DingiMbishi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2021
- 449
- 647
Nasikia ukifanya hvyo barida tu,🙄🙄🙄🙄Hahaha[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia ukifanya hvyo barida tu,🙄🙄🙄🙄Hahaha[emoji23]
Yeah mapepo yapo ya mizimu na yasitokana na mizimu.. Kuna variety kubwa mno ya viumbe hai kwenye makundi ya viumbe roho na viumbe roho na mwili..sio binadamu tuu , kuna wanyama nkOkay.
Umesema jini ni kiumbe roho asietokana na binadamu na pepo ni kiumbe roho anaetokana na wafu na viumbe roho wengine ambao sio binadamu.
Je viumbe roho hao wengine ni wapi? Na je mapepo ina maana ndio mizimu?
Kama hiyo dawa ni hizi za kawaida za mitishamba hakuna shida kabisa.. Unajua shida kubwa hapa ipo kwenye DAMU.. Ogopa sana damu kwakuwa hii ndio imebeba uhai usiokufaNa vipi kuhusu wanaoenda kwa waganga bila kupewa masharti yoyote zaidi ya dawa tu?
Je inawezekana hao viumbe roho wa wanyama wakaingilia ulimwengu wa viumbe roho wa kibinadamu?Yeah mapepo yapo ya mizimu na yasitokana na mizimu.. Kuna variety kubwa mno ya viumbe hai kwenye makundi ya viumbe roho na viumbe roho na mwili..sio binadamu tuu , kuna wanyama nk
Viumbe roho wanyama na binadamu wanaingiliana bila shida...tofauti yao ni yale majumba mwili wanayofaa yanayowatofautisha kwenye uhayawani na ufahamu wa kibinadamuJe inawezekana hao viumbe roho wa wanyama wakaingilia ulimwengu wa viumbe roho wa kibinadamu?
Na je ikiwa mimi sipo kwenye cycle ya viumbe roho vya aina hizo. Mafano sifanyi matambiko na rituals zozote za ku invoke viumbe roho hivyo. Pia sijawahi kuroga mtu wala uchawi siujui, sijawahi kwenda kwa mganga wala mambo ya wanga na ulozi sijawahi kushiriki.
Yani katika nyanja hiyo unaweza kusema mimi sipo kabisa. Je watu na viumbe roho vya ulimwengu huo vinaweza kunidhuru?
Viumbe roho wanyama na binadamu wanaingiliana bila shida...tofauti yao ni yale majumba mwili wanayofaa yanayowatofautisha kwenye uhayawani na ufahamu wa kibinadamuJe inawezekana hao viumbe roho wa wanyama wakaingilia ulimwengu wa viumbe roho wa kibinadamu?
Na je ikiwa mimi sipo kwenye cycle ya viumbe roho vya aina hizo. Mafano sifanyi matambiko na rituals zozote za ku invoke viumbe roho hivyo. Pia sijawahi kuroga mtu wala uchawi siujui, sijawahi kwenda kwa mganga wala mambo ya wanga na ulozi sijawahi kushiriki.
Yani katika nyanja hiyo unaweza kusema mimi sipo kabisa. Je watu na viumbe roho vya ulimwengu huo vinaweza kunidhuru?
Asante sana[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Mshana ni sawa na mwanamke, leo atasema ameokoka kesho atasema amerudi kilingeni, hajui anashikilia nini...
Ni mjinga, na nimefikia kuhisi huenda ni double agent, watu wa namna hii hawafai kufuata.
Hata hivyo kuishi katika dunia hii ni inahitaji unafiki mtupu, watu wajifanya kumkiri Mungu mbele ya watu ila mambo wayatendayo sirini ni hovyo kabisa.
Mshana uache unafiki, maana unafiki Ni asili ya wachawi...
Sawa mkuuViumbe roho wanyama na binadamu wanaingiliana bila shida...tofauti yao ni yale majumba mwili wanayofaa yanayowatofautisha kwenye uhayawani na ufahamu wa kibinadamu
Nitaendelea nikitulia....
Atakuwa ni mchawi nayeye ila anatuzuga ili tupate taarifa zao, ndivyo walivyo wachawi.Dah, zamani nilikuwa na akili za kijinga kama zako, ila sina haja ya kukuhakikishia kama wachawi na waganga wapo au hawapo ila nakushauri funguwa kitabu cha dini unayoabudu ukikuta hakuna wachawi na waganga basi upo sahihi.
Na kinyume chake ukikuta verse kwenye kitabu cha dini yako kinatambuwa uwepo wa wachawi na waganga basi ujuwe wewe ndio mjinga zaidi au dini yako ndio ya kijinga zaidi.
Pasina shaka nawewe pia ni mchawiUganga ama uchawi haupo, ni watu wenye akili fupi tu wanaweza kuamini kitu kinaitwa uganga, uchawi, ulozi ama ushirikina, ni watu wenye akili ndogo tu wanaamini hayo mambo.
Matendo mema hukuandalia pepo na kukupa kinga na ulinzi madhubuti wa kiroho..Sawa mkuu
Binadamu pekee..ndiye anaandikiwa siku...Hapana siku yao inakuwa bado ndio maana kabla ya kumchinja kuna dua unatakiwa kumsomea
Matendo mema hukuandalia pepo na kukupa kinga na ulinzi madhubuti wa kiroho..
Dhana ya pepo na jehanum huanzia hapa.. Pepo yako haiko mbunguni iko pale kaburini, roho yako ikitulia pale inakuwa iko peponi, ILA ikikengeuka na kukutoroka hujeuka kuwa lipepo na mzimu wenye kutaabika na kunaswa na washirikina kupitia shetani.. Kuna baadhi ya mapepo ni mateka wa hawa watu
Natangaza maslahi yangu! Mimi sio mganga na sifanyi ushirikina tena..!
Kati ya waganga wote wa kienyeji ni asililia kumi hivi kati ya mia moja ndio wakweli na kati ya hao wakweli ni asilimia 5 tu ndio wenye masharti nafuu na wanaoweza kukusaidia moja kwa moja..! Ishu ya kuwajua feki na wakweli tutaona huko mbele
Kwanza lazima tukubaliane kuwa ushirikina ni utumwa, na ushirikina ni masharti na vigezo..Na ushirikina ni kitu chenye kuhitaji update kila wakati.. Na waganga wengi ni wapigaji..!
Pamoja na shida zako zote usijaribu kwenda huko kwenye ushirikina kutafuta 'assist' huko unaenda kufanya registration kwenye data base yao na hatimaye kuwa kwenye himaya yao..MAKINIKA!
Chochote kinachohusika na ajira ama biashara ukiachana na visomo vya kidini lazima kitahusisha damu.. Automatically itakuwa damu ya mnyama hasa mbuzi na ng'ombe ama kuku.. Kwa uchache kabisa na kwa siri kubwa damu ya mtu itahusika..
Mnyama anayechinjwa kwa shughuli za ushirikina ni wazi analazimishwa kufa kabla ya muda wake wa kufa kutimia.. Vita yake yoyote ya kiroho baada ya hapo utaibeba wewe.. Kwahiyo utakuwa na vita mbili ama zaidi ya kupigana.. Vita yako, vita ya kuku, vita ya mbuzi nknk.. Na hapa ndio siri ya side effect asiyokwambia mganga, Lakini lingjne ni hili... Yule mnyama aliyetumika kukutengenezea mambo yako ana ukomo wake wa kuwa, hivyo wakati wake wa kufa ukifika, kafara ulilotengenezewa nalo hufa rasmi..! Hapo ndio utaona mambo yako yanavyoanza kuyumba na hatimaye kuharibika kabisa
Lingine ni kwamba kuna wakati katika maisha mambo huenda mrama bila sababu yoyote ile..ni asili tu inafanya kazi, wewe kwa kuhofia kuwa tayari umeshapigwa na kitu kizito tena, utakimbilia kwa mtaalam wako tena, na yeye hata kama hakuna tatizo atalitengeneza na kukutisha sana.. Juu ya yote kwakuwa tayari uko kwenye database zao kuna wakati huamua kukorofisha mambo ili tu umuendee ajione bingwa ama kuna kitu umtimizie
Mwishowe unakosa kabisa ladha ya maisha unafanya biashara lakini hutulii ni makafara kwa kwenda mbele, una kazi yako nzuri Lakini masharti ni kama yote ...unapata pesa Lakini huna furaha nazo
Mganga naye ni binadamu akiamua kula bata hutengeneza tatizo kwakuwa kila mganga ni mchawi.. Pesa ya kutengeneza tatizo ndio huwa pesa ya starehe kwakuwa haimpi masharti kama ile pesa ya kilinge inayotokana na tatizo genuine!
Mwanzoni mwa biashara, ajira na hata mahusiano na miradi mingine epuka sana kuyanajisi na ishu za giza yasije yakaja kukutesa mbeleni, kwa kuwa kuingia huko ni rahisi sana lakini kutoka ni habari nyingine..Na ni shughuli pevu
mkuu taarifa zako unazo mwenyew, ila ni jambo zuri unavyo zidi kutuelimish endelea na huo moyo wala usichoke ndugu.Natangaza maslahi yangu! Mimi sio mganga na sifanyi ushirikina tena..!
Kati ya waganga wote wa kienyeji ni asililia kumi hivi kati ya mia moja ndio wakweli na kati ya hao wakweli ni asilimia 5 tu ndio wenye masharti nafuu na wanaoweza kukusaidia moja kwa moja..! Ishu ya kuwajua feki na wakweli tutaona huko mbele
Kwanza lazima tukubaliane kuwa ushirikina ni utumwa, na ushirikina ni masharti na vigezo..Na ushirikina ni kitu chenye kuhitaji update kila wakati.. Na waganga wengi ni wapigaji..!
Pamoja na shida zako zote usijaribu kwenda huko kwenye ushirikina kutafuta 'assist' huko unaenda kufanya registration kwenye data base yao na hatimaye kuwa kwenye himaya yao..MAKINIKA!
Chochote kinachohusika na ajira ama biashara ukiachana na visomo vya kidini lazima kitahusisha damu.. Automatically itakuwa damu ya mnyama hasa mbuzi na ng'ombe ama kuku.. Kwa uchache kabisa na kwa siri kubwa damu ya mtu itahusika..
Mnyama anayechinjwa kwa shughuli za ushirikina ni wazi analazimishwa kufa kabla ya muda wake wa kufa kutimia.. Vita yake yoyote ya kiroho baada ya hapo utaibeba wewe.. Kwahiyo utakuwa na vita mbili ama zaidi ya kupigana.. Vita yako, vita ya kuku, vita ya mbuzi nknk.. Na hapa ndio siri ya side effect asiyokwambia mganga, Lakini lingjne ni hili... Yule mnyama aliyetumika kukutengenezea mambo yako ana ukomo wake wa kuwa, hivyo wakati wake wa kufa ukifika, kafara ulilotengenezewa nalo hufa rasmi..! Hapo ndio utaona mambo yako yanavyoanza kuyumba na hatimaye kuharibika kabisa
Lingine ni kwamba kuna wakati katika maisha mambo huenda mrama bila sababu yoyote ile..ni asili tu inafanya kazi, wewe kwa kuhofia kuwa tayari umeshapigwa na kitu kizito tena, utakimbilia kwa mtaalam wako tena, na yeye hata kama hakuna tatizo atalitengeneza na kukutisha sana.. Juu ya yote kwakuwa tayari uko kwenye database zao kuna wakati huamua kukorofisha mambo ili tu umuendee ajione bingwa ama kuna kitu umtimizie
Mwishowe unakosa kabisa ladha ya maisha unafanya biashara lakini hutulii ni makafara kwa kwenda mbele, una kazi yako nzuri Lakini masharti ni kama yote ...unapata pesa Lakini huna furaha nazo
Mganga naye ni binadamu akiamua kula bata hutengeneza tatizo kwakuwa kila mganga ni mchawi.. Pesa ya kutengeneza tatizo ndio huwa pesa ya starehe kwakuwa haimpi masharti kama ile pesa ya kilinge inayotokana na tatizo genuine!
Mwanzoni mwa biashara, ajira na hata mahusiano na miradi mingine epuka sana kuyanajisi na ishu za giza yasije yakaja kukutesa mbeleni, kwa kuwa kuingia huko ni rahisi sana lakini kutoka ni habari nyingine..Na ni shughuli pevu
mkuu taarifa zako unazo mwenyew[emoji23]..! [emoji1545][emoji1545][emoji1545]nitafanya kadiri ya utashi na ufahamu wangumkuu taarifa zako unazo mwenyew, ila ni jambo zuri unavyo zidi kutuelimish endelea na huo moyo wala usichoke ndugu.