Usidanganywe na stori za vijiweni, ijue Sheria ya Ndoa na Talaka

Usidanganywe na stori za vijiweni, ijue Sheria ya Ndoa na Talaka

Mlioa kwa ndoa rasmi? Maana notisi inatolewa kwa wale wanaofunga ndoa rasmi
Mkuu sajo naomba nikuulize tena. Hivi talaka inaweza kutolewa iwapo mwenza hayupo? Yaani tuseme wanandoa wameamua kwa hiari yao kuachana baada ya makandokando mengi kwenye ndoa, lakini kwa bahati mbaya bwana yupo Uchina masomoni na bibi yuko Bongo. Kuna uwezekeno wowote wa kuivunja ndoa? NB: wote wamekubaliana kuivunja.
 
Mkuu sajo naomba nikuulize tena. Hivi talaka inaweza kutolewa iwapo mwenza hayupo? Yaani tuseme wanandoa wameamua kwa hiari yao kuachana baada ya makandokando mengi kwenye ndoa, lakini kwa bahati mbaya bwana yupo Uchina masomoni na bibi yuko Bongo. Kuna uwezekeno wowote wa kuivunja ndoa? NB: wote wamekubaliana kuivunja.
NDIYO inawezekana kwa talaka kutoka pasipo uwepo (phsically) wa mwanandoa mahakamani, lakini ni lazima atawasilishwa na mtu anayetambulika kisheria (kwa power attorney), hususani kwa mazingira unayosema kuwa wanandoa wamekubaliana kuachana.

Power of Attorney inaruhusu mtu mwingine kumuwakilisha mahakamani na kutoa ushahidi kwa niaba yake mtu huyo ikiwa mwenye kesi yupo nje ya nchi au ni mgonjwa sana.

Hata hivyo, sio wanandoa ndio wataoamua kuwa ndoa yao imevunjika kiasi ch kutotengenezeka, bali mahakama ndio itakayoamua. Kwa hiyo pamoja na kuwa wamekubaliana kuachana, mahakama inaweza kutotoa talaka ikiwa inaona ndoa hiyo haijaharibika kihivyo.
 
NDIYO inawezekana kwa talaka kutoka pasipo uwepo (phsically) wa mwanandoa mahakamani, lakini ni lazima atawasilishwa na mtu anayetambulika kisheria (kwa power attorney), hususani kwa mazingira unayosema kuwa wanandoa wamekubaliana kuachana.

Power of Attorney inaruhusu mtu mwingine kumuwakilisha mahakamani na kutoa ushahidi kwa niaba yake mtu huyo ikiwa mwenye kesi yupo nje ya nchi au ni mgonjwa sana.

Hata hivyo, sio wanandoa ndio wataoamua kuwa ndoa yao imevunjika kiasi ch kutotengenezeka, bali mahakama ndio itakayoamua. Kwa hiyo pamoja na kuwa wamekubaliana kuachana, mahakama inaweza kutotoa talaka ikiwa inaona ndoa hiyo haijaharibika kihivyo.
Asante sana kwa majibu mkuu. Cheers!
 
Back
Top Bottom