Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amini usiamini,Mwandishi umeongea kweli Sana Ila WATABISHA SANA.
SAHII mkuu[emoji4]Pitia thread ya Mwanamke aliyepewa vyote na Mchepuko mpaka Kujengewa na Nyumba na Gari juu ila Anataka Kumuacha Aliyempatia Hivyo vitu.
Tafuta mwanamke anayekupenda siyo unayempenda wewe. Unajipeleka mwenyeww
SAHII kabisa,HAKUNA MWANAUME kamili anayehitaji kupendwa na Mwanamke labda vijana wa siku hizi.
Mwanaume tunapenda
Mwanaume ameumbwa kumfurahisha mwanamke Kwa kumpenda(kumtunza na kumhudumia)
Maana ake ukweli kwa 50%Mada fikirishi lakini haina ukweli 50%.
You dont understand.
Women dont love, they obey. They were created to OBEY, not to LOVE.
Umeelewa, Mwanamke anatakiwa AKUTII, afuate unachotaka wewe. Ukimwambia aje geto kwako asubuhi na akaja, amekutii. Hajakupenda. Umeelewa dogo?
Huyo mbayaInakuwaje sasa.Mwanamke anayependwa na kutimiziwa mahitaji yake yote anachepuka na kumpelea Mbususu yake dereva wa boda boda asie na kitu??
Tabu zote hizo za nini? Kwani lazima kuwa na mwanamke? Mimi nazioenda pesa zangu tuu hayo mengine itategemea hisia zitakazojitokeza.Mmmh yaan mada hii ndo tu ndo umetiririka namna hii.. nimesummarize tu mstar mmojammoja Kila Aya
Ana wazimu uyo mwanamke,kesi iliishia wapi alipata uo mgao?Yani Ana tamaa mpka shetani anasonya apate mgao upi sasaAnaepingana mtoa mada asome hii[emoji4]View attachment 2127728
Inakuwaje sasa.Mwanamke anayependwa na kutimiziwa mahitaji yake yote anachepuka na kumpelea Mbususu yake dereva wa boda boda asie na kitu??
Vilio ni vikali mnoHabari Wakuu!
Bila kupoteza muda. Kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Wanawake ni Mama zetu, dada zetu, shangazi, Bibi na pia Wake zetu. Tunawapenda Kwa sababu Sisi ndio wenye Kupenda, upendo ni Asili yake ni kutoka kwetu.
Hapo umechanganya, unasema hawezi ku obey au feelings za upendo atakuwa hana?Hata kama una pesa mwanamke wa kweli hawezi ku-OBEY kama wewe ni dishonest atapenda hela zako ila feeelings za upendo atakuwa hana.
If you get a woman after you get money you've got yourself a liability she will need everything you can afford na akitokea anayeweza ku-afford zaidi utapigwa chini
Love needs money for survival sio luxutious