Ushuhuda wangu kuhusu Single Mothers

Ungekuwa na hizo fedha huo muda wa kuandika hayo unayodhani ni ya matajiri usinge upata.

News za Kiduku Lilo aka Bill Lugano zinaeleweka kuwa ni fun stories za kuondoa msongo wa mawazo na si hiki unachotaka kutuaminisha hapa.
 
Single mothers wengi wana Ukimwi achilia mbali STI za kufikia Ni 90%
Jaribu mwende mpime Ukimwi. Kwanza
Maana matako na kumeza njugu utachagua Mwenyewe.
Jaribu kutoa hoja zenye mashiko.. yani uwe na Logic.

Ukisema asilimia wengi wana ukimwi, How, ? ukilinganisha na ambao sio single mother.. Try to make your argument to have a logical sence
 
Masingle maza wengi huachika kwasababu ya 1. uzinzi. 2. Tabia mbaya

98% afya zao huwa sio nzuri though kwà muonekano wa nje huwa hawajionyeshi.

90% huwa wanapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile

85% ni walevi
Kuna single mother, ambao hawajawahi kuolewa ,
 
ANATAFUTA laana huyo

1.Anaibeep mizimu ya ukoo wa huyo mtoto
2.Anacheza na damu za watu huyo
Ni limbukeni wa maisha,
Asiwadhalilishe kina mama na dada zetu hapa kwa sababu za ulemavu wake wa kufikiria. Kamuambia nani kuwa kila mwanamke anayelea mtoto peke yake ili apate hiyo huduma lazima alipwe? Kwa wengine ni huduma tu na wala hatokuja akwambie shida zake ikiwa mwanaume unajitambua,akikuona wa hovyo ndo itakubidi ulipie na blaablaa nyingi. Huyu mwamba ndo miongoni mwao.
 

Hiyo wilaya haina Jamhuri?
 
Huku hakuna aliyelelewa na single maza.?

Hakuna aliyekuwa sababu ya kuongeza kuwepo Kwa single maza?

Huo ukimwi wanambukizana wenyewe Kwa wenyewe?

Ni aibu yetu wanaume kuwafedhesha dada na mama zetu angali sisi ndio chanzo Cha wao single maza

Kwa niaba ya mtoa mada mashangazi wote wa jei efu naomba niombe msamaha Kwa hili lililojitokeza .
 
Tena wanatumiaga vilevi vikali.

Kuna siku kwenye saa 4 asubuhi, wakawa wanapiga supu huku wamelaza mabapa mezani. Nikacheka kwa mshangao, mpaka wakajistukia wakawa wanyonge.
Nikawa najiuliza wanavyokunywa hayo mapombe, hivi kwenye game kweli wanaweza kuwaka upesi kweli!?
 
Kutembea kwingi kuona mengi. Shukuru kwamba wewe ni single maza usiyekua na hekaheka nyingi....huna baya...huna marafiki wa hovyo...tena wewe ni mwanamke unayejitambua. Mshukuru sana Mungu kwà hilo.
 
Vipi binti Kimoso ni single mama nini?
 
Kutembea kwingi kuona mengi. Shukuru kwamba wewe ni single maza usiyekua na hekaheka nyingi....huna baya...huna marafiki wa hovyo...tena wewe ni mwanamke unayejitambua. Mshukuru sana Mungu kwà hilo.
Mzee kipusa

Umesoma vizuri nilichoandika na kukielewa,au umewahi kujibu kabla ya kuelewa nilichoandika?
 
Kwa nini usimshauri aende hospitali kubwa kama Aga Khan atapona asizidi kuchelewa.
 
Kwa nini usimshauri aende hospitali kubwa kama Aga Khan atapona asizidi kuchelewa.
Shauri yake,...ujue kuna vijana wa hovyo sana katika Taifa letu.

Mpaka unakua unajiuliza, huko maofisini wanawezaje kufanya Kazi kwà tabia kama hizo?

Nakumbuka pia, niliwahi kufanyia Kazi kwenye Taasisi flani hivi kubwa sana ( muhimili )

Sasa kwenye KITENGO kulikua na boss....asee jamaa alikua mlevi kupindukia. Bila kulewa hafanyi Kazi.

Alikua anafanya Kazi huku mikono inatetemeka. Ilifika stage akawa hawezi kula chakula vizuri...Pombe ndo ikawa kama chakula chake...,

Siku zake zikafika....., wakati kamaliza kupaki gari yake...ile anataka avuke road aingie upande wa pili ilipo bar..gari lililokua na speed likapita nae.

R.I.P Boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…