutana na ushirikina kazini

Cha kushangaza akija mzungu, mchina au muarabu kuchimba kunakua hakuna vikwazo kama hivyo na wanafanikiwa kuchimba na kupata wanachokihitaji.

Pia ninashangaa Serikali haiamini uchawi ila anapokamatwa mchawi kaanguka uchi wanatia pingu na kumpeleka kituo cha polisi je kule anaenda kama mtuhumiwa wa nini au anaenda kuhukumiwa kwa kutokuvaa nguo yaani anatembea uchi.
Hao wachina unaowasema walipewa eneo wachimbe madini na wakataka wenyeji wahamishwe kibabe, wazee wakakaa kitako, hadi kesho mchina hakuona hayo madini na mitambo ameisusa hana mpango nayo, imebaki historia tu.
 
Tatizo waswahili tuna shida sana! Mzungu akiua Mswahili mgodini hicho ni kifo cha kawaida ila ngoja mtu afie kwenye mgodi wa mswahili!! Tambiko.

Nimefanya nao kazi sana, wanaloga kinyama na hakuna wanachofanya bila kuloga. Ajabu alikuwa hatoi pesa au malipo siku ya Jumanne watu wakachukulia kawaida kumbe majini yake yamemkataza!! Fanya wewe mswahili uone utavyoandamwa na kashfa za uchawi.
Uko smart mi nimekataa tanga nawaona mpaka wachina, waarabu na wazungu wakija kuroga na kufanyiwa dawa jirani yetu ni mganga wanakuja na gari kali ila uyo mganga nyumba ya nzuri kwa mbele kali ma uwani kweny ofisi yake ya kufanyia kazi ni kbanda cha udongo


Hao wazungu waarabu wanamltea zawadi kibao kama tv ,mpaka gari analo ila anaishi maisha ya kutmbea kama masikini wanae ndo wanaendesha jamaa huyo mpaka mpaka malaptop. Wazungu ,na waarabu na wachina wakija wanamletea kama zawadi
 
Yule jamaa anaejiita kiranga mpinga uwepo wa Mungu na ushirikina, aje hapa apinge kwa hoja[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Hapo umeliwa hao waliokwenda kwa mganga huenda kuna mahali wamechezea so baada ya huyo kukuita chemba mwenzake ameenda fasta kurekebisha kisha wakachukua hiyo buku 20 na kutia mfukoni mimi bado siwezi kushawishika kama kweki uchawi upo mpaka niuone na kuugusa kama babu yangu thomaso.
Mkuu mim sikuwah kuamin hayo mambo kbs,ila amin nakwambia siku yakikukuta utaelewa. Nina cases nyingi sn nimezishuhudia mwanzo mwisho sio kwamba watu wananifanyia michezo/hujuma, it's really. Ulishawah kuona unampa kaz mwanakijij alinde machine mgodin kwa elfu 10 per person yan usiku mmoja, na wako wawili but ikifika asbh wanakwambia tafuta walinz wengine wao hawatak tena kulinda ktk hilo eneo. Tukabadili walinz karibu mara3 nakupandisha dau (kwa kijijin hiyo ni hela nyingi kdg kwa usiku mmoja) lakin watu wakawa wanatema bungo, kumbe Kuna show za kibabe walikua wanazishuhudia ucku .... Ilifika mahali tukafunga iyo site baada ya kula hasara kubwa ,tuliandamwa na kila aina ya balaa . Halaf jamaa watu wabaya, yaan we unaendelea kujipa moyo kwamba apa tutatoboa, hata ushauriwe unaona aah hiz changamoto tuu zitaisha, had kuja kushtuka ushaunguza hata 15m.
 
Hakuna watu siwapendi kama wachawi pumbavu sana hao watu walisababisha mzee wangu kupoteza direction kabisa ya maisha yake pamoja na familia tukaingia kwenye shida kubwa sana mpaka mzee akakata moto mpaka sasa niko yatima nachukia uchawi pamoja na washirika wake
 
Natamani kujua hukumu mojawapo ya mchawi ambaye yuko jela kwa kosa la uchawi. Kuhusu wazungu ni hawafai [emoji119] wao wana vyuo kabisa vya witchcraft and wizardry [emoji23] wao hawapai kwa ungo, wanasafiri kwa ufagio [emoji3472]
Hata tza vipo vyuo vya uchawi mfano kimoja kipo temeke.Unasoma darasani uchawi miaka 5 kisha uganga miaka 2 ukimaliza unapewa cheti kuendelea na elimu ya juu ya uganga na uchawi.
 
Watu weupe ni wachawi Sana mwafrika atii mguu thus waliweza kuwachukua waafrika utumwani na kuwatawala pia sema uchawi wao sio wa uharibifu yaani kurogana kwa sababu umejenga nyumba ya Bati uchawi wao ni wa maendeleo pili wanachanganya vyote utaaalamu na uchawi kupata vitu unthinkable.Ipo article kwamba wazungu ni uzao wa binadamu na majini thus uwezo wao wa kufikiri au kutatua mambo upo juu Sana.
 
uchawi upo sanaaa atakae kataa haujamkuta yan unarogwa ukiliona get la ofsi unarud nyumban mwenyew mpka utawala walinfata nyumban na kunshaur nirud kwa wazaz yawezekana kuna kitu hakiko sawa mana taizng la kwanza skuingia kazn miez 3 na wananiona mjin ila kufka ofsn n kipengele yan uwez sjui kama anaebisha anaelewa au la?
kuna Bar tulikua tumezoea sana kwenda kula bia apo kuna sku mhudum akanvuta chemba akanambia bro kama unaweza hama hii baa utakua mlev wa kutupa mwenye bar ua anawaloga wateja wake mwsho wa sku unajikuta saa mbil tu asubh uko nje ya bar unasubr wafungue unywe ata ka spirt kama huna hela ya bia anachokifanya akijua hil cret ndio kina flan walkua wanakunywa na ndio chupa zao anaweka maji ya dawa kwenye izo chupa mlzonywea bia na kumwagia hayo amji kwenye maua yan ikfka saa saba ujafka apo bar we n mwanaume hata kama n mwlimu utatoroka darasan ukanywe bia hata mbil urud kazn nlkata mguu apo kwenye hiyo bar

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
CIA,Mossad ni lazima ufuzu elimu ya uchawi mfano jinsi ya kupotea,jinsi ya kuingia sehemu kuchukua taarifa bila kuacha alama,usome elimu ya mazingaombwe,nk.
 
Yule jamaa anaejiita kiranga mpinga uwepo wa Mungu na ushirikina, aje hapa apinge kwa hoja[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Unatenganishaje hoja na isiyo hoja na unajuaje utenganisho wako ni sahihi?
 
Natamani kujua hukumu mojawapo ya mchawi ambaye yuko jela kwa kosa la uchawi. Kuhusu wazungu ni hawafai [emoji119] wao wana vyuo kabisa vya witchcraft and wizardry [emoji23] wao hawapai kwa ungo, wanasafiri kwa ufagio [emoji3472]

Kuna kesi moja maarufu inaitwa Masamaki's Case naisahau jina kamili ila kwenye hiyo kesi jaji aliweka kanuni za kupima nani mchawi na nani mganga wa kienyeji maana kuna watu wanawachanganya

Nikiipata kesi kamili nitajaribu kui share Mkuu, ila ni kesi ya huko kanda ya ziwa
 
nlimwadithia mfanyakazi mwenzangu mwenye uzoefu wa miaka mingi kazini kuhusu kusitasita kuja kazini.
alinipa ushuhuda wake binafsi...
"wewe unasita tu kuja kazini! ...mimi nliacha kazi kabisa."
Hii hali inatokeaga kabisa unaamka asubuhi mara ghafla unasema liwalo na liwe mi siendi
 
"Na mwingine akaenda akaleta ka kuku kadogo akachimba shimbo pembezon mwa site akakafukia kale kakuku kakiwa kazima. Baada ya hapo wakamwambia Operator awashe machine. Mi naangalia tuu km movie, aisee huezi amini machine ikawa na power kuzidi hata uwezo wake siku zote"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa nimecheka sana
 
Duuuh!! Kazi ipo watu wanaroga mpaka chuma.
 
Back
Top Bottom