Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hivi "Silen. Ocea." bado ipo?Pole.
Sasa hivi nchi imerudi kwa wenyewe na wanamiliki kampuni maarufu ya "bahari iliyo kimya". Ungewatumia wana gharama nafuu kabisa.
RIP JPM
Silent Ocean hawahusiki na kuagiza au kutoa magariPole.
Sasa hivi nchi imerudi kwa wenyewe na wanamiliki kampuni maarufu ya "bahari iliyo kimya". Ungewatumia wana gharama nafuu kabisa.
RIP JPM
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! !
Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo
Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)
Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona nakuuhakiki hadi juzi tu 5.6mln
Invoice zipo
Naomba msaada kwa yeyote na kwa wahusika TRA.
Ili niweze kulipa ushuru niliouona na kunishawishi kuiagiza hiyo gari wakati itakapofika.
Vielelezo vyote vinavyohitajika INVOICEs MALIPO vipo endapo vitahitajika..
Sababu siwezi irudisha au ku cancel. Hata hivyo hizo pesa sina..
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! !
Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo
Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)
Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona nakuuhakiki hadi juzi tu 5.6mln
Invoice zipo
Naomba msaada kwa yeyote na kwa wahusika TRA.
Ili niweze kulipa ushuru niliouona na kunishawishi kuiagiza hiyo gari wakati itakapofika.
Vielelezo vyote vinavyohitajika INVOICEs MALIPO vipo endapo vitahitajika..
Sababu siwezi irudisha au ku cancel. Hata hivyo hizo pesa sina
kwa wanaofahamu wamjuye zaidiKatika kuagiza magari wengi wanachemkaga sana kwenye ile kalkuleta usipoangalia kwa makini customs value ya ile gari ni kiasi gani ukilinganisha na bei ya muuzaji,bei ya muuzaji ikiwa juu kuliko ile ya kwenye kalkuleta umeumia
Wapi nimesema Silent Ocean mkuu?
Ndio kitu gani hicho boss?Hivi "Silen. Ocea." bado ipo?
JPM hakuifuta tuu na kujidai kwake kote kushughulikia mafisadi!!???
Anaupiga mwingiUshuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada!!!
Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo
Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)
Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona nakuuhakiki hadi juzi tu 5.6mln
Invoice zipo
Naomba msaada kwa yeyote na kwa wahusika TRA.
Ili niweze kulipa ushuru niliouona na kunishawishi kuiagiza hiyo gari wakati itakapofika.
Vielelezo vyote vinavyohitajika INVOICEs MALIPO vipo endapo vitahitajika..
Sababu siwezi irudisha au ku cancel. Hata hivyo hizo pesa sina..
Eti ushuru wa kuagiza gari unakuwa asilimia 100% ya thamani ya manunuzi ya gari hadi kufika bandari ya DSM [emoji848][emoji848]
Tena saingine kuzidi!
Kuna tatizo kubwa mahala kwenye database na sheria za TRA Customs katika ushuru wa kuingiza magari.
Serikali itumie akili? Ina KICWA?Serikali haitumii akili.
Ingetaka kodi na kuondoa magari chakavu iweke 25% pekee kwa magari mpya
Magari Chakavu yanayoruhusiwa ingia yasizidi miaka 5, tofauti na hapo hilo gari liharibiwe