Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Zamaradi level yake kwa sasa ni Le mutuz, papaa mobimba, basi!!Hata siyo mwigulu tunamuona kila siku ni mtoto wa kiongozi mkubwa sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kinachoniacha hoi ni kuwa wanaume ndo wanaongoza kumsema na kumdiss zama, uwiiiiioh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakusahihisha tu kwenye ka sentensi ka mwisho. Hatuna neno medias!! Wingi ni media dada.Range ya Zamaradi Ilivyopatikana.
Issue iko hivi Zamaradi alinunuaga nyumba kipindi yupo na Ruge, Ruge alimsaidia kununua hiyo nyumba. Then akanunua kiwanja mwenyewe kipindi yupo na Ruge, baada ya kuwa na Shabani wakaanza kujenga nyumba kwenye hiko kiwanja, ndiyo hiyo nyumba wanayoishi.
Sasa ni hivi Zamaradi ameuza nyumba aliosaidiwaga na Ruge kununua back in the day ndiyo kanunua hiyo range. Jamani Zamaradi kauza nyumba ndiyo akanunua hiyo gari. Hakuna cha mume kununua wala nini. Jamani maisha ya mitandaoni sio kabisaaa, usipokuwa makini unaweza kuhisi mumeo ni nyau kabisa.
Ila Zama watu wanamuonaga role model ila hamna kitu, sisemi kakosea kuuza nyumba kununua range, nyumba ni yake she has a right to do what she wants, tatizo ni kuleta kwa social media ku-show-off na kujifanya mume wake ndo kamnunulia.lkija suala la utoto wa show-off za kijinga Zama hana tofauti na wajinga wengine kwenye socia medias.
View attachment 2415164
Yaan wee acha tyuuh[emoji23][emoji23][emoji23]
Jibebishe tu shauri yako utapigwa mangumiiNa Mimi nijibebishe kwako darling [emoji12]
Great thinkers hatuna mda mchafu wa kufatilia maisha ya watu ,tunadeal na kuchambua maendeleo Tanzania na Watanzania kiujumlaRange ya Zamaradi Ilivyopatikana.
Issue iko hivi Zamaradi alinunuaga nyumba kipindi yupo na Ruge, Ruge alimsaidia kununua hiyo nyumba. Then akanunua kiwanja mwenyewe kipindi yupo na Ruge, baada ya kuwa na Shabani wakaanza kujenga nyumba kwenye hiko kiwanja, ndiyo hiyo nyumba wanayoishi.
Sasa ni hivi Zamaradi ameuza nyumba aliosaidiwaga na Ruge kununua back in the day ndiyo kanunua hiyo range. Jamani Zamaradi kauza nyumba ndiyo akanunua hiyo gari. Hakuna cha mume kununua wala nini. Jamani maisha ya mitandaoni sio kabisaaa, usipokuwa makini unaweza kuhisi mumeo ni nyau kabisa.
Ila Zama watu wanamuonaga role model ila hamna kitu, sisemi kakosea kuuza nyumba kununua range, nyumba ni yake she has a right to do what she wants, tatizo ni kuleta kwa social media ku-show-off na kujifanya mume wake ndo kamnunulia.lkija suala la utoto wa show-off za kijinga Zama hana tofauti na wajinga wengine kwenye socia medias.
View attachment 2415164
Hiyo hint aliyekupa mkimbie siku nyingine asikulishe uongo. Behind the scene ya hilo gari sio kigogo kumgonga Zamaradi. Filter na make up zinawachanganya njaa kali ila sio wazinzi kama huyo kigogo unayemtajaKwani wewe ni mwanamke? Ungekuwa mwanaume usingeshangaa kwa kuwa wanaume wana vigezo tofauti wanapotafuta wanawake
Huwajui watu wa vijijini wewe.Yani Madilu amhonge Zamaradi? Kwa lipi alilonalo. Mbona hata common sense inakataa
Vyovyote vile, ila kamheshimisha mumewe.... Mkuu hujawahi kwenda outing na kipenzi chako (kama wewe ni me) na siku hyo wallet haina kitu na upo labda na ka shem darling pembeni, unapatiwa pesa na bidada ili ulipe bills Kukufichia soo kwa ka shem darln' kasije kukuona mwanaume suruali?
Hata wewe hujui chanzo cha fedha ya Zamaradi aliyotumia kununua hiyo Range. Kuna mzito yuko Serikalini anasimamia tozo ndiye kamhonga. Jina la huyo mtu linaanza na M.. na la pili N..
Wewe umesema ukweli. Yule mshikaji toka kitambo anajulikana alikua HOUSE BOY wa Mshua mmoja pale Osterbay, ile kupewa pewa V8 kwenda kuosha osha ndio akamnasa ZAMARADI
Ndiyo,yale ya basila mwanukuz aliponunua hammer wacha watu wampigie kelele,utafikiri pesa zaoYaan wee acha tyuuh
Kama mimi🤣🤣🤣🤣🤣🙈🙈🙈Mia kwa mmoja wanaweza fanya hii, ukiwa na mwanamke design hii una lulu ndani ya nyumba.