USHUHUDA: Ninavyoyamudu maisha kupitia kilimo cha mbogamboga ndani ya ekari moja tu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuh hichi chama cha jf kitatuchomoa mbavu
 
Kweli hii ya kuweka stock inalipa sana mkuu
 
Unaweza kutuwekea mchanganuo kidogo wa kilimo cha MITI mkuu
 
Kabisa mkuu muda na wenyew ni pesa manina
 
Tatizo ushuhuda mnaletaga mkipata faida tu hasala mnapiga kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…