Daah pole sana mamii Sasa samahan lkn huduma zile za kijamii unapataje mpendwa wangu sorry kwa hilo swali mamaHapana si asilimia kubwa hivyo,kuna masi gle mother wajane kama mimi na sina HIV,kuna wengine pia hawakuachwa bali waliamua kuondoka wenyewe.
Hakuna mwanamke anayeweza kuniacha Ndugu. Kiufupi Mimi ni mtu mwenye msimamo mkali sana, huwa sipendi kuyumbishwa kwenye kitu ninachokiamini.Mm sio mama ni. Baba ila hizo takwimu zako zimekaa kichuki chuki ni km uliachwa na mwanamke eliekua unampenda
Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Wajane mna utamu wenu hadimu sana, haupatikani popote muishi miaka mingiMimi siolewi tena.
Labda atumie mitishamba..au aache kabisa hiyo tabia.Ko huyo kaka hatakaa apone atakua anatoa usaha siku zote??
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Moyo wa kutoa upo ila sio mall jamaa. Kwenye mall hata ABAYA ya afu 40 utauziwa laki 2Huna moyo tu wa kutoa si limbwata jombaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Jidanganye.Najivunia Mimi ni Blood Group AB+,....hatupatagi ngoma Sisi. So ninao uwezo wa kusex na mtu mwenye Ukimwi na nisiupate UGONJWA huo.
Kwà bahati mbaya , watu tulio na aina hii ya group la Damu sisi huwa sio wazinzi...
Ooh so kumbe akiacha anapona kabisa then wakati anakuja chukua izo azuma ungekua una mshauri aache sasa uo mchezoLabda atumie mitishamba..au aache kabisa hiyo tabia.
Lakini tatizo lingine ni kwamba .......tatizo hilo la kufanya wanawake kinyume na maumbile lina spirit mbaya sana Sawa na ile ya kujichua ( masturbation)... #labda akaombewe!
To yeye naomba nijue ada unadiwa kiasi gani nipo tayari kulipaHabari wadau. Moja kwa moja kwenye hoja.
Mwaka jana nikaingia kwenye penzi na single mother mmoja hivi, mapenzi yalikuwa mubashara mwanzo lakini ghafla akawa haeleweki, kufatilia nikagundua ana mahusiano na mtu mwingine nikajaribu kumuhoji akawa mkali nikasema sio kesi. Ghafla yakaanza masharti nikitaka kutoka nae mara yupo bize.
Katika kutafakari nikaona atanisumbua niachane nae lakini siku nimeamua kuachana nae nikamsikia akikopa pesa kwa mtu kwa ajili ya mwanae shule. Basi imani ikaniingia nikampa kile kiasi cha pesa. Nikashangaa mahaba yamerudi kama mwanzo. Nikabaini uzaifu wake ni mwanae. Basi weekend moja nikamchukua mpaka mall flan ya watoto nikamwambia amchagulie mwanae anachotaka. Halooo, week 2 badae jamaa aliyetetelesha penzi langu nikaona anatuma meseji na kupiga simu kila mara anabembeleza penzi. Ebana mie huyu mwanamke sasa hivi sina time nae na deal na mwanae tu, akiamka nishamuiliza mahitaji ya shule, akikaa vibaya nishamwambie nimelipia twisheni atampeleka basi hata mzigo siku hizi siombi napewa tu popote ntapokutwa tofauti na zaman mpaka niombe tupange lini tunatoka.
Hutaki sasa!!!J
Jidanganye.
Itakua Chunya-MbeyaIna madini mengi ya dhahabu hiyo wilaya
Ooh apo nimekupataMoyo wa kutoa upo ila sio mall jamaa. Kwenye mall hata ABAYA ya afu 40 utauziwa laki 2
Hawezi kuacha, ..anapenda sana kufanya sex. Ni mtu asiyejali afya yake. Kiufupi, ..mwili umemtawala. Hawezi kufanya Maamuzi juu ya mwili wake.Ooh so kumbe akiacha anapona kabisa then wakati anakuja chukua izo azuma ungekua una mshauri aache sasa uo mchezo
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ni kusema maisha yana mengi sana sema nadhani ni utaratibu Sasa ambao umezoeleka na jamii kuwashambulia single mother kama njia ya kupoza hasira na maumivu wanayopitiaUsingle mama sio wanaupenda Hakuna mtu anapenda kuwa single mama au baba. Kuwazodoa ni SAwa na kumcheka mlemavu kwa kiburi cha uzima ila ujui kesho YAKO.
Wengine wamefiwa, talaka, danganywa, walikosea mahusiano,nk.
Tusiwahukumu hawa
Ngumu kumeza hii[emoji16]Kwahiyo asingekuwa single mother angekuwa tofauti na alivyo sasa???
Jamii inawanyooshea vidole kwa imani wamejiamua kuwa singleNi kusema maisha yana mengi sana sema nadhani ni utaratibu Sasa ambao umezoeleka na jamii kuwashambulia single mother kama njia ya kupoza hasira na maumivu wanayopitia
Huo utafiti umefanya wewe au Kuna wataalamu walilipwa pesa zetu za kodi wakaja na majibu hayo.Masingle maza wengi huachika kwasababu ya 1. uzinzi. 2. Tabia mbaya
98% afya zao huwa sio nzuri though kwà muonekano wa nje huwa hawajionyeshi.
90% huwa wanapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile
85% ni walevi
Tulia we singlemaza. Sitaki mazoea na nyie kabisa!Huo utafiti umefanya wewe au Kuna wataalamu walilipwa pesa zetu za kodi wakaja na majibu hayo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app