Ushuhuda wangu kuhusu Single Mothers

Hapana si asilimia kubwa hivyo,kuna masi gle mother wajane kama mimi na sina HIV,kuna wengine pia hawakuachwa bali waliamua kuondoka wenyewe.
Daah pole sana mamii Sasa samahan lkn huduma zile za kijamii unapataje mpendwa wangu sorry kwa hilo swali mama
 
Mm sio mama ni. Baba ila hizo takwimu zako zimekaa kichuki chuki ni km uliachwa na mwanamke eliekua unampenda

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Hakuna mwanamke anayeweza kuniacha Ndugu. Kiufupi Mimi ni mtu mwenye msimamo mkali sana, huwa sipendi kuyumbishwa kwenye kitu ninachokiamini.

Kabla sijaacha,...lazima nijiridhishe na niwe na sababu za kuacha.

Ni mtu mwenye maamuzi, uthubutu, mkweli na mwenye utayari.

Nikimpenda mwanamke ,..huwa ni huyo huyo..nakua Muaminifu kwake. Sipendi kushare mapenzi. Ukinisaliti , ndo inakua Imeisha hiyo. And I don't care!
 
Ko huyo kaka hatakaa apone atakua anatoa usaha siku zote??

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Labda atumie mitishamba..au aache kabisa hiyo tabia.

Lakini tatizo lingine ni kwamba .......tatizo hilo la kufanya wanawake kinyume na maumbile lina spirit mbaya sana Sawa na ile ya kujichua ( masturbation)... #labda akaombewe!
 
J
Najivunia Mimi ni Blood Group AB+,....hatupatagi ngoma Sisi. So ninao uwezo wa kusex na mtu mwenye Ukimwi na nisiupate UGONJWA huo.

Kwà bahati mbaya , watu tulio na aina hii ya group la Damu sisi huwa sio wazinzi...
Jidanganye.
 
Labda atumie mitishamba..au aache kabisa hiyo tabia.

Lakini tatizo lingine ni kwamba .......tatizo hilo la kufanya wanawake kinyume na maumbile lina spirit mbaya sana Sawa na ile ya kujichua ( masturbation)... #labda akaombewe!
Ooh so kumbe akiacha anapona kabisa then wakati anakuja chukua izo azuma ungekua una mshauri aache sasa uo mchezo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
To yeye naomba nijue ada unadiwa kiasi gani nipo tayari kulipa
 
Ooh so kumbe akiacha anapona kabisa then wakati anakuja chukua izo azuma ungekua una mshauri aache sasa uo mchezo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hawezi kuacha, ..anapenda sana kufanya sex. Ni mtu asiyejali afya yake. Kiufupi, ..mwili umemtawala. Hawezi kufanya Maamuzi juu ya mwili wake.

Akimaliza kufanya sex...hali ikiwa mbaya , anakufuata umpige bomba..

Nshamshauri sana huyo boss mtoto....

Ah..mimi ninachoangalia ni anilipe tu pesa yangu ya matibabu basi...mengine shauri yake...cause ndo maisha aliyochagua kuishi
 
Usingle mama sio wanaupenda Hakuna mtu anapenda kuwa single mama au baba. Kuwazodoa ni SAwa na kumcheka mlemavu kwa kiburi cha uzima ila ujui kesho YAKO.
Wengine wamefiwa, talaka, danganywa, walikosea mahusiano,nk.
Tusiwahukumu hawa
Ni kusema maisha yana mengi sana sema nadhani ni utaratibu Sasa ambao umezoeleka na jamii kuwashambulia single mother kama njia ya kupoza hasira na maumivu wanayopitia
 
Masingle maza wengi huachika kwasababu ya 1. uzinzi. 2. Tabia mbaya

98% afya zao huwa sio nzuri though kwà muonekano wa nje huwa hawajionyeshi.

90% huwa wanapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile

85% ni walevi
Huo utafiti umefanya wewe au Kuna wataalamu walilipwa pesa zetu za kodi wakaja na majibu hayo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
UPDATE
Binafsi huwa sijali kuhusu mapito ya mtu, hata kama ukiniambia aliwahi kubakwa kama nimeamua kuwa nae ntaendelea nae. Kuna wanawakre wanaonekana hawana maana lakini amini amini nakwambia huyo mwanamke unaemuona wa maana ndio atakupa maradhi.
Nikirudi kwa Songle mother wengi hukosa watu waaminifu hasa kutokana na hii mindset ya hovyo vichwani mwa watu, so weng huwa approach kwa nia ya ngono pekee na si zaidi. Kiukweli kwa experience yangu ukimuonesha kunjali na kumfanya ajionr salama kwako ni watu watiifu sana. Imagine huyu wangu kwa sasa namuona kabisa sio kama zaman wakati sijaonesha kumjali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…