Usiamini kila unachokiona mtandaoni, Zamaradi hajanunuliwa gari na Mume wake

Kinachoniacha hoi ni kuwa wanaume ndo wanaongoza kumsema na kumdiss zama, uwiiiiioh

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakusahihisha tu kwenye ka sentensi ka mwisho. Hatuna neno medias!! Wingi ni media dada.
 
Great thinkers hatuna mda mchafu wa kufatilia maisha ya watu ,tunadeal na kuchambua maendeleo Tanzania na Watanzania kiujumla
 
Kwani wewe ni mwanamke? Ungekuwa mwanaume usingeshangaa kwa kuwa wanaume wana vigezo tofauti wanapotafuta wanawake
Hiyo hint aliyekupa mkimbie siku nyingine asikulishe uongo. Behind the scene ya hilo gari sio kigogo kumgonga Zamaradi. Filter na make up zinawachanganya njaa kali ila sio wazinzi kama huyo kigogo unayemtaja
 


Kwa huko ku-fake life ?
 
Hata wewe hujui chanzo cha fedha ya Zamaradi aliyotumia kununua hiyo Range. Kuna mzito yuko Serikalini anasimamia tozo ndiye kamhonga. Jina la huyo mtu linaanza na M.. na la pili N..


Hapo awali ilisemekana Hamisa kumbe sio !

Hadi kupewa ubalozi wa mapato?!
 
Wewe umesema ukweli. Yule mshikaji toka kitambo anajulikana alikua HOUSE BOY wa Mshua mmoja pale Osterbay, ile kupewa pewa V8 kwenda kuosha osha ndio akamnasa ZAMARADI



[emoji13][emoji38][emoji14]
 
Narudia kuandika....
Social media life laweza kufanya uone mwanaume wako kibwengo au kijini kipo kwenye maisha yakooo..

Kumbe partner wako ana struggle muwe bora zaidi...
Mungu awabariki wanaume wote mnaopambana kutafuta hela.. Ila nyie mnaopambana kutafuta nyuchi na nyie mbarikiwe pia.
 
We kweli ni mwanaume? Kama jibu ni ndio em jitazame matakon kama uko salama
 
Hivi kumbe mjadala bado ulikua una endelea[emoji23][emoji848]
 
Mnataka kumpangia pesa yake

Ehe,haya mlitaka aitumiaje????

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…