Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Asante, muwe makini tu huko uraiani kumechafuka sana na hali ya uchumi ilivyo mbaya maambukizi yataongezeka sana. Mjitahidi kama hamuwezi kuwa na mpenzi mmoja basi jitahidini mtumie mipira jamani
 
Mtoa mada Inaonekana huko PM wala hauna usumbufu kama wengine
ID ya zamani kule wanaume ni wengi wasumbufu, hili pia nitoe angalizo kwa wana Jf hasa mabinti wawe makini kuna baadhi ya watu humu hawana mema nao unakuta wanawashawishi kwa vitu vidogo na kuishia kulala nao. Mimi wengi wanakuja na mambo ya kunihonga ila tukionana wanakuwa hawana la ziada hivyo ikitokea nimelala nao basi ujue walinivutia kwa vitu fulani na sio mambo ya hela na blah blah nyingine
 
Nitakufikiria na asante kwa maneno ya faraja pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…