Ushuhuda wa uwepo wa mali za Kijerumani

Ushuhuda wa uwepo wa mali za Kijerumani

Sio chuma mkuu,hizo ndizo mali kale ambazo zilikuwa zimehifadhiwa ardhini kwa muda mrefu na vyote vimetengenezwa kwa madini ya Uranium na Diamond.
Kuhusu thamani yake bado hawajajua maana wanatafuta soko.
Unaijua Uranium au umeamua kuongea tu? Wajerumani waliondoka lini na Uranium waliitumia kutoka wapi, nani kakwambia inakuwa stored kama mavyuma.
 
Mkuu wataalamu niliowakuta pale ndiyo waliothibitisha kuwa vito hivyo vimetengenezwa kwa madini ya diamond na Uranium na si mimi,kwa hivyo mantiki niliyopata pale ndiyo iliyotumika kufikisha ujumbe hapa
Haaah shule muhimu sana. Ona hata ukiwa na mtoto hana shule hawezi kutunga angalau uongo[emoji30][emoji30].
 
The oldest rock so far ni metamorphic na mnaobisha dunia haina 4+ billion years mnatumia vigezi gani? Iko hivi

Advertisement,
Tunaposemaumri wa dunia tunamaanisha kipindi ambacho dunia imekuwepo na tunatambua umri wa dunia kwa kudate miamba ambayo ndo dunia imeumbwa kwayo... Na mwamba ambao ni was kale zaidi ni mwamba metamofia (metamorphic rock) ambao una umri wa miaka 3.9 billion...dah kuandika siwezi wakuu nimechokaaaaaaaaa
 
Hiyo ya duara ndio pasi ya mjerumani?
Habari wana Jf
Kwa muda mrefu sasa nilikuwa nikifuatilia ndani na nje ya JF kuhusu mali alizoacha mjeruman kipindi anaondoka nchini miaka mingi iliyopita. Kila mtu alitoa mtazamo wake juu ya mali kale zilizoachwa katika sehemu mbalimbali ndani ya nchi yetu. Wapo waliosema kuwa mzungu hawezi kuacha mali lazima aliondoka nayo,wengine wakasema kuwa hiyo ni ndoto hakuna kitu kama hicho,wengine wakaenda mbali zaidi wakihusisha mali zilizoachwa na ushirikina na wengine wakasema hiyo ni ndoto na hakuna kitu kama hicho kuhusu mali zilizoachwa na wajerumani.

Kwa miaka mitatu ambayo nilitaka kujua undani wa jambo hili ikiwemo na kutembelea sehemu mbalimbali ikiwemo mkoa wa TABORA na SINGIDA hatimae nimeweza kubaini ni kweli wajerumani waliacha mali zao nchini mwetu na uwezekano wa kuzipata upo.

Siku ya tarehe 9 julai 2020,nilitembelea site moja iliyopo mkoa wa Singida wilaya ya Ikungi na kufanikiwa kuonana na vijana ambao wamefanikiwa kupata hazina hizo za mjerumani kama moja ya mapambano ya kutafuta ridhki.
Kiukwel sikuwahi kuamini kama kuna ukweli wowote juu ya uwepo wa mali hizi za kijerumani ila nimeweza kujionea mwenyewe kwa macho yangu baadhi ya vitu walivyofanikiwa kuvipata katika moja ya site iliyokuwa vimehifadhiwa vitu hivyo.

NB;Lengo la post hii ni kutoa ushuhuda tu kuwa mali za kijerumani zipo na si uongo wala mambo ya kishirikina,sijaweka post hii kwa lengo lolote lile tofauti na kutoa ushuhuda pekee.View attachment 1505966
 
Ukitaka upoteze mali na umri wako wote wa ujana kwa safari nyingi zilizojaa giza, jiingize kwenye hapa mambo ya kutafuta sijui rupia sijui hadhina ya mjerumani,,, yan utakuja kuwasimulia wajukuu zako uzeeni
 
Mkuu wataalamu niliowakuta pale ndiyo waliothibitisha kuwa vito hivyo vimetengenezwa kwa madini ya diamond na Uranium na si mimi,kwa hivyo mantiki niliyopata pale ndiyo iliyotumika kufikisha ujumbe hapa
Hao wataalamu gan hao? Hapo kwenye picha uliyoweka hamna diamond hizo ni Gold/dhahabu kuwa makin hapo hakuna wataalamu hao ni matapel wanakuingiza imani uwaamin ili upate hamasa ya kujiingiza huko upigwe hela
 
Sio chuma mkuu,hizo ndizo mali kale ambazo zilikuwa zimehifadhiwa ardhini kwa muda mrefu na vyote vimetengenezwa kwa madini ya Uranium na Diamond.
Kuhusu thamani yake bado hawajajua maana wanatafuta soko.
Masoko y madini yote yanasimamiwa na gvt nenda hata kituo cha polisi watakuelekeza uwe laizer wa pili.....stop ujinga
 
Sio chuma mkuu,hizo ndizo mali kale ambazo zilikuwa zimehifadhiwa ardhini kwa muda mrefu na vyote vimetengenezwa kwa madini ya Uranium na Diamond.
Kuhusu thamani yake bado hawajajua maana wanatafuta soko.
Uranium unaijua wewe?
 
Ukitaka upoteze mali na umri wako wote wa ujana kwa safari nyingi zilizojaa giza, jiingize kwenye hapa mambo ya kutafuta sijui rupia sijui hadhina ya mjerumani,,, yan utakuja kuwasimulia wajukuu zako uzeeni
Ushukuru Mungu na hao wajukuu ue nao bila hvyo wazee wa kijiji chako ndio watakao kuja kukuokota uko mapangon mana huta kubal kutoka uko bila kua na hela kumbe ndio unapoteza muda
 
ushukuru Mungu na hao wajukuu ue nao bila hvyo wazee wa kijiji chako ndio watakao kuja kukuokota uko mapangon mana huta kubal kutoka uko bila kua na hela kumbe ndio unapoteza muda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu mdau sijui anataka awaingize watu cha kike, au yeye ndo anataka kuingizwa cha kike huko singida Yan had sasa sijamuelewa
 
Sio chuma mkuu,hizo ndizo mali kale ambazo zilikuwa zimehifadhiwa ardhini kwa muda mrefu na vyote vimetengenezwa kwa madini ya Uranium na Diamond.
Kuhusu thamani yake bado hawajajua maana wanatafuta soko.
Wanatafutaje soko na mali za mjerumani? Mali si yako unaitafutia soko? Kwanza aliyethibitisha kuwa ndo zile za mjerumani ni nani?
 
Ungetuambia sasa hizo mali ni mali za namna gani na thamani yake ni ipi? Hapo naona mawe, udongo, vitu mfano wa vyuma etc, ndio mali zenyewe???
Kwa uelewa wangu, mimi nimeona mfano wa bracelet na Heren idk bt the point ni kila kitu kina thamani kwa Eneo husika.... Unaweza ukawa na saa ya miaka 300 ilyochakaa na isionekana thaman yake ktk maduka ya Vito ila thamani yake itkuwepo ktk majumba ya makumbusho ( museum )
 
Sikupiga picha nyingine mkuu
haya ukupga pcha zngne[emoji16][emoji16] naamn kuna watu walmfata pm mpga pcha wetu
Screenshot_20200731-092245.jpg
 
Ukiwapata nitag maana lengo lako ni kuwatimulia vumbi mwishoni
 
Mkuu wataalamu niliowakuta pale ndiyo waliothibitisha kuwa vito hivyo vimetengenezwa kwa madini ya diamond na Uranium na si mimi,kwa hivyo mantiki niliyopata pale ndiyo iliyotumika kufikisha ujumbe hapa
Hata Kama uranium Ni hatari, Ina sifa Moja kuu, ya kubadilika kila Mara inapokaa muda fulani. Kwahiyo sioni ajabu kutumika kutengeneza hivyo vitu.

Uranium inasifa ya kubadilika ikikaa muda fulani hivyo mtoa mada katika hili anaweza kuwa sahihi kuwa hivyo vitu vimetendenezwa kwa urani.
 
Back
Top Bottom