[emoji23][emoji23][emoji23]Hiki ndio kilimo cha WhatsApp...I mean JF?
Vitunguu maji vinakata sanaAisee niliwahi kulima kitunguu, sina hamu[emoji134]
Vipi na wewe mkuu kuhusu ufugaji, unakupa faida vzr?
KukuUnafuga nini dada?
Oooh tena wewe itabidi nikupmMwalimu nipo hapa utapata shule ya vitendo tokea ruvu direct ;
Hongera sana! Nilifuga chotara aisee si nikaja kukosea formula ya chakula walipoanza kutaga!Kuku
Huyu asidanganye watu mkuu hata mimi huwa nafanya kilimo cha mpunga asikwambie mtu kama hauna mtaji wa kutosha hutoki. Na faida yake baada ya mavuno huwa ni ndogo mno.
Sema napenda kilimo ndiyo maana siachi na nafanya kilimo kama kazi ya ziada tu. Ila kwa mtu anayetegemea kilimo tu kama chanzo kikuu cha mapato lazima atumie gharama kubwa na faida ni kidogo mno.
Hahaha Dada sio kwa kutishana uku
una eskipirienz karibu na kila kitu mama [emoji5]Nashukuru Mungu nilishafanya kilimo..tena kwa kupewa buure bwana shamba wa sua..heheh...kilimo sio rahis km alivyoandika..atupe mahesabu hapa na bei ya mbegu za vitunguu ..na alitumia aina ipi ya umwagiliaj kwa hizo siku 100..na alitumia sh ngap kwa vibarua...hapa kun vibarua wa3.
1.wakulima tractor
2.kuweka mabox au matuta na zile furrows kupitisha maji..wana bei zao..azawaizi alisaidiwa na mama zake wadogo
3.wakuangalia shamba plus msos kwa 100dys!
kama hujikuti unabak na 200k..alafu et eka 1[emoji23][emoji23][emoji23]...
pluz madawa[emoji5]
πππππππeti kwenye diaba! Nmecheka kwa nguvu usiku huu lol...Mwaka 2017 hubby alikua ana kitete kweli cha kufuga samak..kila navyoona pale sua vusamak vinavyotoka km kiganja nasema hapNa..nikaja mtafta mtaalam hahaa aliniambia hvi..shem km unataka kufanya biashara ya ufugaji samaki anza na 40 au 50m..chin ya hapo naogipa kula hela yako...yaa hata hawa wataalam wanajua kbs..ila ss wanakujia na idea za ufugaji wa samak kwenye diaba...!Mungu awakemee!
πππππππeti kwenye diaba! Nmecheka kwa nguvu usiku huu lol...
una eskipirienz karibu na kila kitu mama [emoji5]
Nmeshawahi ona aisee mwaka jana sabasaba hata humu Kuna uzi wa huo ufugaji wa fish kwenye hayo madudeumewahi sikia huuufugaji au hujawah sikia mkuu?yes kwenye diaba walianzisha kufuga samak..madai yake km huna eneo
Nmeshawahi ona aisee mwaka jana sabasaba hata humu Kuna uzi wa huo ufugaji wa fish kwenye hayo madude
Ndiyo hivyo mkuu kilimo ni kigumu mno ila ukisoma maandiko mbalimbali yanaongelea faida tu tena kubwakubwa za kilimo unaweza kuchukia kazi uliyonayo ukakimbilia kulima. Ila utakachokutana nacho field kama wewe sio mpenzi wa kilimo hautarudia tena.Wewe upo kama dingi angu anahangaika na mipunga huyo.haha yaana anafanya coz anapenda mara mbolea uwii mwishowe alichopata hakifananii..pyee
Ndiyo hivyo mkuu kilimo ni kigumu mno ila ukisoma maandiko mbalimbali yanaongelea faida tu tena kubwakubwa za kilimo unaweza kuchukia kazi uliyonayo ukakimbilia kulima. Ila utakachokutana nacho field kama wewe sio mpenzi wa kilimo hautarudia tena.
Cha msingi watu waseme ukweli kuhusu kilimo faida na hasara zake.
Ni sawa na kipindi flani nmerudi nyumbani nikakuta watu wanawafundisha kina mama huko kijijini eti walime mboga ya kuuza kwenye mifuko ya salfetππππnashukuru umeniokoa..ningeonekana mwongo
Term nyingine nikajitoa ufahamu ..nikawa namwaga area yenye mzunguko wa watu .lakinj nao wana kanuni zao..tunda 1 ukiuza ni 200..bado hela ya ulinzi .bado hela ya kumpa mwenye eneo ..bas matikiti yakae siku 3...hakuna..unakaa 27dys unauza tu eka 3. pyee..unajikuta ile hela ulomkwepa dalali bora ΓΉngempa yy....mie kilimo nachokiamini kwa sasa ni kilimo cha MITI Tu