Usianzishe biashara wala kutafuta kazi kupitia waganga wa kienyeji

Ila ujue kila mahali penye utajiri au cheo kuna siri iliyofichika. Mungu hana upendeleo wa kumpa fulani na kumyima fulani. Mungu ni upendo, anampenda kila binadamu. Wengi wapo kwenye asilimia 5 yenye masharti magumu. Hakuna mtu mjasiri na mvumilivu kama tajiri, wengi wana roho ya paka.
 
Ngoja nikuongezee na hii

"Mnyama anayechinjwa kwa shughuli za ushirikina ni wazi analazimishwa kufa kabla ya muda wake wa kufa kutimia.. Vita yake yoyote ya kiroho baada ya hapo utaibeba wewe.. Kwahiyo utakuwa na vita mbili ama zaidi ya kupigana.. "

Muhimu sana.

SUKAH
 
Nimeelewa mkuu. Ndio maana hata maswali yangu yapo katika wakati uliopita. Ungeweza kujibu ingetusaidia kuelewa haya mambo zaidi.
OK sawa lakini maslahi yangu niliyotangaza bado yanajieleza wazi kwamba mimi sio mganga na sijawahi kuwa mganga wa kienyeji.. Ushirikina niliofanya mimi ni Fantasy witchcraft.. Huu hauna maagano wala hauna madhara kwa wengine na ndio maana niliweza kuuacha na kuokoka
 
Still mkuu unatunyima tu taarifa chache zinazoweza kutupa funzo. Hebu naomba niambie fantasy witchcraft ni nini
 
Mshana katujazia madini tupu, naona ningetakiwa copy & paste thread yote.
 
hichi kichwa hiki kina madini mno jpo wengi humu hawajalifahamu hilo
 
Still mkuu unatunyima tu taarifa chache zinazoweza kutupa funzo. Hebu naomba niambie fantasy witchcraft ni nini
Hapana kaka trust me ningeweza kuroga kabisa mbona nisingehangaika na ajira na kipato kama wengine?[emoji23] fantasy witchcraft ni kwa ajili ya kujifunza zaidi na kufurahisha hadhira bila kudhuru uumbaji wowote..! Kwa nanma yoyote ile
 
Hapana kaka trust me ningeweza kuroga kabisa mbona nisingehangaika na ajira na kipato kama wengine?[emoji23] fantasy witchcraft ni kwa ajili ya kujifunza zaidi na kufurahisha hadhira bila kudhuru uumbaji wowote..! Kwa nanma yoyote ile
Una exposure kwenye upande huo lakini sema labda tu hutaki kutuibia siri. Au labda masharti ya huko yanakubana ila fresh kaka asante kwa muda wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…