Ushuhuda wa uwepo wa mali za Kijerumani

Hivyo ni mabaki ..mali halisi zilishaondoshwa
 
Maelezo zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kweli Uranium ipo hapo, basi watu wote walioishika au kuikaribia tayari wapo hatarini kupata kansa wakati wowote, Uranium ni silent killer.
Acha uwongo Basi Mambo sio rahisi kihivyo. Dose ya siku moja haiwezi kukupa kansa Kama ni hivyo wakina Pierre, marie na Rutherford wangekufa bila ya hata kufanya ugunduzi
 
Acha uwongo Basi Mambo sio rahisi kihivyo. Dose ya siku moja haiwezi kukupa kansa Kama ni hivyo wakina Pierre, marie na Rutherford wangekufa bila ya hata kufanya ugunduzi


Wewe umesoma chanzo cha kifo cha huyo Marie Curie ??--- huyo kipindi ana deal na hizo radioactive elements wala hakuwa akijua kuwa zilikuwa ziki emit the hazardous radiations, tofauti na leo ambapo wanasayansi lazima wavae protective gears wanapo deal na hizo elements.

Nimesema radioactive elements ni silent killers na hiyo inategemea umekuwa exposed kwazo katika dose kiasi gani na kwa muda gani.
 
MWENYE RUPIA ZIFUATAZO: FUFUMARK, RUPIA YA SIMBA WAWILI, RUPIA YA KITUMBUA , RUPIA NYEKUNDU , DINALI YA JICHO... NA MWENYE VITU VIFUATAVYO: MAJI MEKUNDU AU MEUSI (MERCURY) , MWENYE PASI , JIKO , CHEMLI , KIKOMBE , KUFULI NA VIFAA VYA MATUMIZ YA MAJUMBAN.. TAJIRI YUPO NA BIASHARA INAFANYIKA DAR ES SALAAM KWA UHAKIKA NA UFANISI WA HALI YA JUU, MATAPELI TAFADHALINI MKAE MBALI NA HILI HATUNA MUDA WA KUPOTEZA CONTACT 0716637717, 0785510604 AU 0769767771
 
SOKO LA KUAMINIKA LA MALI ZA KIJERUMANI TU LIPO HAPA DAR ES SALAAM VITU VIFUATAVYO AU VYENYE UKARIBU NA HIVI ... MERCURY , PASI, STOVA, KOROFINDO, KUFULI , KIKOMBE, CHEMLI.. PIA FUFUMARK , RUPIA NYEKUNDU, RUPIA YA KITUMBUA , RUPIA YA SIMBA WAWILI ,DINALI. TAFADHALI VIGEZO KUZINGATIWA NA HAKIKISHA MZIGO USIWE NA MASHARTI YA BABU AU BIBI ANATAKA HV AMA VILE LETA KAZI TUFANYE KAZI SOKO LIPO BILA SHAKA ....0785510604,. 0716637717,. 0752591369
 
mkuu tafuta jembe ukalime tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…