Ushuhuda wa uwepo wa mali za Kijerumani

Mkuu wataalamu niliowakuta pale ndiyo waliothibitisha kuwa vito hivyo vimetengenezwa kwa madini ya diamond na Uranium na si mimi,kwa hivyo mantiki niliyopata pale ndiyo iliyotumika kufikisha ujumbe hapa
Uranium haiwezi kuwa exposed hivyo maana ni hatari kwa binadamu, wanyama na mimea na ardhi iliyokuwa exposedkwauranium haiwezi tumika kwa muda. Huu ni utapeli tu
 
Ujinga ni kipawa mwenyez mungu alivyo wajalia. Amen
 
Half-life yake ni 4.5 billion years.

Yaani kama leo hii unayo kilo moja ya Uranium baada ya miaka 4.5 billions hiyo kilo moja itakuwa imepungua kufikia nusu kilo.
Ila wanasayansi hesabu zao zingine zinanichekesha sana.
sasa miaka 4.5 billions si itakuwa hata kiyama kishapita,maana tangu afe yesu ndio kwanza miaka 2020 yaani hata miaka 3000 bado halafu hao wanaongelea miaka bilioni.
 
sinamaana ya diamond baba lao bali diamond madini a.k.a almas eti uipate halafu uiache imelala ardhini unahangaika tafuta soko. Jamaaatapigwa huyu
Jamaa walimfanya zezeta walimuona ni mgeni wakataka wampige pesa wamuachie makanyanga.
 
Ila wanasayansi hesabu zao zingine zinanichekesha sana.
sasa miaka 4.5 billions si itakuwa hata kiyama kishapita,maana tangu afe yesu ndio kwanza miaka 2020 yaani hata miaka 3000 bado halafu hao wanaongelea miaka bilioni.
Hapo Wanasayansi hua wanatudangaya sana. Dunia haijafikisha hata miaka elfu 5 tangu iumbwe.
 
Siwezi kazia sana maana mimi nilishuhudia tu,kuhusu kuuza ni dhamana yao
 
Half-life yake ni 4.5 billion years.

Yaani kama leo hii unayo kilo moja ya Uranium baada ya miaka 4.5 billions hiyo kilo moja itakuwa imepungua kufikia nusu kilo.
Ok asante.!
Mambo ya physics hayo.!
 
Mkuu!
Sijui hata lengo lako ni Lipi la kuanzisha Uzi huu!
Ukweli ni kuwa hivyo Vitu vipo na Ndo maana pale Wizara ya Maliasili kuna kitengo cha Mali Kale, inaonyesha Serikali inatambua uwepo wa hivyo Vitu, na Serikali hutoa Vibari.......

Jf hutopata chochote Positive zaidi ya Hasira za Watu waliopata kutapeliwa, Ndugu ya waliopata kutapeliwa..... Na watu ambao huwa wanasikia hizi story kama ni Utaperi....

Hapo kuna Vitu hujaeleza, Yale Mauzauza, na kama ungeeleza yote, ungeishia kuitwa Majina mabaya hapa!!!

Ni nini lengo la Uzi wako?
Niko na Experience na unachokielezea ILA hapa jf hutopata chochote positive!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…