Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aaah nishasanuka mapema sana, wajinga ndiyo waliwaodronedrake Kijana kataa ndoa ni utapeli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Barikiwa, hakika nimeisoma kwa makin
Asante dudus!wacha nijifunze kitu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]aaah nishasanuka mapema sana, wajinga ndiyo waliwao
MkuuMtashtakiwa ugoni, mdaiwe fidia kama Profesa wa SUA na manzi wake wa CRDB😅😅
Kesi za Talaka ni kesi za madai na hivyo sheria ya mwenendo wa madai (The Civil Procedure Code Cap 33 R.E 2019 hutumika. Mdai au mdaiwa anapokufa, kesi husimama kwa muda ili apatikane msimamizi wa mirathi wa marehemu ndiye aendelee na kesi. Kwa hiyo, vivyo hivyo, mali walizochuma ikitokea mahamaka imezigawa, basi marehemu atabaki nazo ila kwa uangalizi wa msimamizi wake wa mirathi.Je ikitokea wanandoa Wana kesi ya Talaka ambapo kesi imetumia muda mrefu zaidi ya Miaka 5 ( ikiwapo rufaa za kutosha).Endapo mwana ndoa mmoja akafariki wkt bado hukumu ya rufaa haijatoka, je Mali walizochuma zitakuwa chini ya umiliki wa nani?
Mgawanyo wa mirathi hufanywa na msimamizi wa mirathi vile apendavyo, hakuna asilimia maalum zilizowekwa (isipokuwa kwenye mifuko ya jamii wao ndio wana kanuni zao za kugawa yale mafao kwa warithi wa marehemu ambapo mtoto mdogo hupata kikubwa kuliko wengine, na mke au mume hupata kidogo kidogo kuliko watoto).Mkuu
Mgawanyo wa asilimia wa mirathi kuanzia mke,watoto,wazazi na ndugu upoje!!?
Na Hii dhana ya wanawake ku tu kill wanaume na kurithi mali ni dhana tu au ina ukweli kwamba wake wanarithi vingi kuliko ndugu!!?
Tunaomba majibu Ili tujitoe kwenye club ya" kataa ndoa" na hofu ya vifo vya kukusudiwa hasa vya kishirikina ambavyo serikali haitambui ushirikina!!
Tiririka nipo NASUBIRIA kusoma!
Ndoa rasmiMlioa kwa ndoa rasmi? Maana notisi inatolewa kwa wale wanaofunga ndoa rasmi
Kwenye mirathi ndugu wanaingiaje? Mirathi ni ya mke na Watoto, au kama amekufa mke hapo ndio Wazazi wake wanaweza kuwa sehemu ya wanufaika wa Mirathi hiyo.Mkuu
Mgawanyo wa asilimia wa mirathi kuanzia mke,watoto,wazazi na ndugu upoje!!?
Na Hii dhana ya wanawake ku tu kill wanaume na kurithi mali ni dhana tu au ina ukweli kwamba wake wanarithi vingi kuliko ndugu!!?
Tunaomba majibu Ili tujitoe kwenye club ya" kataa ndoa" na hofu ya vifo vya kukusudiwa hasa vya kishirikina ambavyo serikali haitambui ushirikina!!
Tiririka nipo NASUBIRIA kusoma!