Usichukulie poa, nyumba ni choo

Usichukulie poa, nyumba ni choo

Status
Not open for further replies.
Tafiti zinahofia kusema kuwa ni baadhi ya wanaume ila sio wote.. nchi zenye watu wengi duniani hazina wanawake wenye makalio makubwa kama china,india na kwengine kwingi tafiti zinapenda kukuza umbea umbea tu.. wazungu wengi wana maumbile/makalio ya kawaida sana.. wanatuona sisi wajinga tu na tafiti zao
 
[emoji108][emoji108]haswaa
Zawadi kubwa ni kubarikiwa [emoji527][emoji527][emoji527]
Screenshot_20220118_143204.jpg
 
Je wajua kwanini wanaume wanawapenda wanawake waliojaliwa na makalio makubwa ?

Katika majarida mengi umewaona wanaume wakikodolea macho picha za wanawake wenye makalio makubwa iwe ni kim Kardashian, Jenipher Lopez Nicki Minaj na Vera Sidika kutoka Kenya .

Sasa basi Utafiti umedhibitisha kuwa ni kweli wanaume wanapenda wanawake waliojaaliwa sehemu ya nyuma.

Kulingana na utafiti wa chuo kikuu Bilkent , chuo kikuu cha Texas, na chuo kikuu cha American University kilichoko mjini Beirut

Wanaume wanakisia kuwa mwanamke mwenye makalio makubwa anaweza kufanya kazi kwa bidii zaidi ya mwanamke ambaye hana makalio makubwa.

Hata hivyo kinachowavutia wanaume si makalio haswa bali ni kupinda kwa uti wa mgongo unaosababisha tako kuonekana zaidi.

Utafiti huo unasema kuwa upinde wa 45.5 ndio unaovutia wanaume zaidi.

Wanaume walioneshwa picha za makalio ya wanawake wengi na asilimia kubwa iliwapendelea wanawake wenye makalio yaliyopinda kwa kiwango cha 45.5

Aidha zaidi ya asilimia 30% walisema wangalimchukua mwanamke mwenye makalio makubwa zaidi ya yule waliye naye sasa.

Kwa mujibu wa utafiti huo katika miaka ya awali mwanamke aliyeonekana kuwa na makalio makubwa alipendelewa kutokana na uwezo wake wa kubeba mizigo mgongoni.

Isitoshe mwanamke kama huyo aliwavutia wanaume wengi na hivyo kuwa na uwezo wa kuzaa watoto wengi.

Aidha mwanamke mwenye makalio makubwa angeweza kustahili uzito wa mtoto aliyebebwa tumboni na hata kustahilimi makali ya uzazi kuliko wale wenye makalio wastani.View attachment 2090385View attachment 2090386View attachment 2090388
Hivi haya matako makubwa wanayopenda huwa wanayafanyia nini? Kwakuwa hata kama ni kuyatumia ni kitobo tuuu
 
Tafiti zinahofia kusema kuwa ni baadhi ya wanaume ila sio wote.. nchi zenye watu wengi duniani hazina wanawake wenye makalio makubwa kama china,india na kwengine kwingi tafiti zinapenda kukuza umbea umbea tu.. wazungu wengi wana maumbile/makalio ya kawaida sana.. wanatuona sisi wajinga tu na tafiti zao
Africa tako lina tija sana tofauti na ulaya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom