Usichukulie poa, nyumba ni choo

Usichukulie poa, nyumba ni choo

Status
Not open for further replies.
Mmmh kumbe nguvu za kiume zinatoka huko[emoji28][emoji28][emoji28]
Kumbe ulikua haujui mamake D?
Siku ukiona baba D mambo yake hayasomeki fanya mchakato we 3somes halafu mtafutie mzigo kama huu halafu uje ulete mrejesho.
Screenshot_20220122-134925.jpg
 
Kumbe ulikua haujui mamake D?
Siku ukiona baba D mambo yake hayasomeki fanya mchakato we 3somes halafu mtafutie mzigo kama huu halafu uje ulete mrejesho. View attachment 2092385

Huu ushauri Kama ni kwangu Sahau kabisaaa

Akili ya mwanaume inayotaka mzigo wa makalio ndio isome haihitaji mwanamke hata mwanaume mwenzio anaweza kukusoma tuu mkaelewana

Na akili ya 3some ndio ileile akili ya ushoga na usagaji

Mungu akunusuru Flano
 
Mwanaume hisia huanzia kwenye kuona ambazo hupelekea kutamani na mwanaume anaanza kwanza kutaman then kunafuata kupenda , mwanaume akimpenda binti basi jua kuwa kuna kitu ambacho ametamani kwanza kutoka kwa huyo binti akiona tu mambo mazur hisia lazima zije hata kabla hajagusa
 
Mimi mwanamke akiwa na sura nzuri tu baaaas kanikamata. Hayo makalio kusema kweli mimi sina kazi nayo kabisa.

Mnaosema Sura hata mbuzi anayo, nawakumbusha pia makalio hata ngedere wanayo!
Ex boo wangu alikuaga anasema hivi pia. Anasema yeye anataka aangalie sura, makalio ni kama bonus tu ila ugonjwa wake sura (ukute alikua ananidanganya kisa Sina tackle [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787])

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom