Ushuru wa Kuagiza (import) Magari umepanda Kinyemela?

Magari umepanda Kinyemela huko bara.​

Ungepitishia Zanzibar ushuru ni mdogo.​

 
Na TRA wao hawaangalii Hilo gari ni chakavu, au mpya wao CIF yao wanatoa kwenye gari ikiwa mpya thamani yake ni Bei gani?
Sio tu gari mpya yani gari wanaangalia bei husika ya hio gari kwa mwaka husika. Mfano IST mpya ya mwaka 2013 bei yake ikoje sokoni.

Wakiipata ile bei wanaweka 90-110% ya bei yake ndio charge ya ushuru. Yani gari nyingi za kisasa huwezi kuta inauzwa million 10 ushuru ukawa 5million.

Hakunaga hio yani kama bei ni 10M ushuru lazma uwe 9M.

Imagine IST unayonunua 6.5M Japan ushuru wake lazma uwe 6.5M au 7M kabisa. Na hio ndio ilivyo kwa gari nyingi
 
Tena bahati yenu sana Watanzania, ingekuwa amri yangu magari yaliyotumika nje huko yangekuwa ushuru 200% Mapya yangekuwa 20% tu.


Tunajaziwa migari chakavu nchini kama dampo la magari mabovu. Pambaf kabisa.
 
Tena bahati yenu sana Watanzania, ingekuwa amri yangu magari yaliyotumika nje huko yangekuwa ushuru 200% Mapya yangekuwa 20% tu.


Tunajaziwa migari chakavu nchini kama dampo la magari mabovu. Pambaf kabisa.
Kenya wanatumia huu mfumo kule wanaendesha gari nyingi mpya ila ushuru uko chini
 
Ukitaka kununua gari hakikisha unaweza kuinunua gari hiyo mara mbili then agiza japani.
 
Ushuru ni mkubwa sana. Kwenye baadhi ya spare mpaka unaweza kulia.
 
Tena bahati yenu sana Watanzania, ingekuwa amri yangu magari yaliyotumika nje huko yangekuwa ushuru 200% Mapya yangekuwa 20% tu.


Tunajaziwa migari chakavu nchini kama dampo la magari mabovu. Pambaf kabisa.
Hayo machakavu yenyewe wangapi wanaweza kuyanunua?
 
Hayo machakavu yenyewe wangapi wanaweza kuyanunua?
Mi naona mfumo mzuri ungekuwa kuuziana yale used humu humu nchini bila kuimport. Mfano kuwe na scrape yard ya gari ambazo ma Don wametumia kisha zinakuwa reconditioned na kuuziwa walalahoi humu humu kwa kulinganisha bei na Japanese used market.
Ungekuta mjini zimejaa gari za 2015-2020 tu sasa.
 
za 2002-2005 tu hatuna uwezo nazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…