mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Mama haya madude hua yanasaidia kuongeza nguvu za kiume. View attachment 2092229
Mmmh kumbe nguvu za kiume zinatoka huko😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama haya madude hua yanasaidia kuongeza nguvu za kiume. View attachment 2092229
Kumbe ulikua haujui mamake D?Mmmh kumbe nguvu za kiume zinatoka huko[emoji28][emoji28][emoji28]
Kumbe ulikua haujui mamake D?
Siku ukiona baba D mambo yake hayasomeki fanya mchakato we 3somes halafu mtafutie mzigo kama huu halafu uje ulete mrejesho. View attachment 2092385
Kyupi kimemezwa na kalioVibration kama vibrationView attachment 2092218
Dah mitaa gani hiyo kigezo cha kupata nyumba iwe kalio? 😂 chai hii imezidi sukariPia ni self defence..
Mtaani kwetu mwanamke bila kalio kubwa hata nyumba ya kupangisha hupati hata ulipe kodi miaka yote uliyobaki nayo hupati ng"o
Naunga mkono hoja. Mimi ninachozingatia ni mbususu pekeemwisho wa siku kinachohitajika ni mbususu
Ahsante kwa kutukumbuka na sisi mkuu😀Ukweli ni kwamba napenda flat kama financial services
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Amka tukamwombe Mungu
[emoji2][emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunaruhusiwaFlatscreen tunaruhusiwa hapa
Ex boo wangu alikuaga anasema hivi pia. Anasema yeye anataka aangalie sura, makalio ni kama bonus tu ila ugonjwa wake sura (ukute alikua ananidanganya kisa Sina tackle [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787])Mimi mwanamke akiwa na sura nzuri tu baaaas kanikamata. Hayo makalio kusema kweli mimi sina kazi nayo kabisa.
Mnaosema Sura hata mbuzi anayo, nawakumbusha pia makalio hata ngedere wanayo!
[emoji1787][emoji1787]umeshapigwa kiaina hapoEx boo wangu alikuaga anasema hivi pia. Anasema yeye anataka aangalie sura, makalio ni kama bonus tu ila ugonjwa wake sura (ukute alikua ananidanganya kisa Sina tackle [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787])
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
kwani yesu kasema tusile mizigo!?🙏🙏.Usimwache YESU kwa vitu vya kupita
nafikiri atakuwa anamaanisha kutokuvunja AMRI YA 6 [emoji848][emoji848]kwani yesu kasema tusile mizigo!?