Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada!

Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada!

Hili suala la kodi za kiwendawazimu za magari kutoka nje tumelikemea sana.
Ila hawa watu(CCM) ni washenzi na hawana akili.
Nchi yenye maelfu ya rasilimali bado inaendelea kuminya wananchi.
They're totally crazy
 
Duh, ushuru upande hivyo, 2 times, ngoja nicheki na TRA. That is very expensive
 
Pole.

Sasa hivi nchi imerudi kwa wenyewe na wanamiliki kampuni maarufu ya "bahari iliyo kimya". Ungewatumia wana gharama nafuu kabisa.

RIP JPM
Silent Ocean hawahusiki na kuagiza au kutoa magari
 
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! !
Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo

Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)

Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona nakuuhakiki hadi juzi tu 5.6mln

Invoice zipo

Naomba msaada kwa yeyote na kwa wahusika TRA.

Ili niweze kulipa ushuru niliouona na kunishawishi kuiagiza hiyo gari wakati itakapofika.

Vielelezo vyote vinavyohitajika INVOICEs MALIPO vipo endapo vitahitajika..

Sababu siwezi irudisha au ku cancel. Hata hivyo hizo pesa sina..

Kulikuwa na hadithi za chawa fulani nchi za Afrika mashariki kuungana. Mwananchi wa nchi gani atakubaliana na upuusi kama huu?
 
Katika kuagiza magari wengi wanachemkaga sana kwenye ile kalkuleta, usipoangalia kwa makini customs value ya ile gari ni kiasi gani ukilinganisha na bei ya muuzaji, bei ya muuzaji ikiwa juu kuliko ile ya kwenye kalkuleta umeumia.
 
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! !
Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo

Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)

Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona nakuuhakiki hadi juzi tu 5.6mln

Invoice zipo

Naomba msaada kwa yeyote na kwa wahusika TRA.

Ili niweze kulipa ushuru niliouona na kunishawishi kuiagiza hiyo gari wakati itakapofika.

Vielelezo vyote vinavyohitajika INVOICEs MALIPO vipo endapo vitahitajika..

Sababu siwezi irudisha au ku cancel. Hata hivyo hizo pesa sina

Katika kuagiza magari wengi wanachemkaga sana kwenye ile kalkuleta usipoangalia kwa makini customs value ya ile gari ni kiasi gani ukilinganisha na bei ya muuzaji,bei ya muuzaji ikiwa juu kuliko ile ya kwenye kalkuleta umeumia
kwa wanaofahamu wamjuye zaidi
 
Sikuhizi sisikilizi hotuba za mama maana kila hotuba utasikia " Kuna kijitozo kidogo tumekiongeza"

Hivyo vijitozo vyake vidogo ukiviunganisha Kama mshahara wako ni elf 50 utakuta elfu 45 unamalizia kwenye "vijitozo" alaf wewe unakula buku dasi, nikipata elf 20 najihisi Kama mfukoni sina kitu maana nikinunua tu mafuta Lita 1 na sukari kilo 1 pesa yote imekaa
 
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada!!!
Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo

Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)

Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona nakuuhakiki hadi juzi tu 5.6mln

Invoice zipo

Naomba msaada kwa yeyote na kwa wahusika TRA.

Ili niweze kulipa ushuru niliouona na kunishawishi kuiagiza hiyo gari wakati itakapofika.

Vielelezo vyote vinavyohitajika INVOICEs MALIPO vipo endapo vitahitajika..

Sababu siwezi irudisha au ku cancel. Hata hivyo hizo pesa sina..
Anaupiga mwingi
 
Eti ushuru wa kuagiza gari unakuwa asilimia 100% ya thamani ya manunuzi ya gari hadi kufika bandari ya DSM [emoji848][emoji848]

Tena saingine kuzidi!

Kuna tatizo kubwa mahala kwenye database na sheria za TRA Customs katika ushuru wa kuingiza magari.
 
Kumiliki gari siyo anasa.

Gari ni kitendea kazi.

Kwanini mna -discourage wananchi kuingiza magari Kwa kuwakomoa kwenye ushuru mkubwa wa magari?
 
Eti ushuru wa kuagiza gari unakuwa asilimia 100% ya thamani ya manunuzi ya gari hadi kufika bandari ya DSM [emoji848][emoji848]

Tena saingine kuzidi!

Kuna tatizo kubwa mahala kwenye database na sheria za TRA Customs katika ushuru wa kuingiza magari.

IMG_0800.jpg

IMG_0799.jpg

IMG_0798.jpg

IMG_0797.jpg

Kwa ground mambo hubadilika
 
Serikali haitumii akili.

Ingetaka kodi na kuondoa magari chakavu iweke 25% pekee kwa magari mpya
Magari Chakavu yanayoruhusiwa ingia yasizidi miaka 5, tofauti na hapo hilo gari liharibiwe
 
Serikali haitumii akili.

Ingetaka kodi na kuondoa magari chakavu iweke 25% pekee kwa magari mpya
Magari Chakavu yanayoruhusiwa ingia yasizidi miaka 5, tofauti na hapo hilo gari liharibiwe
Serikali itumie akili? Ina KICWA?
 
Back
Top Bottom