EAPGS
JF-Expert Member
- Jun 17, 2021
- 282
- 334
ahsante kwa swali la msingi sana mzee wangu ;Mkuu nisaidie kujibu. Nini faida ya kuagiza kupitia kampuni yako badala ya mteja kuagiza direct Japan?
1. USALAMA ;
Kwetu, EAPGS mteja anapoagiza kupitia sisi, anakua na uhakika wa usalama wa fedha yake, kati ya vithibitisho vingi anavyopata E F D risiti ni miongoni mwavyo.
2. UHAKIKA
Mteja, anakua na uhakika wa kile alichoagiza ndicho hicho anachokabidhiwa, kwa sababu hata yeye pia anapewa nafasi yakua anatazama procedures zote za gari yake hadi inapofika bandarini Dar es salaam
3. UNAFUU
Mteja anapoagiza gari kwetu, anapata unafuu wa bei kadharika wa gharama zingine ambazo angepaswa kuzilipia kwa wakati mmoja asilimia mia moja.
kwetu, mteja anapata nafasi ya kuzilipa kidogo kidogo kwa muda wa hadi. mwaka mmoja.
NOTE : HUDUMA HII SIO YA LAZMA, NI IWAPO MTEJA MWENYEWE ATAPENDA
Haya ni machache kati ya mengi.
karibuni sana
KAZI NI KWAKO !!!
EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
WHATSAPP ONLY
+255 682 274 097