DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Wewe...I wish ningekuwa jf moderator (in magu's voice)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe...I wish ningekuwa jf moderator (in magu's voice)
NopeWeka picha upewe muongozo...
Dah,kumbe ndio akili ulizo nazo hizi?nilikuwa nakuona wa maaaaana.Nina raha isiyokuwa na kifani, tahafifu ya ugumu wa maisha na nafasi ya kufanya chochote kwani nimejaaliwa makalio.
Kila napopita vishingo vya jinsia nyingine hupinda, macho yanawatoka na mate yanawadondoka. Wengine hujikwaa na kuanguka, wapo wanapiga miruzi na kelele kama wendawazimu.
Nasindikizwa kwa macho kama malkia mpk natokomea.
Kwa mdada, bora unyimwe akili upewe makalio. Makalio ni zaidi ya PhD na ni zaidi ya mtaji.
Usiku mwema.
kweli akili zipo kwenye makalioMm huko hutakaa unione. Kuna barua za posa zaidi ya 100 mezani kwa baba. Zote nimezipiga chini.
Nakula MB zao na vizawadi vya valentine
Ulikuwa unaniona wa maana kumbe wa mwana!! Pole kwa kuumizwa na jiwe la gizani. Aliyekwambia uwe/uwe na demu flat screen nani?nilikuwa nakuona wa maaaaana.
Mkuu mbona unawahi ku-jam hivyo? Tatizo nn,umeme si unakatwa kila mahali?Niondoe Fala weww
NopePicha basi tuone Mzigo huo.
Ungefanyaje???I wish ningekuwa jf moderator (in magu's voice)
Nina raha isiyokuwa na kifani, tahafifu ya ugumu wa maisha na nafasi ya kufanya chochote kwani nimejaaliwa makalio.
Kila napopita vishingo vya jinsia nyingine hupinda, macho yanawatoka na mate yanawadondoka. Wengine hujikwaa na kuanguka, wapo wanapiga miruzi na kelele kama wendawazimu.
Nasindikizwa kwa macho kama malkia mpk natokomea.
Kwa mdada, bora unyimwe akili upewe makalio. Makalio ni zaidi ya PhD na ni zaidi ya mtaji.
Usiku mwema.
Tatizo la kuingia mjini kwa malori ya mnadani ndiyo hiliI wish ningekuwa jf moderator (in magu's voice)
T& Cs za JF haziruhusuMbona makalio yenyewe hayapo? Uzi umejaza maneno tu au makalio ya kichina?
Sema ahsante mchina, au ulienda uturuki na wewe?. Chura chura, hata siye wenye flat screens tunabamba tu[emoji23]
UTI ni kwa wale wachafu. Ukiwa msafi kama mm UTI utaisona tu kwenye magazeti
Wivu tu [emoji849]Sema ahsante mchina, au ulienda uturuki na wewe?. Chura chura, hata siye wenye flat screens tunabamba tu[emoji23]
[emoji848][emoji848][emoji848] sijaona PMHahaha.
Kwa ufupi tu ni kwamba kukosa makalio ni sawa na mboga kukosa pilipili na chumvi. Ama chips kukosa tomato, mayonise na chumvi
Ningeanza na wwWewe...