Usichukulie poa, nyumba ni choo

Usichukulie poa, nyumba ni choo

Status
Not open for further replies.
DuaKOexW4AEQrdo.jpg
 
Mmmh wazee khali mbaya
hivi ni mguu gani hasa kulia au kushoto ama yote
Mbona hizi mada huwa zinachanganya sana
Malay wa magot zamani ndy ilikuwa style yao .......
Ukivaa mguuni tu Tigo ruksa nashanga madem sahv wanajivalia tuuuu
Au syo nao tigo avaliable
Miaka ya zamani Malay wale waliyokubuhu unawakuta wamevaa mguuni

Ova
 
Hahaha huwa nakuwazia sana mzee baba
Hasa hiyo simu yako
ama computer yako
Nadhani imeshiba sana
Magot ilikuwa Balaaaaaa
Wale wazee wa zamani watakuwa wanapapata......sehemu ilikuja ungua na moto ilikuwa kama Sodoma na gomora
Ndy jolly akajaga pokea kijiti

Ova
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom