Ushuru wa Kuagiza (import) Magari umepanda Kinyemela?

Ushuru wa Kuagiza (import) Magari umepanda Kinyemela?

Mnatumia ujinga wa wabongo kuwapiga.Tahadhari mnaoagiza magari kuweni makini na madalali wanaodai watawaagizia magari kwa kulipa/Mikopo kwa awamu. Mtapigwa mapema asubuhi.
Unaonaje pia kaka/dada ukaweka ushahidi na uthibitisho hapa?
Pengine itakua busara zaidi ili kwenda sambamba na tahadhari yako.

Pia, sioni tija ya kukebehi watu kwa kuita wajinga, kwasababu tuu mmepishana kimawazo.

Hekima ni utajiri mkubwa sana.
 
Unaonaje pia kaka/dada ukaweka ushahidi na uthibitisho hapa?
Pengine itakua busara zaidi ili kwenda sambamba na tahadhari yako.

Pia, sioni tija ya kukebehi watu kwa kuita wajinga, kwasababu tuu mmepishana kimawazo.

Hekima ni utajiri mkubwa sana.
Mkuu nisaidie kujibu. Nini faida ya kuagiza kupitia kampuni yako badala ya mteja kuagiza direct Japan?
 
Mkuu nisaidie kujibu. Nini faida ya kuagiza kupitia kampuni yako badala ya mteja kuagiza direct Japan?
Hao makanjanja tu wanaweka cha juu. Ukitaka kuagiza 1. chagua gari kampuni husika 2. Bargain Bei (omba discount) 3. Lipia gari eg. TT, PayPal au kwenye akaunti za kampuni husika (baadhi Wana akaunti zao kwenye benki TZ. Tuma details za kulipa. Subiria gari ukifutilia kupitia CAPS.
 
Hao makanjanja tu wanaweka cha juu. Ukitaka kuagiza 1. chagua gari kampuni husika 2. Bargain Bei (omba discount) 3. Lipia gari eg. TT, PayPal au kwenye akaunti za kampuni husika (baadhi Wana akaunti zao kwenye benki TZ. Tuma details za kulipa. Subiria gari ukifutilia kupitia CAPS.

Safi sana, kuna watu wanadhani kila mtu yuko gizani! Zamani nlijua wakikuagizia bei inapungua labda wana connection kumbe njaa tupu wanataka waponee humo!
 
Nilikua najichanga angalau niagize BMW X3 ili niokote watoto wa Chuo kiulaini. Sasa kabla sijalipia Be Forward nikasema nichungulie Calculator ya TRA nimekutana na Maumivu yaani BMW X3 ya 2013 (CIF 9,656 USD) mikodi ya watoza ushuru inafika 12m hapo bado port charges etc. Huu ushuru mbona umepanda kinyemela? December 2021 ushuru ulikua 9m TZS kwa hgari hiyo hiyo! Twafaaa

View attachment 2114007

Sijawahi kuona ushuru unashuka, ni kupanda tuuuuuuuu. Ndiyomaana wa2 wanashindwa kuagiza gari nje, na wengine wanashindwa kuzikomboa gari zao pale bandarini.


Mama samia, fuatiria suala hili kwa umakini, wahurumie wananchi, marais waliyopita hawakujali hili,,
 
Safi sana, kuna watu wanadhani kila mtu yuko gizani! Zamani nlijua wakikuagizia bei inapungua labda wana connection kumbe njaa tupu wanataka waponee humo!
Majambazi sana majamaa halafu wanachofanya wanaenda mtandaoni wanachukua picha anaposti Instagram (anaandika kilomita chache ili uingie mkenge) wanakuambia lipia nusu, ukilipia kwenye akaunti yake yeye anaenda kuchionga apate punguzo ili ale cha juu kote kote. Mbaya zaidi gari ikifika bongo wanashusha kilomita ili zishabihiane na kwenye tangazo la mwanzoni
 
Nilikua najichanga angalau niagize BMW X3 ili niokote watoto wa Chuo kiulaini. Sasa kabla sijalipia Be Forward nikasema nichungulie Calculator ya TRA nimekutana na Maumivu yaani BMW X3 ya 2013 (CIF 9,656 USD) mikodi ya watoza ushuru inafika 12m hapo bado port charges etc. Huu ushuru mbona umepanda kinyemela? December 2021 ushuru ulikua 9m TZS kwa hgari hiyo hiyo! Twafaaa

Nilikua najichanga angalau niagize BMW X3 ili niokote watoto wa Chuo kiulaini. Sasa kabla sijalipia Be Forward nikasema nichungulie Calculator ya TRA nimekutana na Maumivu yaani BMW X3 ya 2013 (CIF 9,656 USD) mikodi ya watoza ushuru inafika 12m hapo bado port charges etc. Huu ushuru mbona umepanda kinyemela? December 2021 ushuru ulikua 9m TZS kwa hgari hiyo hiyo! Twafaaa

View attachment 2114007
Nilikua najichanga angalau niagize BMW X3 ili niokote watoto wa Chuo kiulaini. Sasa kabla sijalipia Be Forward nikasema nichungulie Calculator ya TRA nimekutana na Maumivu yaani BMW X3 ya 2013 (CIF 9,656 USD) mikodi ya watoza ushuru inafika 12m hapo bado port charges etc. Huu ushuru mbona umepanda kinyemela? December 2021 ushuru ulikua 9m TZS kwa hgari hiyo hiyo! Twafaaa

View attachment 2114007
Wkati fulani mwanzo wa mwaka kwa baadhi ya magari, TRA hua wanapandisha bei/thamani ( CIF value), mfano CIF value ya Nissan Dualis mwishoni mwa mwaka 2020 ilikua chini ukilinganisha na mwaka 2021, ikawa hivyo pia kwz Toyota IST.

Ukiwafanikiwa kuagiza gari mkuu, nakukaribisha kwa huduma ya clearing and forwarding, huduma zetu ni bora, ufanisi mkubwa, bei nafuu (ada ya uwakala SHS.. 200,000 kwa gari) na kwa uaminifu wa hali ya juu.

Wasiliana Nami;
Managing Director,
Ruaha Freight Ltd
7th Floor-Twiga House.
Samora Avenue,
Dar es Salaam-Tanzania.
Mobile; +255 718 866 651 Whatsap/Call
Email: ruahafreight2017@gmail.com.
 
Wkati fulani mwanzo wa mwaka kwa baadhi ya magari, TRA hua wanapandisha bei/thamani ( CIF value), mfano CIF value ya Nissan Dualis mwishoni mwa mwaka 2020 ilikua chini ukilinganisha na mwaka 2021, ikawa hivyo pia kwz Toyota IST.

Ukiwafanikiwa kuagiza gari mkuu, nakukaribisha kwa huduma ya clearing and forwarding, huduma zetu ni bora, ufanisi mkubwa, bei nafuu (ada ya uwakala SHS.. 200,000 kwa gari) na kwa uaminifu wa hali ya juu.

Wasiliana Nami;
Managing Director,
Ruaha Freight Ltd
7th Floor-Twiga House.
Samora Avenue,
Dar es Salaam-Tanzania.
Mobile; +255 718 866 651 Whatsap/Call
Email: ruahafreight2017@gmail.com.
Nataka nichangie kidogo hapo, sio kwamba TRA huwa wanapandisha Kodi ikifika January ya kila mwaka Bali kinachofanyika ni hivi, TRA Kuna ushuru ambao unakatwa kulingana na idadi ya miaka ya Hilo gari tokea litengenezwe na Kodi yao ipo hivi
Gari iliyotengenezwa na kuagizwa kuja hapa nchini ikiwa na umri wa miaka 0-8 haitozw Kodi ya uchakavu, gari yenye miaka zaidi na 8 na ipo chini ya miaka 10 inatozwa 15% ya uchakavu na gari iliyo na miaka zaidi ya 10 inatozwa 30% sasa inaweza kutokea umeagiza gari yako mwaka 2021 mwezi november ikiwa ndani ya miaka 10 lakini bahati mbaya ikafika bandarini January 2 2022 hiyo gari tayari inakua imevuka miaka 10 na haitatozwa 15% ya Kodi badala yake itakatwa 30%
 
Hakuna kufa mzee wangu,

Wala hauna haja ya kulalamika.

Sisi EAPGS, tupo kwaajili yako na wengine wa aina yako.

Wote wanaoagiza nasisi, hawana stress za ushuru kabisa, maana tumerahisisha!

Tunaweza kukulipia ushuru wa gari lako, kisha ukaturejeshea kwa miezi isiyozidi mitatu, sita au kumi na mbili.

Tupo Mbeya, Mafiati tunatizamana na bank ya akiba commercial Bank

EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
WHATSAPP ONLY
+255 682 274 097
Dalili za kulizwa mtu hizi. Actually approach yenu haina unafuu wowote, mnachokifanya kwa wateja wenu ni kuwasogezea matatizo yao mbele, ila mzigo pado huko pale pale, pengine mzito zaidi
 
Dalili za kulizwa mtu hizi. Actually approach yenu haina unafuu wowote, mnachokifanya kwa wateja wenu ni kuwasogezea matatizo yao mbele, ila mzigo pado huko pale pale, pengine mzito zaidi
Mimi nadhani approach yao sio mbaya maana wanachokifanya ni kuweza kukukopesha wewe kiasi Fulani Cha pesa ambacho utakirejesha ndani ya mwaka mmoja lakini pia hawakulazimishi kukopa Kama unaweza kulipia vitu vyote, pili naomba niongelee kidogo kuhusu hawa car dealer na Kama nitakua nimemkosea au kushindwa kuelezea vizuri tusahilishane vyema, Kwanza hawa watu wamekuja kurahisisha mambo kwa sababu, Kwanza ukiagiza gari Japan au Europe, wale wauzaji wa kule wao wanataka pesa yao yote ambayo mnakua mmekubaliana kwenye invoice,
Pili gari ikishafika kwenye port yako wao hawahusiki nayo Tena utabakia wewe kuhangaika nayo kuitoa, lakini mwisho Kuna kukwama sehemu ukajikuta uliagiza gari lakini kabla haijafika ukapata matatizo pesa uliyokua umeiandaa kwa ajili ya kulipia ushuru TRA ukawa umeitumia na huna sehemu nyingine ya kupata ambapo sasa hiyo gari itakaa bandarini free siku 7 zikizid hapo inaanza kuchajiwa penati,

Lakini ukiwatumia dealer wa hapa nyumbani ikitokea umekwama wao wataitoa gari bandarini na kuletwa nje then watakusajilia halafu watakupa uitumie ili ukiwa inajipanga kidogo kidogo kulipia pesa waliyokusaidia, na kikubwa zaidi wanakupa wigo mpana wa kulipia pesa kwa awamu zaidi ya moja,

Na mwisho haya makampuni sio ya kuagiza gari tu Ila hata kuuza magari yaliyoyotumika, na yanasaidia kupata mteja kwa urahisi kuliko wewe binafsi kumtafuta mteja
 
Nilikua najichanga angalau niagize BMW X3 ili niokote watoto wa Chuo kiulaini. Sasa kabla sijalipia Be Forward nikasema nichungulie Calculator ya TRA nimekutana na Maumivu yaani BMW X3 ya 2013 (CIF 9,656 USD) mikodi ya watoza ushuru inafika 12m hapo bado port charges etc. Huu ushuru mbona umepanda kinyemela? December 2021 ushuru ulikua 9m TZS kwa hgari hiyo hiyo! Twafaaa

View attachment 2114007
hii nchi ni ya hovyo sana huwa nashindwa kuelewaga ni kwasababu gani ushuru unakuwaga mkubwa kushinda bei ya gari" mfano: gari imetengenezwa Japani imegharimu materials kadhaa wa kadhaa mpaka inaikamilika, unakuta unaisafirisha kwa kutumia usafiri meli toka japan hadi kufika tanzania kama ni vitz gaharama ya kuisafirisha hata milioni mbili haifiki wakati huo kule japan ilipotengenezwa unakuta umeinunua kwa M 3.5 lakini cha kuskitisha ikifika tu pale bandarini yaani kitendo cha kuitoa pale tu unaweza ukaambiwa gharama ni milioni 5 sasa huu ni uzalendo kweli au tunaibiana? kinachosababisha gharama kuwa kubwa ni kitu gani hasa? ukiangalia si kwamba labda serikali ndio imeingia gharama za kuitengeneza na wala sio serikali iliyoingia gharama za kuisafirisha sasa kama serikali haijaingia gharama yeyote kwanini ushuru uwe juu kuliko hata ile gharama ya kuinunua hilo gari na kuisafirisha?
 
Dalili za kulizwa mtu hizi. Actually approach yenu haina unafuu wowote, mnachokifanya kwa wateja wenu ni kuwasogezea matatizo yao mbele, ila mzigo pado huko pale pale, pengine mzito zaidi
Naomba uweke bayana kila kitu , pamoja na uthibitisho wote ndugu.
Ili kuusaidia umma!

Ahsante.
 
Mimi nadhani approach yao sio mbaya maana wanachokifanya ni kuweza kukukopesha wewe kiasi Fulani Cha pesa ambacho utakirejesha ndani ya mwaka mmoja lakini pia hawakulazimishi kukopa Kama unaweza kulipia vitu vyote, pili naomba niongelee kidogo kuhusu hawa car dealer na Kama nitakua nimemkosea au kushindwa kuelezea vizuri tusahilishane vyema, Kwanza hawa watu wamekuja kurahisisha mambo kwa sababu, Kwanza ukiagiza gari Japan au Europe, wale wauzaji wa kule wao wanataka pesa yao yote ambayo mnakua mmekubaliana kwenye invoice,
Pili gari ikishafika kwenye port yako wao hawahusiki nayo Tena utabakia wewe kuhangaika nayo kuitoa, lakini mwisho Kuna kukwama sehemu ukajikuta uliagiza gari lakini kabla haijafika ukapata matatizo pesa uliyokua umeiandaa kwa ajili ya kulipia ushuru TRA ukawa umeitumia na huna sehemu nyingine ya kupata ambapo sasa hiyo gari itakaa bandarini free siku 7 zikizid hapo inaanza kuchajiwa penati,

Lakini ukiwatumia dealer wa hapa nyumbani ikitokea umekwama wao wataitoa gari bandarini na kuletwa nje then watakusajilia halafu watakupa uitumie ili ukiwa inajipanga kidogo kidogo kulipia pesa waliyokusaidia, na kikubwa zaidi wanakupa wigo mpana wa kulipia pesa kwa awamu zaidi ya moja,

Na mwisho haya makampuni sio ya kuagiza gari tu Ila hata kuuza magari yaliyoyotumika, na yanasaidia kupata mteja kwa urahisi kuliko wewe binafsi kumtafuta mteja
Mzee wangu, kipekee nakushukuru sana kwa kunisaidia kufafanua!

Kama pangekua na kitufe cha ziada kuonyesha shukurani, ningekibonyeza.

Ahsante kwa uelewa wako mpana
 
Nilikua najichanga angalau niagize BMW X3 ili niokote watoto wa Chuo kiulaini. Sasa kabla sijalipia Be Forward nikasema nichungulie Calculator ya TRA nimekutana na Maumivu yaani BMW X3 ya 2013 (CIF 9,656 USD) mikodi ya watoza ushuru inafika 12m hapo bado port charges etc. Huu ushuru mbona umepanda kinyemela? December 2021 ushuru ulikua 9m TZS kwa hgari hiyo hiyo! Twafaaa

View attachment 2114007
kuna jamaa yangu flani hivi alisha agizaga vitz be forward, ikaja akaanza kuitumia, baada ya miezi kama 10 hivi ile gari ikapata ajali shoo yote ya mbele na kwenye mlango wa dereva iliharibika sana , ikabidi aingie mtandaoni aka check tena na wale be forward kwamba anahitaji spare halfcut ya ile vitz yake , walichomjibu be forward kwamna kama jamaa ana nguvu ni vyema aagize gari nyingine sababu uku kwetu tanzania ushuru sio rafiki sana, sasa ebu assume mpaka mzungu mwenyewe anajua kama kwetu ushuru wa kuagiza gari sio rafiki huoni kama hatari?
 
Wkati fulani mwanzo wa mwaka kwa baadhi ya magari, TRA hua wanapandisha bei/thamani ( CIF value), mfano CIF value ya Nissan Dualis mwishoni mwa mwaka 2020 ilikua chini ukilinganisha na mwaka 2021, ikawa hivyo pia kwz Toyota IST.

Ukiwafanikiwa kuagiza gari mkuu, nakukaribisha kwa huduma ya clearing and forwarding, huduma zetu ni bora, ufanisi mkubwa, bei nafuu (ada ya uwakala SHS.. 200,000 kwa gari) na kwa uaminifu wa hali ya juu.

Wasiliana Nami;
Managing Director,
Ruaha Freight Ltd
7th Floor-Twiga House.
Samora Avenue,
Dar es Salaam-Tanzania.
Mobile; +255 718 866 651 Whatsap/Call
Email: ruahafreight2017@gmail.com.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huwa mnatusaidia sana kwakweli sasa sijui kwa nini mwenda zake aliwafutilia mbali
 
hii nchi ni ya hovyo sana huwa nashindwa kuelewaga ni kwasababu gani ushuru unakuwaga mkubwa kushinda bei ya gari" mfano: gari imetengenezwa Japani imegharimu materials kadhaa wa kadhaa mpaka inaikamilika, unakuta unaisafirisha kwa kutumia usafiri meli toka japan hadi kufika tanzania kama ni vitz gaharama ya kuisafirisha hata milioni mbili haifiki wakati huo kule japan ilipotengenezwa unakuta umeinunua kwa M 3.5 lakini cha kuskitisha ikifika tu pale bandarini yaani kitendo cha kuitoa pale tu unaweza ukaambiwa gharama ni milioni 5 sasa huu ni uzalendo kweli au tunaibiana? kinachosababisha gharama kuwa kubwa ni kitu gani hasa? ukiangalia si kwamba labda serikali ndio imeingia gharama za kuitengeneza na wala sio serikali iliyoingia gharama za kuisafirisha sasa kama serikali haijaingia gharama yeyote kwanini ushuru uwe juu kuliko hata ile gharama ya kuinunua hilo gari na kuisafirisha?
Gharama za bandari...wapigaji naobwapate chochote
 
hii nchi ni ya hovyo sana huwa nashindwa kuelewaga ni kwasababu gani ushuru unakuwaga mkubwa kushinda bei ya gari" mfano: gari imetengenezwa Japani imegharimu materials kadhaa wa kadhaa mpaka inaikamilika, unakuta unaisafirisha kwa kutumia usafiri meli toka japan hadi kufika tanzania kama ni vitz gaharama ya kuisafirisha hata milioni mbili haifiki wakati huo kule japan ilipotengenezwa unakuta umeinunua kwa M 3.5 lakini cha kuskitisha ikifika tu pale bandarini yaani kitendo cha kuitoa pale tu unaweza ukaambiwa gharama ni milioni 5 sasa huu ni uzalendo kweli au tunaibiana? kinachosababisha gharama kuwa kubwa ni kitu gani hasa? ukiangalia si kwamba labda serikali ndio imeingia gharama za kuitengeneza na wala sio serikali iliyoingia gharama za kuisafirisha sasa kama serikali haijaingia gharama yeyote kwanini ushuru uwe juu kuliko hata ile gharama ya kuinunua hilo gari na kuisafirisha?
Tamaa tu, na viongozi wamekosa uadilifu.
Kiufupi bandarini wanapiga pesa mnoo.
 
Nataka nichangie kidogo hapo, sio kwamba TRA huwa wanapandisha Kodi ikifika January ya kila mwaka Bali kinachofanyika ni hivi, TRA Kuna ushuru ambao unakatwa kulingana na idadi ya miaka ya Hilo gari tokea litengenezwe na Kodi yao ipo hivi
Gari iliyotengenezwa na kuagizwa kuja hapa nchini ikiwa na umri wa miaka 0-8 haitozw Kodi ya uchakavu, gari yenye miaka zaidi na 8 na ipo chini ya miaka 10 inatozwa 15% ya uchakavu na gari iliyo na miaka zaidi ya 10 inatozwa 30% sasa inaweza kutokea umeagiza gari yako mwaka 2021 mwezi november ikiwa ndani ya miaka 10 lakini bahati mbaya ikafika bandarini January 2 2022 hiyo gari tayari inakua imevuka miaka 10 na haitatozwa 15% ya Kodi badala yake itakatwa 30%
Hata ukinunua gari ya 2022 kodi yake unaweza kukimbia.
 
Back
Top Bottom