Siwaombei mabaya ila nikirudi nitajua hali ikoje maana nipo nafanya kazi katika taasisi moja kubwa tu ya sayansi hapo nyumbani.
[emoji1787][emoji1787] baby boy acha kuzuga[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Weee umenijuliaa wapi mimi???? Sijawahii gonga demu wa jf hata kiamsiharaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahahaaaa, mkuu unataka kukataa,!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Weee umenijuliaa wapi mimi???? Sijawahii gonga demu wa jf hata kiamsiharaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
aminaPole sana kwa unalopitia , asante kwa ushauri
Acha kumkana mpenzi wako mkuu, siyo poa!au kwa sababu amekuja na ID mpya?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Weee umenijuliaa wapi mimi???? Sijawahii gonga demu wa jf hata kiamsiharaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amekuona akakukumbuka![emoji847][emoji847][emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimwi usikie tu kwa jiranii mzeee
Nikukumbushe wa jf ndio wa mtaani au wako unawatoa sayari gani?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Weee umenijuliaa wapi mimi???? Sijawahii gonga demu wa jf hata kiamsiharaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na hii imeonekana baada ya vijana kukosa ajira/kujishughulisha katika miaka ya hivi karibuni hivyo kupelekea vijana hawa kuwaza ngono masaa 24.Hizo ndio takwimu latest kwa mwaka huu...
Ile mikoa iliuokuwa na maambukizi machache miaka ya nyuma, imeanza nayo kuwa vibaya
Huyo wa fb ndio huyu ila umesahau yeye anakukumbuka😁😁Nawato huko dunianii... ila sio kupitia jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Demu pekee wa mtandaoni niliowahi kula ni fb
Usipaniki nenda katoe mrejesho kwa group lako la kula kimasiharaOyaaaa... unaniitaje baby boy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji33]
Wakubwa tushaelewa😁😁😁Atuliee tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me hapanaaa
Huo hauponi.Kama kuna yeyote aliyewahi kupata ukimwi kisha akapona katika kiajabu tu tujuane wakuu.
Mmmh kama vileee,kwan ww sio mchaga?[emoji19] hapana sio mimi. Umenifananisha