mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Aaah! Mbona unataka kuharibu mipango ya watu?Mwisho wa huu uzi mtu atapigwa hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah! Mbona unataka kuharibu mipango ya watu?Mwisho wa huu uzi mtu atapigwa hela
Hivyo ni mabaki ..mali halisi zilishaondoshwaHabari wana Jf
Kwa muda mrefu sasa nilikuwa nikifuatilia ndani na nje ya JF kuhusu mali alizoacha mjeruman kipindi anaondoka nchini miaka mingi iliyopita. Kila mtu alitoa mtazamo wake juu ya mali kale zilizoachwa katika sehemu mbalimbali ndani ya nchi yetu. Wapo waliosema kuwa mzungu hawezi kuacha mali lazima aliondoka nayo,wengine wakasema kuwa hiyo ni ndoto hakuna kitu kama hicho,wengine wakaenda mbali zaidi wakihusisha mali zilizoachwa na ushirikina na wengine wakasema hiyo ni ndoto na hakuna kitu kama hicho kuhusu mali zilizoachwa na wajerumani.
Kwa miaka mitatu ambayo nilitaka kujua undani wa jambo hili ikiwemo na kutembelea sehemu mbalimbali ikiwemo mkoa wa TABORA na SINGIDA hatimae nimeweza kubaini ni kweli wajerumani waliacha mali zao nchini mwetu na uwezekano wa kuzipata upo.
Siku ya tarehe 9 julai 2020,nilitembelea site moja iliyopo mkoa wa Singida wilaya ya Ikungi na kufanikiwa kuonana na vijana ambao wamefanikiwa kupata hazina hizo za mjerumani kama moja ya mapambano ya kutafuta ridhki.
Kiukwel sikuwahi kuamini kama kuna ukweli wowote juu ya uwepo wa mali hizi za kijerumani ila nimeweza kujionea mwenyewe kwa macho yangu baadhi ya vitu walivyofanikiwa kuvipata katika moja ya site iliyokuwa vimehifadhiwa vitu hivyo.
NB;Lengo la post hii ni kutoa ushuhuda tu kuwa mali za kijerumani zipo na si uongo wala mambo ya kishirikina,sijaweka post hii kwa lengo lolote lile tofauti na kutoa ushuhuda pekee.View attachment 1505966
Maelezo zaidiHabari wana Jf
Kwa muda mrefu sasa nilikuwa nikifuatilia ndani na nje ya JF kuhusu mali alizoacha mjeruman kipindi anaondoka nchini miaka mingi iliyopita. Kila mtu alitoa mtazamo wake juu ya mali kale zilizoachwa katika sehemu mbalimbali ndani ya nchi yetu. Wapo waliosema kuwa mzungu hawezi kuacha mali lazima aliondoka nayo,wengine wakasema kuwa hiyo ni ndoto hakuna kitu kama hicho,wengine wakaenda mbali zaidi wakihusisha mali zilizoachwa na ushirikina na wengine wakasema hiyo ni ndoto na hakuna kitu kama hicho kuhusu mali zilizoachwa na wajerumani.
Kwa miaka mitatu ambayo nilitaka kujua undani wa jambo hili ikiwemo na kutembelea sehemu mbalimbali ikiwemo mkoa wa TABORA na SINGIDA hatimae nimeweza kubaini ni kweli wajerumani waliacha mali zao nchini mwetu na uwezekano wa kuzipata upo.
Siku ya tarehe 9 julai 2020,nilitembelea site moja iliyopo mkoa wa Singida wilaya ya Ikungi na kufanikiwa kuonana na vijana ambao wamefanikiwa kupata hazina hizo za mjerumani kama moja ya mapambano ya kutafuta ridhki.
Kiukwel sikuwahi kuamini kama kuna ukweli wowote juu ya uwepo wa mali hizi za kijerumani ila nimeweza kujionea mwenyewe kwa macho yangu baadhi ya vitu walivyofanikiwa kuvipata katika moja ya site iliyokuwa vimehifadhiwa vitu hivyo.
NB;Lengo la post hii ni kutoa ushuhuda tu kuwa mali za kijerumani zipo na si uongo wala mambo ya kishirikina,sijaweka post hii kwa lengo lolote lile tofauti na kutoa ushuhuda pekee.View attachment 1505966
[emoji867]Jamaa mpuuzi na mshenzi anataka aaminike akati amechukua picha ya watu na maelezo yake Ni kweli Ni tapeli na mjinga kisirani picha alisi hiiView attachment 1581330
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee nacheka lakini naogopa [emoji16][emoji16][emoji23]Jamaa mpuuzi na mshenzi anataka aaminike akati amechukua picha ya watu na maelezo yake Ni kweli Ni tapeli na mjinga kisirani picha alisi hiiView attachment 1581330
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww Ni mjinga na mpumbavu Mimi Ni Kati ya mdau mkubwa wa haya mambo[emoji867]
Haris wa nkungi (mkalama)Ikungi, kwa Kina Harris Kapiga wa CloudsFM
Acha uwongo Basi Mambo sio rahisi kihivyo. Dose ya siku moja haiwezi kukupa kansa Kama ni hivyo wakina Pierre, marie na Rutherford wangekufa bila ya hata kufanya ugunduziKama kweli Uranium ipo hapo, basi watu wote walioishika au kuikaribia tayari wapo hatarini kupata kansa wakati wowote, Uranium ni silent killer.
Aree waaahHaris wa nkungi (mkalama)
Ikungi ni kwa President Lissu
hapa ni ikungi singidaJamaa mpuuzi na mshenzi anataka aaminike akati amechukua picha ya watu na maelezo yake Ni kweli Ni tapeli na mjinga kisirani picha alisi hiiView attachment 1581330
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uwongo Basi Mambo sio rahisi kihivyo. Dose ya siku moja haiwezi kukupa kansa Kama ni hivyo wakina Pierre, marie na Rutherford wangekufa bila ya hata kufanya ugunduzi
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho wa huu uzi mtu atapigwa hela
[emoji23][emoji23][emoji23]Utapeli.
Narudia tena huu ni utapeli.
Ngoja nikazie tena, HUU NI UTAPELI.
Watu wapo mbel ya muda. Kumb pic kachukua ig [emoji1787][emoji1787]haya ukupga pcha zngne[emoji16][emoji16] naamn kuna watu walmfata pm mpga pcha wetuView attachment 1522304
mkuu tafuta jembe ukalime tu!SOKO LA KUAMINIKA LA MALI ZA KIJERUMANI TU LIPO HAPA DAR ES SALAAM VITU VIFUATAVYO AU VYENYE UKARIBU NA HIVI ... MERCURY , PASI, STOVA, KOROFINDO, KUFULI , KIKOMBE, CHEMLI.. PIA FUFUMARK , RUPIA NYEKUNDU, RUPIA YA KITUMBUA , RUPIA YA SIMBA WAWILI ,DINALI. TAFADHALI VIGEZO KUZINGATIWA NA HAKIKISHA MZIGO USIWE NA MASHARTI YA BABU AU BIBI ANATAKA HV AMA VILE LETA KAZI TUFANYE KAZI SOKO LIPO BILA SHAKA ....0785510604,. 0716637717,. 0752591369