Usidanganyike, Wanawake hawana mapenzi ya kweli

Usidanganyike, Wanawake hawana mapenzi ya kweli

Nakazia

Mwanamke humtii mwanaume atakayemfanya muda wowote apendeze na kuwaringishia wanawake wenzake, Avae vizuri kwenye Harusi au sherehe apendeze, aende kanisani na nguo mpya kila mara.

Sio kila wiki nguo moja kama Sanda lazima utagombana na Mkeo na ataacha kukupenda(kukupa utiifu wake)

Wanawake hupenda kuangaliana wamevaaje, akipita mwanamke anajua anaangaliwa.
Sasa Kama umemvalisha masulupwete au kichwani anamsuko uleule usioeleweka unataka akuchekee, akupende(akupe utiifu wake)? Hilo haliwezekaniki.

Mwanamke anaacha kukupenda(kukupa utii wake) pale unapoacha kumpenda (kumhudumia na kumtunza)
Kadiri unavyohangaika kumpenda Mkeo ndivyo Naye anavyozidisha utiifu kwako.

Hivyo kanuni inaweza kuwa, Upendo unatangulia ndipo utiifu ufuate.

Sio mwanaume utake kutiiwa wakati hujatanguliza upendo(hujatoa chochote).

Vijana wa sasa hawajui falsafa na Miyazaki ya wanawake ndio maana wanapata shida kuhusiana nao.
Wanawashangaa mabinti pindi wanapokutana nao Kwa mara ya Kwanza alafu hata hawajazoeana wanaanza Kupiga vizinga, kuomba pesa sijui za nywele, sijui Kodi, sijui umeme miongoni mwa Huduma zingine.
Ndivyo wanawake walivyo, hawawezi kukupa utiifu wao kabla hujatanguliza upendo(kutoa Huduma na Matunzo Kwanza).
 
Wewe mwandishi ni misogynist (mchukia wanawake) uliyekubuhu unayejaribu kwa nguvu zako zote kutuaminisha maoni na mitazamo yako binafsi kuhusu wanawake iliyojaa chuki. Siyo kweli hayo unayoandika. Ungekaa nchi zilizoendelea ungejua kuwa wanawake na wanaume tabia zao huendana na tamaduni, mila, values, morals na uchumi wa jamii husika.


Mimi naongeaga ukweli.
Tafsiri zenu na maoni yenu huwaga yasiyatilii maanani
 
Pitia thread ya Mwanamke aliyepewa vyote na Mchepuko mpaka Kujengewa na Nyumba na Gari juu ila Anataka Kumuacha Aliyempatia Hivyo vitu.

Tafuta mwanamke anayekupenda siyo unayempenda wewe. Unajipeleka mwenyeww


Mwanamke hawezi kukupenda Kama huna kitu, ukubali ukatae.

Lazima umhudumie kimwili na kihisia(moyo).
 
Mwanamke hawezi kukupenda Kama huna kitu, ukubali ukatae.

Lazima umhudumie kimwili na kihisia(moyo).
Hudumia Moyo wako kimwili na Kihisia usitafute Upendo kwa Binadamu mwenzako. Jipende wewe kwanza Acha Kutafuta Upendo kwa Wengine

Wewe timiza Majukumu yako kama Mwanaume. Lete vyakula ndani. Timiza tendo la Ndoa.. Nunua viatu vya Watoto... Peleka watoto wakajifunze.. Achana na Kufurahisha Mwanamke
 
Hudumia Moyo wako kimwili na Kihisia usitafute Upendo kwa Binadamu mwenzako. Jipende wewe kwanza Acha Kutafuta Upendo kwa Wengine

Wewe timiza Majukumu yako kama Mwanaume. Lete vyakula ndani. Timiza tendo la Ndoa.. Nunua viatu vya Watoto... Peleka watoto wakajifunze.. Achana na Kufurahisha Mwanamke

HAKUNA MWANAUME kamili anayehitaji kupendwa na Mwanamke labda vijana wa siku hizi.

Mwanaume tunapenda
Mwanaume ameumbwa kumfurahisha mwanamke Kwa kumpenda(kumtunza na kumhudumia)
 
Back
Top Bottom