ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Hapo bado ukilinunua boda boda hawajakubrush kwenye sait mirror unalala mika!! si utakuwa kichaa kabisaNilikua najichanga angalau niagize BMW X3 ili niokote watoto wa Chuo kiulaini. Sasa kabla sijalipia Be Forward nikasema nichungulie Calculator ya TRA nimekutana na Maumivu yaani BMW X3 ya 2013 (CIF 9,656 USD) mikodi ya watoza ushuru inafika 12m hapo bado port charges etc. Huu ushuru mbona umepanda kinyemela? December 2021 ushuru ulikua 9m TZS kwa hgari hiyo hiyo! Twafaaa
View attachment 2114007
Sasa kama mtu alienunua gari ya 2015 maybe 70M akakuuzia wewe 30M gari ikiwa in magnificent condition maybe grade 4 car.za 2002-2005 tu hatuna uwezo nazo
Magari chakavu ni mzigo mkubwa sana kwa taifa, ingawa tunaona unafuu kwa "individuals" lakini tnashindwa kufikiri. Wala siyo "rocket science", fikra ndogo sana tu, vipi nchi za kitajiri ambazo zina kila kitu, ziyachoke na kuyatupa kwa bei poa, wewe uyarundike kwenu? Yamewashinda nini hao wanaotaka kuyapeleka "scrap yard" halafu sisi tunayakimbilia?Kenya wanatumia huu mfumo kule wanaendesha gari nyingi mpya ila ushuru uko chini
Point. Soko la Tanzania karibia watu 60m (ukilinganisha na Rwanda yenye watu chini ya 10m) Ni kubwa na tukiamua tunaweza. Urasimu na Sera zisizo rafiki kibiashara ndo tatizoMagari chakavu ni mzigo mkubwa sana kwa taifa, ingawa tunaona unafuu kwa "individuals" lakini tnashindwa kufikiri. Wala siyo "rocket science", fikra ndogo sana tu, vipi nchi za kitajiri ambazo zina kila kitu, ziyachoke na kuyatupa kwa bei poa, wewe uyarundike kwenu? Yamewashinda nini hao wanaotaka kuyapeleka "scrap yard" halafu sisi tunayakimbilia?
Kinachotakiwa ni simply kuyapiga marufuku magari chakavu yote, kupunguza ushuru wa gari mpya, na kuziwekea ukomo wa kutumika barabatani, maximum iwe miaka 10 kwa gari ndogo na miaka 15 kwa gari za "commercial". Automatically gari mpya zitashuka bei wakipenda wasipende na tutakuwa na assembly plant zetu kwa kuanzia, na hatimae tutaunda asilimia kubwa ya vifaa vipya hapahapa nchini, tena vyenye ubora tutaoupanga sisi, ilimradi tuipige msasa TBS rushwa iuliwe kule.
Ni ajabu sana, mpaka leo tunashindwa kuunda japo vioo tu vya magari vyenye ubora, ili hata tukiagiza gari mpya tunawaambia tunalinunua bila vioo, vioo tunakuja kubandika vyetu. Hivyo hivyo kwa vifaa vyote, kidogo kidogo.
Maendeleo hayaji bila maamuzi magumu ya viwanda, tena hatuhitaji viwanda vikubwa, vidogo vidogo tu.
Wasomi wetu naona kazi na sifa yao ni ya kujaza makaratasi tu ukutani na kugombania safari za kwenda nje "kula bata". Siyo kuwa busy kwenye labs na workshops kujaza ubunifu mitaani. Unamkuta anajisifu "mimiMechanical Engineer", ukimuuliza unaunda nini? Anakukodolea macho kama mjusi kabanwa na mlango. Hana jibu.
Fursa hiyo, tusingoje kufanyiwa. Sijawahi kununua gari chakavu ya iliyozidi miaka 5. Kwa kusudi kabisa.Point. Soko la Tanzania karibia watu 60m (ukilinganisha na Rwanda yenye watu chini ya 10m) Ni kubwa na tukiamua tunaweza. Urasimu na Sera zisizo rafiki kibiashara ndo tatizo
UAE (hasa Dubai) waliachana na urasimu usio na tija. Leo wanavuna matunda pamoja na jangwa. Sisi huku kila mtu anawaza kulaPoint. Soko la Tanzania karibia watu 60m (ukilinganisha na Rwanda yenye watu chini ya 10m) Ni kubwa na tukiamua tunaweza. Urasimu na Sera zisizo rafiki kibiashara ndo tatizo
Humpat mtu humu. Wote wajanjaPole, lakini ndio.maana wahemga walisema, kuuliza si ujinga.
Kabla ya kuweka conclusion ambazo hazina uhalisia, bora kwanza ungehoji.
Hapo ndipo ngozi nyeupe huwa wanatupiga gap sasa.
HakikaHumpat mtu humu. Wote wajanja
Daah jewela nazihusudu sana zimekaa ki babygal sana yaani ukimpa lift dame lazima alegeze.2017 TOYOTA
Vitz Hybrid JEWELA DAA-NHP130
Hii jumla mkononi ni 25milioni
Ishu ni kua hakuna mtu anayependa kuendesha gari chakavu. Ila tunafanya hivyo sababu ya ushuru mkubwa wa kuagiza used from Japan.Magari chakavu ni mzigo mkubwa sana kwa taifa, ingawa tunaona unafuu kwa "individuals" lakini tnashindwa kufikiri. Wala siyo "rocket science", fikra ndogo sana tu, vipi nchi za kitajiri ambazo zina kila kitu, ziyachoke na kuyatupa kwa bei poa, wewe uyarundike kwenu? Yamewashinda nini hao wanaotaka kuyapeleka "scrap yard" halafu sisi tunayakimbilia?
Kinachotakiwa ni simply kuyapiga marufuku magari chakavu yote, kupunguza ushuru wa gari mpya, na kuziwekea ukomo wa kutumika barabatani, maximum iwe miaka 10 kwa gari ndogo na miaka 15 kwa gari za "commercial". Automatically gari mpya zitashuka bei wakipenda wasipende na tutakuwa na assembly plant zetu kwa kuanzia, na hatimae tutaunda asilimia kubwa ya vifaa vipya hapahapa nchini, tena vyenye ubora tutaoupanga sisi, ilimradi tuipige msasa TBS rushwa iuliwe kule.
Ni ajabu sana, mpaka leo tunashindwa kuunda japo vioo tu vya magari vyenye ubora, ili hata tukiagiza gari mpya tunawaambia tunalinunua bila vioo, vioo tunakuja kubandika vyetu. Hivyo hivyo kwa vifaa vyote, kidogo kidogo.
Maendeleo hayaji bila maamuzi magumu ya viwanda, tena hatuhitaji viwanda vikubwa, vidogo vidogo tu.
Wasomi wetu naona kazi na sifa yao ni ya kujaza makaratasi tu ukutani na kugombania safari za kwenda nje "kula bata". Siyo kuwa busy kwenye labs na workshops kujaza ubunifu mitaani. Unamkuta anajisifu "mimiMechanical Engineer", ukimuuliza unaunda nini? Anakukodolea macho kama mjusi kabanwa na mlango. Hana jibu.
Taifa lInamtaka anunue gari la Kipanya!Gari hiyo si ya mtu mwenye pesa za mawazo