USHUHUDA: Nilivyokutana na ushirikina kazini

Mchawi analoga machine au mashine ''inaharibiwa'' na mizimu? Karne hii bado unaamini? Pole sana.
Nimesoma nikaishia kucheka tu!kwenye migodi usipokuwa nunda utaambiwa had upeleke nywele za sehemu nyeti..ila wakishajua boss hatak masuala hayo waka husumbuliwi na kitu !na huko waganga wamejenga majumba ya fahari kupitia wehu kama hawa
 

Natamani kujua hukumu mojawapo ya mchawi ambaye yuko jela kwa kosa la uchawi. Kuhusu wazungu ni hawafai [emoji119] wao wana vyuo kabisa vya witchcraft and wizardry [emoji23] wao hawapai kwa ungo, wanasafiri kwa ufagio [emoji3472]
 
Mikoa ya tanga, Lindi, pwani hii imefungwa kichawi ni ngumu Sana kuwa na maendeleo hadi zindiko liondolewe upo uchawi wa kuuroga mkoa mzima usiwe na maendeleo.Afrika ya weusi yote ni kama imerogwa thus hakuna maendeleo
Mimi kwetu Lindi ..siku moja nilikuwa na mgeni kwenye gari tunatoka Dar tunaenda masasi,tulipofika Lindi mjini akaniuliza hapa wapi nikamjibu hapa ndy Lindi mjini.akakaa kimya me nikafungua dirisha nikaangalia nje huku natabasamu huku gari likiwa linatokomea mdogomdogo 50 km/ h kuelekea masasi
 
Mikoa ya tanga, Lindi, pwani hii imefungwa kichawi ni ngumu Sana kuwa na maendeleo hadi zindiko liondolewe upo uchawi wa kuuroga mkoa mzima usiwe na maendeleo.Afrika ya weusi yote ni kama imerogwa thus hakuna maendeleo
Nakubaliana nawe kwa hili....
 
Akhui ulisemalo ni kweli...hao jamaa kweli wana teknolojia kubwa kabisa usemayo.....ila hizo "mbanga wanafanzanga"...huko migodini kuna mengi akhy....

Wanaitafuta fedha kwa njia tofauti hao mabwana....

Wachina wao Mungu wao fedha....waulize waliofanya nao kazi katika SHUGHULI za ujenzi n.k

All and All Mungu Mwenyezi ni Alpha na Omega...huwwal awwalu wal akhiru!!
 
Mkuu, hapo kwenye VIFAA bora; hivi Excavator ya mshkaji yenyewe haiingii kwenye vifaa bora?
Excavator ni miongoni mwa vifaa bora but pia kuna vifaa ambavyo ni bora zaidi na vyakisasa ambavyo vinarahisisha katika uchimbaji
 
sasa kama hawa watu ni wachawi kwanini wasiroge hayo madini yakatoka chini yakaja juu yenyewe wawe matajiri... tunahangaika kuchimba gas na mafuta wakati wao wanaweza kufanya miujiza, waanze sasa kutuletea gas kutokea ardhini baharini ikaja juu...

Inanikumbusha kisa cha jamaa mwenye uwezo wa kufufua watu kwenye makanisa halafu wapendwa wetu wakifa anajikausha hata kuongelea hilo swala...
 
Hapo umeliwa hao waliokwenda kwa mganga huenda kuna mahali wamechezea so baada ya huyo kukuita chemba mwenzake ameenda fasta kurekebisha kisha wakachukua hiyo buku 20 na kutia mfukoni mimi bado siwezi kushawishika kama kweki uchawi upo mpaka niuone na kuugusa kama babu yangu thomaso.
 
Mradi wa Barabara ya Bagomoyo Msata aisee kuna Operator wa Excavator kama kapata dharura kipindi hicho basi huwezi kutumia machine yake yaan hata kuwaka haiwaki hata uweke mafundi namna gani,
Mwisho wa siku Boss alimtumua kazi...
 
Mchina au Muhindi ni mchawi acha tuu, hapo anaweza kuja kuwapa vitunguu watu wa hapo site, anakuja babu anamwaga maji kuzunguka eneo
 
dunia ina mambo
 
Sidhani kwamba katika kazi zao kama hizi wanatumia uchawi, mara nyingi wanatumia elimu na vifaa bora ili kufanikisha malengo yao, naamini uchawi au ushirikina wanao ila sidhani kama wanatumia ktk mambo kama ya sayansi, Mm naishi nao huku
Mkuu unaishi nao wapi,wale jamaa kwa kutambikia hawajambo kabisa hasa pale siku ya kwanza kabisa ya kuanza kazi,inawezekana wewe hua unakuta kazi ilisha anza miaka kadhaa nyuma huko,hapo huwezi kujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…