jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,012
Kwamba vijeba wanajipigia kwa zamu[emoji23]Tatizo hawa wa kujiita walokole hawana tofauti na watu wengine
Una nia naye ya dhati kabisa kumuoa analeta vikwazo mixer sijui mchungaji kasema kile mara vile kumbe kuna vijemba kanisani vinajipigia tu tena kwa zamu
Kama atakuwa hajatembea na mwanaume na nikathibitisha ntamsubiri miaka 100 ila kama wameshatoboa baaaas hakuna kitu hapo
Ndo walivyo watu waongo waongo[emoji28]Teh kwa kweli sadaka muhimu.
Wababaishaji huwa wana masharti kama waganga, waoaji akhaaa
Hatujambo,bro yuko porini leo niko bored kinyama yani'[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Hellow
Missed you na bro
Halafu mtu kama mlishaacha unaendelea kumfuatilia mambo yake ili ugundue nini?
Pole sana apambane sasa hakuna namnaHatujambo,bro yuko porini leo niko bored kinyama yani'
Yaani,.[emoji22][emoji22]Pole sana apambane sasa hakuna namna
Hivi ndiyo ilivyokuwa hahaaaa....Inasikitisha sana.
Vuta picha appearance aliyokuwa nayo ex wa Prince Harry weekend iliyopita pale chapel.
Hapo mtu akawahi ku shoot ?Hivi ndiyo ilivyokuwa hahaaaa....View attachment 786876
Ndivyo walivyosemaHapo mtu akawahi ku shoot ?
Pole kwa yaliyokutokea ni sehemu ya maisha, pamoja na kuwa si kila mmoja atapitia matukio ambayo mwengine anapitia.dah nyie acheni tu,naweza kusema ni zaidi ya kuumia kupenda ni mtihani nyie.Mie nilikaa week kama chizi yani dah,acha tu mtu anakuja anaingia moyoni mnakuwa mnapendana na kuzoeana then mwisho wa siku ana change unaweza kujinyonga,thanks god niko salama lakini kwa kilichonikuta dah mungu ndo anajua
Teh ndo wito wetu wenzio, wewe kaoe tu. Au kuna mtu kakulazimisha umuoe?Mnaleta ulokole kwenye mapenzi hahaha mtaishia kupamba madhabahu
Mi nashukuru sana uwepo Wa jf,kuna msichana alinipa sharti kama hlo afu sio bikira,ila nkakutana na Uzi tofaut tofaut humu wengi wanasema ni ujinga kusubir ndoa,hatimae nmeamua kumkaushia huyo demuWanawake wengi hua wanapoteza potential husbands kwa vigezo vyao vya kijinga.
Kupewa utam hadi siku ya ndoa ndio ujinga ambao siwezi kufanya maisha yangu yote hata kama mwanamke ni malaika alieshuka toka kusikojulikana.
Utakuwa ni taahira kama utakubali kusubiria wakati mtu mwenyewe ni "USED" tayariWanawake wengi hua wanapoteza potential husbands kwa vigezo vyao vya kijinga.
Kupewa utam hadi siku ya ndoa ndio ujinga ambao siwezi kufanya maisha yangu yote hata kama mwanamke ni malaika alieshuka toka kusikojulikana.
Kwa rate ya wadada wa mjini wanavyozichoropoa wanaume wengi wanaogopa kuingia ndoani kabla hajatest machineKwani haifai bila kutest?
hahahaInasikitisha sana.
Vuta picha appearance aliyokuwa nayo ex wa Prince Harry weekend iliyopita pale chapel.
[emoji122][emoji122][emoji122]Inauma kwa muda tu then atapoa tu, kuna ile mtu ulimpenda + mazoea ndo yanaumiza. Inawezekana kabisa yeye angebeba mimba na hata asiolewe, akaishia kuwa single mom tu. Wapo wanawake wengi tu walikuwa wanabembelezwa wazae, now hawaamini kilichowakuta after kubeba mimba; kuzaa sio kuolewa.
Kama anachokifanya, anakifanya kwa ajili ya Mungu wake, she is doing the best thing na Mungu anayemtumania wala hatomuacha aaibike. God has something very amazing in store for her, awe tu mvumilivu, atalia machozi ya furaha na kusema Mungu ahsante nilipita tu kule. Nampa hongera, maana wengi wetu huwa tunachagua tamaa zetu, tunamuweka Mungu wa pili; na huwa tunavuna tunachopanda kwa kweli
sureMbona fresh tu, inakuwa sio riziki yako muhimu umtakie heri huko aendako