Usianike life style yako mtandaoni, binadamu hana tabia ya kusahau, binadamu hasamehi

Usianike life style yako mtandaoni, binadamu hana tabia ya kusahau, binadamu hasamehi

Nchi inatakiwa ichangamke hii, unataka tukose connection za waungwana sasa.!! 😹

Madilu alikuwa hapost chochote na kiongozi muadilifu lakini kimada wake akauza connection kwa Mangeanalia anatetemeka binti alivyompagawisha, na yule baba Askofu naye genye zimemsaliti kaletwa nginjanginja analia anamsifia kondoo wake alivyonona 🤣🤣🤣
Ila mambo mengine ni kujifedhehesha tu na ubaya mitandao haisahau. Kinachopstiwa kinaacha risiti, huwezi kubisha
 
People often seek social recognition, and we as poor people tend to place a higher value on material goods.
 
Uoga mbaya sana kuna wengi wanaishi kwa kuweka harakat zao mitandaoni tena kwa kulipia sponsored ads kabisa ili watu wengi waone
 
ungekuwa navyo ungepost
Mimi nikiwa mwenyewe na post lakini nikiwa na family na watoto sijawahi sana sana huwa na share kwenye group la familia (wasap)
Pia mimi mwenyewe kuna sehemu siwezi post hata nikiwa mwenyewe tu kama Bar,Hoteli nakula,Swimming pool na sehemu zozote nzuri(za bata)

Badala yake huwa na post kazi zangu za shamba ufugaji na vitu kadhaa ambavyo vinaweza saidia watu wengine kupitia mimi.

Hata wife nishapiga marufuku kupost watoto na issue za family mitandaoni.

Kwenye maisha kila mtu aishi anavyoona inafaa wengine ndo hivyo tu akipanda ndege picha kama saba kwenye status nk yaani kila mtu mambo yako anayajua. Kwangu mimi sio sawa.
 
Mimi nikiwa mwenyewe na post lakini nikiwa na family na watoto sijawahi sana sana huwa na share kwenye group la familia (wasap)
Pia mimi mwenyewe kuna sehemu siwezi post hata nikiwa mwenyewe tu kama Bar,Hoteli nakula,Swimming pool na sehemu zozote nzuri(za bata)

Badala yake huwa na post kazi zangu za shamba ufugaji na vitu kadhaa ambavyo vinaweza saidia watu wengine kupitia mimi.

Hata wife nishapiga marufuku kupost watoto na issue za family mitandaoni.

Kwenye maisha kila mtu aishi anavyoona inafaa wengine ndo hivyo tu akipanda ndege picha kama saba kwenye status nk yaani kila mtu mambo yako anayajua. Kwangu mimi sio sawa.
Yeah chamsingi kila mtu aishi maisha yake
 
Niko na picha kibao ila nikipost sasa maswali yanakuwa mengi sana.Mara ya mwisho nilipost picha ya mkutano wa kikazi na watu wa nchi za africa magharibi na watu weupe , wadau walikuja inbox maneno mengi "ooh flani tunakuona mtu mzito imepanda imeshuka".Kuna wale ambao wako real hawana kinyongo ila wengine ndio ni kama inawauma yani hongera haitoki moyoni imeambatana na maneno ya maumivu.
Nikaona sasa nikaushe na ikitokea nimepost nitapost picha simple tu isiyoonesha mazingira sana kuepuka watu kuanza kuongelea mambo yasiyohusiana na picha waishie kusema umenenepa au umekonda sio Wooow hapo ni wapi and the likes 🤣🤣.Wengine comment zao unaona kabisa ni kama anakuambia kwa hiyo umejipata sahivi ni unafanya show off unatuoshea sio?🤣 Wakati hata huna intention hiyo.
Badae ikanifanya niache kabisa kupost picha zangu nikiwa kwenye matukio ,ntapost vitu vya kawaida ila sio zangu kuepusha kuwafanya wengine wajiskie unyonge au kuonesha kwamba niko hatua zaidi mbele yao wakidhani lengo langu ni kujionyesha wakati sio.
 
Back
Top Bottom