Hizi shughur za ufugaji huwa naona Ni kupoteza muda.Ila usi waogope mkuu watam Sana!
Sawa lakini wakikua Huwa unauza sh Ngapi??Mkuu sasa hivi Nina kula to mkuu nina subiri Adi mwezi wa 6 au 7 mwakani watakuwa washafika 200+ ndio niuze hapo mkuu ujuwe mimi nina ugonjwa kama wa wamasai wanavyo pendaga kuona ngombe me ninapenda sana kuwaona jamii zote za ndege!
Kuku tu bahati mbaya ndio walinishinda manana kidogo na Mimi ninge kuwa Dr maana kila week au baada ya week 3 lazima niende kwenye duka la dawa!
Kuku walifika 90+ nikala mkuu wengine nikauza wengine nika gawa!
Ndio nikaingia mkataba na bata hawajanipeleka hata kwenye Duka la dawa zaidi niliwahi mara moja kuwa nunulia vitamin vifaranga!
Wapo zaidi
Ila mkuu tatizo linakuwaga Malengo!Hizi shughur za ufugaji huwa naona Ni kupoteza muda.
Nnachokiona kwa watu Wang wa karibu wanaofanya hizo shughur
Nawaona km wanasindikiza tu maisha yaende,
Hawapigi hatua yoyote, zaid ya manung'uniko ya kila siku HALI NGUMU
Dume 25,000 jike 13,000 au 15,000Sawa lakini wakikua Huwa unauza sh Ngapi??
Ahsante, banda ni mita tatu kwa nneBanda km dogo Sana lakini km banda lina nafasi wanataga bila shida
Nyasi unaotesha kwa njia rahisi ya hydroponics.Mbuzi nyasi ni tatizo mjini unawapa chakula gani ndugu?
pumba debe 7 mashudu,dagaa, chokaa, mifupa
Hiyo gharama uliyotaja ni ya juu sana na haiwafanyi watanzania kudhubutu. Niliposoma ile post ya kuku 6 kukupatia kuku 200 nilivutiwa sana. Uwezo wa hao kuku nilikuwa nao; hivyo nilipowanunua nilitumia Tshs. 48,000/= kununua kuku, 30,000/= kununua sehemu ya kuku kushinda, 10,000/ kifaa cha maji na Tshs. 4,500/= kununua kifaa cha chakula. Sehemu ya kulala nilikuwa nawalaza jikoni. Chakula nilikuwa nanunua kila wiki nachanganya mwenyewe pale nyumbani.
Walipoongezeka kufikia 50, ndo nilijenga banda dogo mita 3 x 4 kwa ajili ya kulaza wale kuku wasiohatamia.
Hivyo sikubaliani na mtoa mada kuwa unahitaji mil 1.5 kuanza - HAPANA. Hicho ni kiasi kukubwa sana; unataka kuwaogopesha watu wasijaribu kufuga eti kwa sababu hawana hiyo pesa.
Kupitia kile kitu unachokipenda unaweza kufanya biashara pia. Hivyo uwe ufugaji wa hobby au biashara kanuni ni zile zile. Pia kwa upande wa biashara kuna viwango vya biashara - Ndogo - ya kati na kubwa. Viwango hivyo vyote vinategemea ukubwa wa mitaji tofauti.Mkuu unazungumzia ufugaji wa hobby au wa kibiashara?
Kuna chokaa maalumu kwa kuku sio ya kujengea mkuutumeambiwa maji ya baharini ni chanjo kwenye diet ya kuku
na chokaa ni nini, kuwaondolea nuksi ya ushindani sokoni?
Mvua inaua vip bata? Maana bata wanapenda maji, ama?Hahaaaa nilipewa dili la kufuga bata nikajenga banda nikanzungushia eneo langu chicken wire nikanunua bata km kumi nikaanza kuwalisha ebhana wakafika 80 nia yangu wafike 100 niuze ikaja mvua ikapiga ile mbaya sikua najua mvua na bata hazipatani walikufa bata km hamsin kumbuka hao nilikua nanunua gunia la pumba kila wiki plus cost za ujenzi wa banda nikajikuta nimebaki na bata wadogo 18 na wakubwa 12 nilishikwa na hacra nikawagawa tu.Sasa hivi nafuga kuku wa kienyeji siwazingatii kivile ila naona wamekubali nao km 32.Ufugaji bila kujipanga ni hasara na tafuta mtaalamu sio hao waongo wa kwenye mitandao akufundishe kabla ya kuanza ufugaji.
Wewe unaishi kijijini,kuku wanalala jikoni¦¦¦¦¦ alafu kuku 50 siwanaaribu mazingira kama wanazurura watatifua mauwa ya jirani, bustan za mboga zilizopo kwa majirani na utakuwa ni mtu wa kugombana na maji ran daily... Kuku wa kienyeji awana faida kama tunavyoaminishwa kuku hadi afikishe miez mitano au Sita ndio anataga Tena mayai ayazidi 15.Hiyo gharama uliyotaja ni ya juu sana na haiwafanyi watanzania kudhubutu. Niliposoma ile post ya kuku 6 kukupatia kuku 200 nilivutiwa sana. Uwezo wa hao kuku nilikuwa nao; hivyo nilipowanunua nilitumia Tshs. 48,000/= kununua kuku, 30,000/= kununua sehemu ya kuku kushinda, 10,000/ kifaa cha maji na Tshs. 4,500/= kununua kifaa cha chakula. Sehemu ya kulala nilikuwa nawalaza jikoni. Chakula nilikuwa nanunua kila wiki nachanganya mwenyewe pale nyumbani.
Walipoongezeka kufikia 50, ndo nilijenga banda dogo mita 3 x 4 kwa ajili ya kulaza wale kuku wasiohatamia.
Hivyo sikubaliani na mtoa mada kuwa unahitaji mil 1.5 kuanza - HAPANA. Hicho ni kiasi kukubwa sana; unataka kuwaogopesha watu wasijaribu kufuga eti kwa sababu hawana hiyo pesa.
Bata wanapenda kuyafuata maji yalipo ila maji yakiwafuata ni shida kwa bataMvua inaua vip bata? Maana bata wanapenda maji, ama?
Aisee ufugaji kuku mi biashara kichaa labda wenye mitaji mikubwa sio wa kuunga unga chakula na madawa, mi nataka nihamie kwenye ng'ombe wa maziwa nyama na mbuzi.Niliacha kufuga kuku nimehamia kwenye mbuzi, mikuku gharama kibao faida kiduchu...
Em 1 unachanganya kwenye chakula?Kwa kuwa wafugaji wengi hawahitaji kujifunza ndo maana wanahangaika na chakula. Mimi natumia ngano, naotesha chakula (Hydroponics Fodder) - ambapo kilo mbili za ngano zinanipatia chakula kilo 14/16. Hizo ngano kilo moja naipata kwa gharama ya Tshs. 1,200 / 1,500. Hivyo suala la chakula kwangu sio shida; labda changamoto inakuja kwenye muda wa kuotesha - zoezi hili la kuotesha ni endelevu kama kupiga mswaki kila siku ila unapata chakula bora kwa gharama nafuu.
Kuhusu virutubisho natumia EM.1 ambayo lita moja inanipatia lita 20 za virutubisho ambavyo naweza kutumia mwaka mzima na kiasi kingine nikawauzia wafugaji majirani wanaoona umuhimu wa hivyo virutubisho.
Kwa ujumla nimekuwa mfugaji kwa muda mrefu hadi nimeona kuwa kufuga ni namna unavyoji-tune kufanya hiyo kazi.
Acha uongo weweWewe unaishi kijijini,kuku wanalala jikoni¦¦¦¦¦ alafu kuku 50 siwanaaribu mazingira kama wanazurura watatifua mauwa ya jirani, bustan za mboga zilizopo kwa majirani na utakuwa ni mtu wa kugombana na maji ran daily... Kuku wa kienyeji awana faida kama tunavyoaminishwa kuku hadi afikishe miez mitano au Sita ndio anataga Tena mayai ayazidi 15.
Wanapenda maji yaliyo kwenye kibwawa sio mvua yaan mvua kubwa ikiwapiga sana hao lazima upoteze na mbaya zaidi wadogo ndo watakufa sana.Ni bora ukawa making sana kipindi cha mvua mkuu km unawafuga hawa.Mvua inaua vip bata? Maana bata wanapenda maji, ama?