Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Ushajijua ni muathirika wa HIV, kwanini bado unaendelea kufanya ngono hovyo?? Huoni unajiweka kwenye hatari wewe na hao unaofanya nao?
Kibaya zaidi amesema ametafunana na innocent souls za humu ndani
 
Hahahaha ndio tambo za mwenye vvu hizo,
Lol
 
Dah kama nakuona vile. Itabid na mim nikapime mana huu ukimwi sasa kama malaria na nitumie kinga kila tendo
 
Teh teh kwahiyo mkuu licha ya kujua unaonila ukaona ngoja uwape collabo na vijana wa humu..Ahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…