Usianzishe biashara wala kutafuta kazi kupitia waganga wa kienyeji

Usianzishe biashara wala kutafuta kazi kupitia waganga wa kienyeji

Hahahahhaha hao ma Don wenyewe wanalinda biashara zao na network za kichawi tu😅!

We unahisi bhakressa amefika pale alipo kizembe zembe? Usipoilinda hela yako utafanya kazi miaka 100 uko vile vile we husogei kumbe kuna watu wanakula mali yako kimya kimya kwa slope.
 
Kila mnyama ana ibada yake wakati wa kuchinjwa.. Na hii ibada ni kuzuia mabaya yote yatokanayo na huko kuchinjwa kwake kwa mchinjaji na kwa mlaji .. Waislam wanajua sana hiki kitu
Huko vilingeni na kwenye madhabahu za giza mnyama anakatwa shingo na kuachwa arukeruke hadi kifo..huo ukatili hauna msamaha
Sawa mkuu
 
Waganga/ wachawi wako tofauti na hawa wanaotoa dawa za miti shamba? Unakuta una mchango tumbo linauma unaelekezwa kwa mtu akupatie dawa, unaenda unachukuwa dawa unakunywa, sometimes unapona au hauponi.

Na kila unapooenda atakubadilishua dawa, mara hii inatinu UTI, mara hii hutibu matatizo ya mgongo kuuma, na dawa nyingine anakupa majani uyapike unywe ila hayo majani unakuta unayajua etc

Je hawa watoa dawa za miti shamba nao ni genge moja na waganga?
Hizo zinaitwa tiba asili lakini kwa bahati mbaya nazo zimeingiliwa siku hizi, kubahatisha ni kwingi mno, Lakini pia sometimes unaweza ukapewa tiba sahihi lakini isiyo na nguvu tena kutokana na hapo mahali ilipochukuliwa..!
Hizi dawa zinakuwa na nguvu kubwa endapo zitatoka kwenye ile ardhi asilia ambayo haijawahi kuchakachuliwa na vitendea kazi na madawa ya viwandani
 
Mkuu na freemason wako kundi gani na nikweli wanayofanya
Freemason hawatumii ushirikina, kafara zao wanazofanya ni kwa ajili ya kujikinga na mabaya na wanafanya in a very smart way
Na hawa jamaa si kwa ajili ya makapuku ni mpaka wakuone umefikia level fulani ya cash au nafasi kwenye jamii ndio wanakuvuta kwao, huwatafuti wao bali wao wanakutafuta wewe
Hivi vyama vinavyotafuta wanachama mitandaoni ni vya kitapeli
 
Nasikia huwezi pewa uchief kama wewe sio gwiji kwenye ndumba.
Chifu na mzee ni vyeo vikubwa sana uchawini
Nyuma ya uchifu kuna damu zimemwagika.. Ndio maana familia nyingi za kileo zinazotokana na uchifu zina mapito mengi
 
Nyuma ya uchifu kuna damu zimemwagika.. Ndio maana familia nyingi za kileo zinazotokana na uchifu zina mapito mengi
Na huwezi pewa cheo cha kama ujamwaga damu za si chini ya elf moja
 
Uganga ama uchawi haupo, ni watu wenye akili fupi tu wanaweza kuamini kitu kinaitwa uganga, uchawi, ulozi ama ushirikina, ni watu wenye akili ndogo tu wanaamini hayo mambo.
Hadi kufikia UMRI hu nilionao nimejiridhisha hvi; ukisikia JINA la kitu chochote then ujue hicho kitu pia KIPO, haiwezekani JINA la kitu liwepo halafu hicho kitu kisiwepo, never. Mara nyingi huanza hicho kitu kuwepo then watu ndio wataanza kutafuta JINA la hicho kitu. Bila kujali kama nina amini au siamini, maadamu neno UCHAWI lipo then hata huo UCHAWI pia upo
 
Yaani kila ID hapa JamiiForums ni ya GENTAMYCINE na cha Kushangaza leo hii ID yangu hii inahusishwa na ID ya Mwanachama Mwandamizi kabisa ( tena huenda zaidi yangu hapa JamiiForums ) ya Mshana Jr

Ama hakika Shani ( Tunu ) ya Kipekee aliyonipa Mwenyezi Mungu ( ambayo Wapumbavu wengi Kuanzia Wewe ) hakuwapa inawatesa na itawateseni sana tu.

Chuki zenu Kwangu Mwenyezi Mungu huzigeuza na kuzifanya Baraka kubwa Kwangu ndiyo maana pamoja na Kunichukia Kwenu na Kuniandama kwa kila Kashfa na Uzushi hapa JamiiForums bado hamuachi Kutonisoma na Kunifuatilia kila mnapoingia ( Log In ) hapa JamiiForums.
Tatizo wanakukubali Ila wanasita kusema

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Hizo zinaitwa tiba asili lakini kwa bahati mbaya nazo zimeingiliwa siku hizi, kubahatisha ni kwingi mno, Lakini pia sometimes unaweza ukapewa tiba sahihi lakini isiyo na nguvu tena kutokana na hapo mahali ilipochukuliwa..!
Hizi dawa zinakuwa na nguvu kubwa endapo zitatoka kwenye ile ardhi asilia ambayo haijawahi kuchakachuliwa na vitendea kazi na madawa ya viwandani
Nilienda akanipa dawa nichemshe ninywe kwa ajili ya tumbo. Leo narudi tena nahisi kale ka bibi kamenipa ndogo bado sijapona.

Kana dawa nyingi kanauzia sokoni, leo nitakauliza kwa utani kama ni kaganga😂😂😂

Kila nikienda nakaachia buku mbili nikakaomba hiyo dawa kanipe niipande kwangu kakakubali eti leo niende kanipe niipande.nikipona mchango ndo nitakaamini.
 
Back
Top Bottom