Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
piogaaaaaaaaaa kima nyie mtajuta kuzaliwa bongo, wenzenu wanalalamikia kikokotoo huku wanakopa magari ya mamilioni kwa milioni mbili mbili tu ,nyie wengine mnajilipua kuagiza kwa mikodi ya ajabuajabu, mnakumbuka Sabaya alinunua lile shangingi kwa shilingi ngapi? ndiomaana hawaishi kusema anaupiga Mwingi ila kila jambo lina mwisho wake